Résultats de Recherche
Voir tous les résulats
Socialpop Socialpop Socialpop
Domicile
Groupes
Pages
Marketplace
Plus
Groupes Pages Marketplace Evènements Blogs Financement Offres Emplois Courses Forums Film
Nous rejoindre
Se connecter S’enregistrer
Sélecteur de thème
Mode nuit
Annuaire
Utilisateurs
Articles
Pages
Groupes
Evènements
  • David Atto @Mefa Ajouter une nouvelle offre
    2025-02-19 19:59:36 ·
    Like
    Love
    2
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·260 Vue
    Connectez-vous pour aimer, partager et commenter!
  • David Atto @Mefa a ajouté une photo
    2025-02-19 19:59:59 ·
    Like
    Love
    Wow
    3
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·240 Vue
    Connectez-vous pour aimer, partager et commenter!
  • David Atto @Mefa a ajouté une photo
    2025-02-19 20:00:29 ·
    Like
    Love
    Wow
    4
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·242 Vue
    Connectez-vous pour aimer, partager et commenter!
  • Tomgyy Marco @Tripxzz Mise à jour de la photo de profil
    2025-02-19 22:51:09 ·
    0 Commentaires ·0 Parts ·239 Vue
    Connectez-vous pour aimer, partager et commenter!
  • David Atto @Mefa a ajouté une photo
    2025-02-20 07:16:33 ·
    Like
    Love
    5
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·238 Vue
    Connectez-vous pour aimer, partager et commenter!
  • David Atto @Mefa a ajouté une photo
    2025-02-20 07:17:28 ·
    MASHEMEJI DERBY - KENYA.
    MASHEMEJI DERBY - KENYA.
    Like
    Love
    5
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·618 Vue
    Connectez-vous pour aimer, partager et commenter!
  • Elisa Hart @Kimelisa25 Mise à jour de la photo de profil
    2025-02-20 08:48:47 ·
    0 Commentaires ·0 Parts ·239 Vue
    Connectez-vous pour aimer, partager et commenter!
  • Elisa Hart @Kimelisa25
    2025-02-20 08:50:54 ·
    I feel really lonely
    I feel really lonely 🥺😩
    0 Commentaires ·0 Parts ·280 Vue
    Connectez-vous pour aimer, partager et commenter!
  • NELIUD COSIAH @nelly2020 a ajouté une photo
    2025-02-20 09:20:13 ·
    BAADHI YA MAENEO MAARUFU KATIKA BIBLIA YALIVO HII LEO

    01. MLIMA SINAI

    Mlima ambao Mungu aliwapa Waisraeli sheria yake ulikuwa katika jangwa hilo la kale.

    Mara kadhaa Musa alipanda juu ili kupokea maagizo mbalimbali.

    Vibao viwili vya mawe vilichongwa na maandishi ya amri kumi za Mungu mlimani. kwamba uwepo wa Mungu ulifunika kilele na wingu zito na umeme mkali wakati wa uchongaji amri kumi za Mungu
    BAADHI YA MAENEO MAARUFU KATIKA BIBLIA YALIVO HII LEO 01. MLIMA SINAI Mlima ambao Mungu aliwapa Waisraeli sheria yake ulikuwa katika jangwa hilo la kale. Mara kadhaa Musa alipanda juu ili kupokea maagizo mbalimbali. Vibao viwili vya mawe vilichongwa na maandishi ya amri kumi za Mungu mlimani. kwamba uwepo wa Mungu ulifunika kilele na wingu zito na umeme mkali wakati wa uchongaji amri kumi za Mungu
    0 Commentaires ·0 Parts ·497 Vue
    Connectez-vous pour aimer, partager et commenter!
  • NELIUD COSIAH @nelly2020 a ajouté une photo
    2025-02-20 09:21:48 ·
    2. BABELI

    Kigeographia Babeli hii leo ipo Iraq

    Babeli Nchi hii ambayo ilikuwa na mwanzo wake huko Mesopotamia inarejelewa katika Maandiko yote.

    Katika maandishi mengi ya kale inafafanuliwa kuwa kitovu cha wafanyabiashara na biashara.

    Wakati wa Yoshua mwanamume wa Israeli alisimulia jinsi alivyopata vazi la kipekee, “joho nzuri kutoka Babeli, vipande vya fedha mia mbili, na kipande cha dhahabu, uzani wake shekeli hamsini” (Yoshua 7:21).

    Babiloni pia likawa makao ya maelfu ya Waisraeli wakati wa utekwa. Nebukadneza II alikuwa amevamia Yerusalemu na jeshi lake na kuchukua sehemu kubwa ya watu hadi ufalme wake. Aliteketeza hekalu lililojengwa na Sulemani na kuharibu jumba la kifalme kando ya kila jengo kubwa la Yerusalemu.
    2. BABELI Kigeographia Babeli hii leo ipo Iraq Babeli Nchi hii ambayo ilikuwa na mwanzo wake huko Mesopotamia inarejelewa katika Maandiko yote. Katika maandishi mengi ya kale inafafanuliwa kuwa kitovu cha wafanyabiashara na biashara. Wakati wa Yoshua mwanamume wa Israeli alisimulia jinsi alivyopata vazi la kipekee, “joho nzuri kutoka Babeli, vipande vya fedha mia mbili, na kipande cha dhahabu, uzani wake shekeli hamsini” (Yoshua 7:21). Babiloni pia likawa makao ya maelfu ya Waisraeli wakati wa utekwa. Nebukadneza II alikuwa amevamia Yerusalemu na jeshi lake na kuchukua sehemu kubwa ya watu hadi ufalme wake. Aliteketeza hekalu lililojengwa na Sulemani na kuharibu jumba la kifalme kando ya kila jengo kubwa la Yerusalemu.
    Love
    1
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·461 Vue
    Connectez-vous pour aimer, partager et commenter!
  • Affichage (23181-23190 de 25870)
  • «
  • Préc.
  • 2317
  • 2318
  • 2319
  • 2320
  • 2321
  • Étape Suivante
  • »
Mise à niveau vers Pro
Choisissez le forfait qui vous convient
Mise à niveau
© 2025 Socialpop
French
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
Environ Conditions générale de vente Confidentialité Contactez nous Annuaire Développeurs