• Privaldinho

    CEO wa Getafe si anachambua. Sasa na mimi nianze kuchambua.

    Nimetazama vikosi vya Singida mechi 4 za nyuma

    Makipa
    Vs Kagera - Metacha
    Vs JKT - Amas
    Vs KMC - Masalanga
    Vs Yanga - Masalanga
    Ndani ya mechi nne makipa watatu

    Beki ya kushoto Imoro amecheza mechi 2 kati ya 5, vs Makolo, Mechi za Kagera na KMC akacheza Malonga. Vs JKT akacheza Imoro, vs Yanga akacheza Gadiel. Mechi 5 mabeki wa kushoto 3.

    Mechi ya JKT mabeki wa kati alikuwa Assink na Kennedy (Tra bi ta hakuwepo), jana ameanzia benchi. Mechi ya KMC alianza Tra bita na Kennedy. Tra bi ta alitolewa dkk 46 akaingia Assink beki mpya ambaye ameanza jana.

    Mechi ya Kagera Kennedy hakucheza wakaanza Tra bita na Manyama, vs makolo Kennedy na tra bi na vs Ken Gold, Kennedy na Manyama. Maana yake, kuna Manyama, Tra, Kennedy na ongezeko la beki mpya Assink kutoka Ghana aliyecheza jana. Kiufupi hakuna mwenye uhakika wa namba eneo hilo.

    Viungo wa kati
    Vs Yanga (Damaro, Nashon, Gego) Chukwu akabadilishiwa majukumu)
    Vs JKT (Chukwu, Nashon, Arthur)
    Vs KMC (Damaro, Athur, Tchakei)
    Vs Kagera (Damaro, Chukwu, Athur)
    vs Kolo (Damaro, Gego, Keyekeh)
    Vs Ken Gold (Damaro, Gego, Keyekeh)

    Yanga vs Singida wameanza na viungo wakabaji kiasilia 3. Damaro aliyecheza mechi 5/6, Gego aliyeanza mechi 3/3 na kutokea sub mechi 2.

    NB: Eneo la ushambuliaji, Tchakae hajacheza vs JKT na Yanga. Jana wamelalamika hajacheza ila hawajajiuliza kwanini hakucheza vs JKt

    Vs Yanga - Pokou Rupia Adebayor (Sowah Sub)
    Vs JKT - Lyanga, Sowah, Pokou (Rupia top scorer out)
    Vs KMC - Sowah, Rupia, Pokou (timu ikakosa balance, nyuma yao yupo Tchake (luxury player) wakapoteza mechi.) Hii ni kwa wale mnafirikia Sowah na Rupia kuanza pamoja away. KMC waliongoza umiliki wa mchezo. Kidogo kipindi cha pili Singida walibadilika baada ya sub ya Rupia, Pokou na Tchakei, akaingia Gego na Tchukwu

    Vs Kagera -Sowah, Rupia, Tchakei (matokeo 2-2, kwa mara nyingine wanakuwa vulnerable kudefend. Mbaya zaidi wakiwa nyumbani.

    Vs Kolo - Tchakei, Rupia Athur
    Vs Ken Gold - Tchakei, Rupia, Adebayor
    Vs Prisons - Lyanga, Rupia Tchakei

    Ni wachache sana wenye uhakika wa namba. Agenda ya kikosi kubadilika sio habari mpya kwao labda kama wewe ni mgeni wa JIJI

    Privaldinho ✍️ CEO wa Getafe si anachambua. Sasa na mimi nianze kuchambua. Nimetazama vikosi vya Singida mechi 4 za nyuma Makipa Vs Kagera - Metacha Vs JKT - Amas Vs KMC - Masalanga Vs Yanga - Masalanga Ndani ya mechi nne makipa watatu Beki ya kushoto Imoro amecheza mechi 2 kati ya 5, vs Makolo, Mechi za Kagera na KMC akacheza Malonga. Vs JKT akacheza Imoro, vs Yanga akacheza Gadiel. Mechi 5 mabeki wa kushoto 3. Mechi ya JKT mabeki wa kati alikuwa Assink na Kennedy (Tra bi ta hakuwepo), jana ameanzia benchi. Mechi ya KMC alianza Tra bita na Kennedy. Tra bi ta alitolewa dkk 46 akaingia Assink beki mpya ambaye ameanza jana. Mechi ya Kagera Kennedy hakucheza wakaanza Tra bita na Manyama, vs makolo Kennedy na tra bi na vs Ken Gold, Kennedy na Manyama. Maana yake, kuna Manyama, Tra, Kennedy na ongezeko la beki mpya Assink kutoka Ghana aliyecheza jana. Kiufupi hakuna mwenye uhakika wa namba eneo hilo. Viungo wa kati Vs Yanga (Damaro, Nashon, Gego) Chukwu akabadilishiwa majukumu) Vs JKT (Chukwu, Nashon, Arthur) Vs KMC (Damaro, Athur, Tchakei) Vs Kagera (Damaro, Chukwu, Athur) vs Kolo (Damaro, Gego, Keyekeh) Vs Ken Gold (Damaro, Gego, Keyekeh) Yanga vs Singida wameanza na viungo wakabaji kiasilia 3. Damaro aliyecheza mechi 5/6, Gego aliyeanza mechi 3/3 na kutokea sub mechi 2. NB: Eneo la ushambuliaji, Tchakae hajacheza vs JKT na Yanga. Jana wamelalamika hajacheza ila hawajajiuliza kwanini hakucheza vs JKt Vs Yanga - Pokou Rupia Adebayor (Sowah Sub) Vs JKT - Lyanga, Sowah, Pokou (Rupia top scorer out) Vs KMC - Sowah, Rupia, Pokou (timu ikakosa balance, nyuma yao yupo Tchake (luxury player) wakapoteza mechi.) Hii ni kwa wale mnafirikia Sowah na Rupia kuanza pamoja away. KMC waliongoza umiliki wa mchezo. Kidogo kipindi cha pili Singida walibadilika baada ya sub ya Rupia, Pokou na Tchakei, akaingia Gego na Tchukwu Vs Kagera -Sowah, Rupia, Tchakei (matokeo 2-2, kwa mara nyingine wanakuwa vulnerable kudefend. Mbaya zaidi wakiwa nyumbani. Vs Kolo - Tchakei, Rupia Athur Vs Ken Gold - Tchakei, Rupia, Adebayor Vs Prisons - Lyanga, Rupia Tchakei Ni wachache sana wenye uhakika wa namba. Agenda ya kikosi kubadilika sio habari mpya kwao labda kama wewe ni mgeni wa JIJI
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·987 Views
  • Katika hatua mpya ya mzozo unaoendelea Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo , kundi la Waasi wa M23 likishirikiana na Muungano wa Mto Congo (AFC) limetangaza kuwa Wanajeshi wa zamani wa Jeshi la DR Congo (FARDC) waliokamatwa au kujisalimisha wamehitimu mafunzo ya kiitikadi na mbinu za kijeshi.

    Katika taarifa ya Kundi la M23 kwenye mtandao wao wa X leo Februari 18, picha zilionyesha Wanajeshi hao wakiwa na sare na silaha rasmi za wanamgambo hao. Ujumbe uliambatana na chapisho hilo ulieleza:

    "Wanajeshi wa zamani wa FARDC, waliokamatwa au kujisalimisha, wamemaliza mafunzo ya kiitikadi na mbinu huko Rumangabo Mjini Goma chini ya AFC/M23. Sasa wakiwa na vifaa kamili na wanaolipwa, wametumwa Lubero, ambako wanashiriki kikamilifu muungano wa serikali."

    Wakati huo huo, Uganda imetangaza kuwa vikosi vyake vya kijeshi vimeanza kuelekea Bunia, DRC, ikiwa ni siku chache baada ya Jeshi la Uganda kutoa muda wa saa 24 kwa Askari waliopo eneo hilo kujisalimisha.

    Taarifa nyingine kuwa, hapo jana Kundi la Waasi hao wa M23 wamefanikiwa kuteka eneo la Kamanyola na sasa hivi wanajipanga kuelekea Uvira, Fizi kisha Mkoa wa Tanganyika (Kalemie) kabla ya kwenda Mjini Lubumbashi. Kwa mujibu wa Wananchi wa Kamanyala wanasema kuwa Kundi la Wapiganaji wa Wazalendo ambao wanapigana kwa upande wa Serikali waliibwa Silaha zao kisha wakakimbia na kuwaachia M23 kuichukua Kamanyola.

    Katika hatua mpya ya mzozo unaoendelea Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo 🇨🇩, kundi la Waasi wa M23 likishirikiana na Muungano wa Mto Congo (AFC) limetangaza kuwa Wanajeshi wa zamani wa Jeshi la DR Congo (FARDC) waliokamatwa au kujisalimisha wamehitimu mafunzo ya kiitikadi na mbinu za kijeshi. Katika taarifa ya Kundi la M23 kwenye mtandao wao wa X leo Februari 18, picha zilionyesha Wanajeshi hao wakiwa na sare na silaha rasmi za wanamgambo hao. Ujumbe uliambatana na chapisho hilo ulieleza: "Wanajeshi wa zamani wa FARDC, waliokamatwa au kujisalimisha, wamemaliza mafunzo ya kiitikadi na mbinu huko Rumangabo Mjini Goma chini ya AFC/M23. Sasa wakiwa na vifaa kamili na wanaolipwa, wametumwa Lubero, ambako wanashiriki kikamilifu muungano wa serikali." Wakati huo huo, Uganda imetangaza kuwa vikosi vyake vya kijeshi vimeanza kuelekea Bunia, DRC, ikiwa ni siku chache baada ya Jeshi la Uganda kutoa muda wa saa 24 kwa Askari waliopo eneo hilo kujisalimisha. Taarifa nyingine kuwa, hapo jana Kundi la Waasi hao wa M23 wamefanikiwa kuteka eneo la Kamanyola na sasa hivi wanajipanga kuelekea Uvira, Fizi kisha Mkoa wa Tanganyika (Kalemie) kabla ya kwenda Mjini Lubumbashi. Kwa mujibu wa Wananchi wa Kamanyala wanasema kuwa Kundi la Wapiganaji wa Wazalendo ambao wanapigana kwa upande wa Serikali waliibwa Silaha zao kisha wakakimbia na kuwaachia M23 kuichukua Kamanyola.
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·933 Views
  • Like
    1
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·283 Views ·1
  • #SportsElite
    #NBCPremierligue FT
    #SportsElite🇹🇿 #NBCPremierligue FT
    Like
    Yay
    2
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·1K Views
  • #SportsElite
    #UEFAChampionsLigue FT
    #SportsElite #UEFAChampionsLigue FT
    Sad
    1
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·1K Views
  • #SportsElite
    #NBCPremierligue
    #SportsElite 🇹🇿 #NBCPremierligue
    Like
    2
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·1K Views
  • KWENU MNAOJIITA WACHAMBUZI KWA KOFIA ZA USHABIKI NA CHUKI BINAFSI

    kuna kipindi Azam Fc iliwapa wachezaji 5 Simba sports club ili Simba ichukue Ubingwa

    Kuna kipindi kwenye mchezo mmoja Saido ntibanzokiza aliachiwa magoli matano kwenye mechi moja ili Amfikie Fiston kalala Mayele

    Kuna kipindi mchezaji wa Coastal Union alikwepa mpira uliopigwa na saido ili uwe goli

    Mzunguko wa kwanza michezo 2 ya kwanza ya Simba sc dhidi ya Tabora United na Fountain Gate fc wachezaji walifungiwa na kuonekana hawana vibali baada ya wote kucheza na Simba vibali vyao vilikuwepo na walicheza vema na kushinda

    Mzunguko huu wa pili vivyo hivyo Tabora United wachezaji wake Muhimu walikuwa majeruhi na wengine hawakuwa na vibali ila mara tu baada ya kucheza na Simba wachezaji wote walipata vibali na waliokuwa wanaumwa walipona

    Yanga sc ambayo jana imetufunga goli 2 kwa moja ni kikosi hiki hiki kama sikosei ndicho kilichowalamba Tano ni Yanga hii hii ambayo mtoto amezaliwa na amekuwa hajawahi kuona japo Simba ikipata walau Draw dhidi ya yanga kila siku ni vichapo tu

    Nilichogundua mashabiki wengi wa Simba wana wivu sana huwa wanataka wafungwe wao peke yao na Yanga

    Mkiona hapawafai mnaruhusiwa kuhama ligi ila kwa Taarifa za ndaaaaaaani Yanga wamesema popote mtakapohamia na wenyewe watakuja

    Asubuhi mbaya kwenu wabaya wetu
    KWENU MNAOJIITA WACHAMBUZI KWA KOFIA ZA USHABIKI NA CHUKI BINAFSI kuna kipindi Azam Fc iliwapa wachezaji 5 Simba sports club ili Simba ichukue Ubingwa Kuna kipindi kwenye mchezo mmoja Saido ntibanzokiza aliachiwa magoli matano kwenye mechi moja ili Amfikie Fiston kalala Mayele Kuna kipindi mchezaji wa Coastal Union alikwepa mpira uliopigwa na saido ili uwe goli Mzunguko wa kwanza michezo 2 ya kwanza ya Simba sc dhidi ya Tabora United na Fountain Gate fc wachezaji walifungiwa na kuonekana hawana vibali baada ya wote kucheza na Simba vibali vyao vilikuwepo na walicheza vema na kushinda Mzunguko huu wa pili vivyo hivyo Tabora United wachezaji wake Muhimu walikuwa majeruhi na wengine hawakuwa na vibali ila mara tu baada ya kucheza na Simba wachezaji wote walipata vibali na waliokuwa wanaumwa walipona Yanga sc ambayo jana imetufunga goli 2 kwa moja ni kikosi hiki hiki kama sikosei ndicho kilichowalamba Tano ni Yanga hii hii ambayo mtoto amezaliwa na amekuwa hajawahi kuona japo Simba ikipata walau Draw dhidi ya yanga kila siku ni vichapo tu Nilichogundua mashabiki wengi wa Simba wana wivu sana huwa wanataka wafungwe wao peke yao na Yanga Mkiona hapawafai mnaruhusiwa kuhama ligi ila kwa Taarifa za ndaaaaaaani Yanga wamesema popote mtakapohamia na wenyewe watakuja Asubuhi mbaya kwenu wabaya wetu
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·986 Views
  • #SportsElite
    #CRDBFederation
    #SportsElite🇹🇿 #CRDBFederation
    Love
    1
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·812 Views
  • 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·231 Views
  • Like
    Love
    2
    · 0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·293 Views