نتائج البحث
عرض كل النتائج
Socialpop Socialpop Socialpop
الرئيسية
المجموعات
الصفحات
سوق المنتجات
شاهد المزيد
المجموعات الصفحات سوق المنتجات المناسبات المدونات التمويل مفاوضاتي وظائف Courses المنتديات الافلام
انضم إلينا
تسجيل الدخول تسجيل
Theme Switcher
الوضع المظلم
الدليل
المستخدمون
المنشورات
الصفحات
المجموعات
المناسبات
  • Godianus Bagumya @Talentedplanet أضاف صورة
    2025-02-20 13:23:41 ·
    bila D mbili huwezi kueielewa hii post usisahau kulike na kucomment na kunifollow pia.
    😂😂😂 bila D mbili huwezi kueielewa hii post usisahau kulike na kucomment na kunifollow pia.
    Haha
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·774 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Godianus Bagumya @Talentedplanet أضاف صورة
    2025-02-20 13:57:09 ·
    Mh! Ila nandy.
    Mh! Ila nandy.
    Wow
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·314 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Godianus Bagumya @Talentedplanet أضاف صورة
    2025-02-20 14:10:55 ·
    Na ukute na Viongozi wetu wa nchi wamepitia hapa
    Na ukute na Viongozi wetu wa nchi wamepitia hapa 👇👇👇
    Love
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·189 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Godianus Bagumya @Talentedplanet أضاف صورة
    2025-02-20 14:12:47 ·
    Hii kitu waachie watz
    Hii kitu waachie watz
    Like
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·196 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Godianus Bagumya @Talentedplanet أضاف صورة
    2025-02-20 14:16:15 ·
    Wengi tumemjua kupitia kwenye kipaji chake cha muziki sasa usingekuwa muziki unahisi angekuwa nani???
    Wengi tumemjua kupitia kwenye kipaji chake cha muziki sasa usingekuwa muziki unahisi angekuwa nani???
    Like
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·250 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Godianus Bagumya @Talentedplanet أضاف صورة
    2025-02-20 14:18:32 ·
    natoa post kufurahi na wenzangu
    😂😂😂natoa post kufurahi na wenzangu
    Haha
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·190 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Godianus Bagumya @Talentedplanet أضاف صورة
    2025-02-20 14:20:38 ·
    likes na comments ni za muhimu sana ndugu zangu
    😂😂😂likes na comments ni za muhimu sana ndugu zangu
    Haha
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·635 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Apple Apple @apple تحديث صورة الملف الشخصي
    2025-02-20 16:46:09 ·
    Love
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·216 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Apple Apple @apple أضاف صورة
    2025-02-20 16:49:34 ·
    Hello guys, let's be friend
    Hello guys, let's be friend 😘
    Love
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·335 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 أضاف صورة
    2025-02-20 19:19:30 ·
    Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imeomba msaada wa kijeshi kutoka Nchini Chad katika jitihada zake za kupambana na Waasi wa kundi la M23 wanaodaiwa kuungwa mkono na Nchi ya Rwanda . Waziri anayeshughulikia masuala ya kikanda wa DR Congo alikutana na Rais wa Chad, Mahamat Idriss Deby Itno, Jumanne akimuwakilisha Rais wa DR Congo, Felix Tshisekedi, kwa mujibu wa taarifa kutoka ofisi ya Rais wa Chad na kusasishwa kwenye wa mtandao wa Facebook.

    Maelezo ya kina ya mazungumzo yao hajawekwa wazi. Mmoja wa Maafisa wa Chad anayeyefahamu mazungumzo hayo alisema Chad inalibeba ombi la kuombwa msaada na DR Congo, lakini bado haijafanya maamuzi kuhusu ombi hilo. Chanzo kutoka Ofisi ya Rais DR Congo C kimeiambia BBC kuwa kuwa Nchi hiyo imeomba msaada wa kijeshi na kidiplomasia kutoka Nchini Chad.

    Hata hivyo chanzo hicho ambacho hakijataka kutambulishwa kwa sababu za ndani, hakijatoa maelezo zaidi. Msemaji wa Serikali ya Chad, Gassim Cherif, hakujibu ombi la kutoa maoni yake kuhusu hili, kwa mujibu wa Reuters. Kwa upande wake, Msemaji wa Rais Tshisekedi, Tina Salama, alisema hana taarifa yoyote kuhusu suala hilo.

    Wiki iliyopita, Waziri wa Mambo ya Nje wa Chad aliiambia Reuters kuwa kupeleka msaada wa kijeshi DR Congo ni "taarifa za tetesi" bado haijathibitishwa rasmi.
    (BBC)

    Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo 🇨🇩 imeomba msaada wa kijeshi kutoka Nchini Chad 🇹🇩 katika jitihada zake za kupambana na Waasi wa kundi la M23 wanaodaiwa kuungwa mkono na Nchi ya Rwanda 🇷🇼. Waziri anayeshughulikia masuala ya kikanda wa DR Congo alikutana na Rais wa Chad, Mahamat Idriss Deby Itno, Jumanne akimuwakilisha Rais wa DR Congo, Felix Tshisekedi, kwa mujibu wa taarifa kutoka ofisi ya Rais wa Chad na kusasishwa kwenye wa mtandao wa Facebook. Maelezo ya kina ya mazungumzo yao hajawekwa wazi. Mmoja wa Maafisa wa Chad anayeyefahamu mazungumzo hayo alisema Chad inalibeba ombi la kuombwa msaada na DR Congo, lakini bado haijafanya maamuzi kuhusu ombi hilo. Chanzo kutoka Ofisi ya Rais DR Congo C kimeiambia BBC kuwa kuwa Nchi hiyo imeomba msaada wa kijeshi na kidiplomasia kutoka Nchini Chad. Hata hivyo chanzo hicho ambacho hakijataka kutambulishwa kwa sababu za ndani, hakijatoa maelezo zaidi. Msemaji wa Serikali ya Chad, Gassim Cherif, hakujibu ombi la kutoa maoni yake kuhusu hili, kwa mujibu wa Reuters. Kwa upande wake, Msemaji wa Rais Tshisekedi, Tina Salama, alisema hana taarifa yoyote kuhusu suala hilo. Wiki iliyopita, Waziri wa Mambo ya Nje wa Chad aliiambia Reuters kuwa kupeleka msaada wa kijeshi DR Congo ni "taarifa za tetesi" bado haijathibitishwa rasmi. (BBC)
    Like
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·689 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • عرض (23231-23240 من 24401)
  • «
  • السابق
  • 2322
  • 2323
  • 2324
  • 2325
  • 2326
  • التالي
  • »
ترقية الحساب
اختر الخطة التي تناسبك
ترقية
© 2025 Socialpop
Arabic
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
الشروط الخصوصية اتصل بنا الدليل المطوريين