Resultados de la búsqueda
Ver todos los resultados
Socialpop Socialpop Socialpop
Home
Grupos
Páginas
Marketplace
Más
Grupos Páginas Marketplace Eventos Blogs Financiamiento Ofertas Empleos Courses Foros Películas
Participar
Iniciar sesión Registrarse
Theme Switcher
Night Mode
Directorio
Usuarios
Entradas
Páginas
Grupos
Eventos
  • SIMPLE MAN @simple_man agregó una foto
    2025-02-18 08:57:59 ·
    Love
    1
    · 0 Commentarios ·0 Acciones ·209 Views
    Please log in to like, share and comment!
  • SIMPLE MAN @simple_man agregó una foto
    2025-02-18 08:58:57 ·
    Love
    1
    · 0 Commentarios ·0 Acciones ·209 Views
    Please log in to like, share and comment!
  • SIMPLE MAN @simple_man agregó una foto
    2025-02-18 09:05:28 ·
    Car on sell
    Car on sell
    0 Commentarios ·0 Acciones ·213 Views
    Please log in to like, share and comment!
  • Jessica Williams @Jessicawilliams updated the profile picture
    2025-02-18 12:18:03 ·
    0 Commentarios ·0 Acciones ·229 Views
    Please log in to like, share and comment!
  • Jessica Williams @Jessicawilliams updated the profile picture
    2025-02-18 12:18:10 ·
    0 Commentarios ·0 Acciones ·225 Views
    Please log in to like, share and comment!
  • Jessica Williams @Jessicawilliams agregó una foto in Health
    2025-02-18 12:41:38 ·
    Male Erectile Dysfunction ICD-9: Diagnosis and Treatment Options
    Erectile dysfunction (ED) is a common condition that affects millions of men worldwide. It is classified under the International Classification of Diseases, Ninth Revision (ICD-9) as ICD-9 code 607.84. This classification is used by healthcare professionals for diagnostic and billing purposes. If you are experiencing ED, understanding its ICD-9 classification, causes, and treatment options can...
    0 Commentarios ·0 Acciones ·576 Views
    Please log in to like, share and comment!
  • Ssoid portal @ssoid updated the cover photo
    2025-02-18 13:12:02 ·
    0 Commentarios ·0 Acciones ·173 Views
    Please log in to like, share and comment!
  • Ssoid portal @ssoid agregó una foto in Networking
    2025-02-18 13:22:03 ·
    What is the full form of SSO ID in Rajasthan?
    Understanding SSO ID: The Basic Definition SSO ID stands for Single Sign-On Identity in Rajasthan's digital governance system. This unified digital identity system allows citizens to access multiple government services through a single login credential. The SSO ID login system has revolutionized how residents of Rajasthan interact with various government departments and services online. The...
    0 Commentarios ·0 Acciones ·711 Views
    Please log in to like, share and comment!
  • NELIUD COSIAH @nelly2020 agregó una foto
    2025-02-18 13:47:27 ·

    KUTOKA SINGIDA BLACK STARS

    HII NI KWENU WACHAMBUZI WOTE WENYE USHABIKI KULIKO UCHAMBUZI

    Singida Black stars Sc ni Timu yenye utaratibu wake na mipango yake juu ya kuiongoza Timu yake kwa misingi yake

    Timu yetu haipangiwi na wala hatupelekeshwi na maneno ya mitandaoni katika kuiendesha Timu Yetu, Tunaomba Mfahamu kuwa kila mchezaji Tuliyemsajili anatufaa na anafaa kuipambania Nembo ya Timu yetu

    Katika kikosi chetu chenye jumla ya wachezaji 33 wote wakiwa wazima wa Afya na Fitness nzuri kocha wetu na Benchi letu la Ufundi lina uhuru wa Kumchagua Mchezaji yeyote akaanza katika kikosi cha kwanza katika mchezo wowote

    Rejea michezo Yetu Mitatu ya nyuma kabla ya mchezo wa jana dhidi ya Yanga sc Tulicheza michezo 3 dhidi ya Kagera Sugar, KMC Fc, na JKT Tanzania

    Katika mchezo wetu dhidi ya Kagera sugar tulianzisha wachezaji wengi wa kimataifa na Tulipata sare ya goli 2-2 mchezo uliofuata tukacheza dhidi ya KMC FC na wachezaji wengi wa kimataifa walianza pia tukafungwa goli 2 bila Benchi la ufundi kikafanya mabadiliko kadhaa kwenye mchezo uliofuata dhidi ya JKT Tanzania Na tukapata ushindi kwenye moja ya Viwanja ambavyo Timu zote za ligi kuu hakuna iliyopata ushindi

    Baada ya Benchi la Ufundi kuridhika na vipaji vya wachezaji wetu wa ndani waliotupa Ushindi wa mchezo wa JKT Tanzania wakaridhishwa kwamba wachezaji wale wanafaa baadhi yao kuanza kwenye mchezo dhidi ya Yanga, kwa upande wa Timu yetu Tumefurahi Timu ilicheza vizuri kwa nidhamu ya hali ya juu na mchezo ukaisha kwa goal 2-1

    Sasa baada ya mchezo ule wameibuka watu wanaojiita wachambuzi kwa vivuli vya ushabiki wao na roho zao mbaya na umaskini uliowajaa wanataka kutupangia Kikosi chetu kitu Ambacho kwetu hakikubaliki hata kidogo

    Ni mfano uone mwanaume Ameoa wake 4 alafu wewe jirani yake unataka kumpangia kwamba Leo kalale kwa mwanamke huyu na utapikiwa na huyu hilo haliwezekani Abadani SISI HATUPANGIWI MAISHA NA VITAKATAKA KAMA NYINYI
    KUTOKA SINGIDA BLACK STARS ✍️ HII NI KWENU WACHAMBUZI WOTE WENYE USHABIKI KULIKO UCHAMBUZI Singida Black stars Sc ni Timu yenye utaratibu wake na mipango yake juu ya kuiongoza Timu yake kwa misingi yake Timu yetu haipangiwi na wala hatupelekeshwi na maneno ya mitandaoni katika kuiendesha Timu Yetu, Tunaomba Mfahamu kuwa kila mchezaji Tuliyemsajili anatufaa na anafaa kuipambania Nembo ya Timu yetu Katika kikosi chetu chenye jumla ya wachezaji 33 wote wakiwa wazima wa Afya na Fitness nzuri kocha wetu na Benchi letu la Ufundi lina uhuru wa Kumchagua Mchezaji yeyote akaanza katika kikosi cha kwanza katika mchezo wowote Rejea michezo Yetu Mitatu ya nyuma kabla ya mchezo wa jana dhidi ya Yanga sc Tulicheza michezo 3 dhidi ya Kagera Sugar, KMC Fc, na JKT Tanzania Katika mchezo wetu dhidi ya Kagera sugar tulianzisha wachezaji wengi wa kimataifa na Tulipata sare ya goli 2-2 mchezo uliofuata tukacheza dhidi ya KMC FC na wachezaji wengi wa kimataifa walianza pia tukafungwa goli 2 bila Benchi la ufundi kikafanya mabadiliko kadhaa kwenye mchezo uliofuata dhidi ya JKT Tanzania Na tukapata ushindi kwenye moja ya Viwanja ambavyo Timu zote za ligi kuu hakuna iliyopata ushindi Baada ya Benchi la Ufundi kuridhika na vipaji vya wachezaji wetu wa ndani waliotupa Ushindi wa mchezo wa JKT Tanzania wakaridhishwa kwamba wachezaji wale wanafaa baadhi yao kuanza kwenye mchezo dhidi ya Yanga, kwa upande wa Timu yetu Tumefurahi Timu ilicheza vizuri kwa nidhamu ya hali ya juu na mchezo ukaisha kwa goal 2-1 Sasa baada ya mchezo ule wameibuka watu wanaojiita wachambuzi kwa vivuli vya ushabiki wao na roho zao mbaya na umaskini uliowajaa wanataka kutupangia Kikosi chetu kitu Ambacho kwetu hakikubaliki hata kidogo Ni mfano uone mwanaume Ameoa wake 4 alafu wewe jirani yake unataka kumpangia kwamba Leo kalale kwa mwanamke huyu na utapikiwa na huyu hilo haliwezekani Abadani SISI HATUPANGIWI MAISHA NA VITAKATAKA KAMA NYINYI
    0 Commentarios ·0 Acciones ·963 Views
    Please log in to like, share and comment!
  • Capcut Apk @capcut updated the profile picture
    2025-02-18 13:56:19 ·
    0 Commentarios ·0 Acciones ·222 Views
    Please log in to like, share and comment!
  • Visualización (23161-23170 de 24402)
  • «
  • Anterior
  • 2315
  • 2316
  • 2317
  • 2318
  • 2319
  • Paso anterior
  • »
Upgrade to Pro
Choose the Plan That's Right for You
Upgrade
© 2025 Socialpop
Spanish
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
About Términos Privacidad Contact Us Directorio Desarrolladores