Результаты поиска
Все результаты
Socialpop Socialpop Socialpop
Главная
Группы
Страницы
Marketplace
Больше
Группы Страницы Marketplace Мероприятия Статьи пользователей Funding Offers Jobs Courses Форумы Кинозал
Вступить
Войти Регистрация
Theme Switcher
Ночной режим
Каталог
Пользователи
Записей
Страницы
Группы
Мероприятия
  • Godianus Bagumya @Talentedplanet добавлены фото
    2025-02-20 13:23:41 ·
    bila D mbili huwezi kueielewa hii post usisahau kulike na kucomment na kunifollow pia.
    😂😂😂 bila D mbili huwezi kueielewa hii post usisahau kulike na kucomment na kunifollow pia.
    Haha
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·778 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Godianus Bagumya @Talentedplanet добавлены фото
    2025-02-20 13:57:09 ·
    Mh! Ila nandy.
    Mh! Ila nandy.
    Wow
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·318 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Godianus Bagumya @Talentedplanet добавлены фото
    2025-02-20 14:10:55 ·
    Na ukute na Viongozi wetu wa nchi wamepitia hapa
    Na ukute na Viongozi wetu wa nchi wamepitia hapa 👇👇👇
    Love
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·193 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Godianus Bagumya @Talentedplanet добавлены фото
    2025-02-20 14:12:47 ·
    Hii kitu waachie watz
    Hii kitu waachie watz
    Like
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·200 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Godianus Bagumya @Talentedplanet добавлены фото
    2025-02-20 14:16:15 ·
    Wengi tumemjua kupitia kwenye kipaji chake cha muziki sasa usingekuwa muziki unahisi angekuwa nani???
    Wengi tumemjua kupitia kwenye kipaji chake cha muziki sasa usingekuwa muziki unahisi angekuwa nani???
    Like
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·254 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Godianus Bagumya @Talentedplanet добавлены фото
    2025-02-20 14:18:32 ·
    natoa post kufurahi na wenzangu
    😂😂😂natoa post kufurahi na wenzangu
    Haha
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·195 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Godianus Bagumya @Talentedplanet добавлены фото
    2025-02-20 14:20:38 ·
    likes na comments ni za muhimu sana ndugu zangu
    😂😂😂likes na comments ni za muhimu sana ndugu zangu
    Haha
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·640 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Apple Apple @apple обновить изображение профиля
    2025-02-20 16:46:09 ·
    Love
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·221 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Apple Apple @apple добавлены фото
    2025-02-20 16:49:34 ·
    Hello guys, let's be friend
    Hello guys, let's be friend 😘
    Love
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·341 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 добавлены фото
    2025-02-20 19:19:30 ·
    Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imeomba msaada wa kijeshi kutoka Nchini Chad katika jitihada zake za kupambana na Waasi wa kundi la M23 wanaodaiwa kuungwa mkono na Nchi ya Rwanda . Waziri anayeshughulikia masuala ya kikanda wa DR Congo alikutana na Rais wa Chad, Mahamat Idriss Deby Itno, Jumanne akimuwakilisha Rais wa DR Congo, Felix Tshisekedi, kwa mujibu wa taarifa kutoka ofisi ya Rais wa Chad na kusasishwa kwenye wa mtandao wa Facebook.

    Maelezo ya kina ya mazungumzo yao hajawekwa wazi. Mmoja wa Maafisa wa Chad anayeyefahamu mazungumzo hayo alisema Chad inalibeba ombi la kuombwa msaada na DR Congo, lakini bado haijafanya maamuzi kuhusu ombi hilo. Chanzo kutoka Ofisi ya Rais DR Congo C kimeiambia BBC kuwa kuwa Nchi hiyo imeomba msaada wa kijeshi na kidiplomasia kutoka Nchini Chad.

    Hata hivyo chanzo hicho ambacho hakijataka kutambulishwa kwa sababu za ndani, hakijatoa maelezo zaidi. Msemaji wa Serikali ya Chad, Gassim Cherif, hakujibu ombi la kutoa maoni yake kuhusu hili, kwa mujibu wa Reuters. Kwa upande wake, Msemaji wa Rais Tshisekedi, Tina Salama, alisema hana taarifa yoyote kuhusu suala hilo.

    Wiki iliyopita, Waziri wa Mambo ya Nje wa Chad aliiambia Reuters kuwa kupeleka msaada wa kijeshi DR Congo ni "taarifa za tetesi" bado haijathibitishwa rasmi.
    (BBC)

    Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo 🇨🇩 imeomba msaada wa kijeshi kutoka Nchini Chad 🇹🇩 katika jitihada zake za kupambana na Waasi wa kundi la M23 wanaodaiwa kuungwa mkono na Nchi ya Rwanda 🇷🇼. Waziri anayeshughulikia masuala ya kikanda wa DR Congo alikutana na Rais wa Chad, Mahamat Idriss Deby Itno, Jumanne akimuwakilisha Rais wa DR Congo, Felix Tshisekedi, kwa mujibu wa taarifa kutoka ofisi ya Rais wa Chad na kusasishwa kwenye wa mtandao wa Facebook. Maelezo ya kina ya mazungumzo yao hajawekwa wazi. Mmoja wa Maafisa wa Chad anayeyefahamu mazungumzo hayo alisema Chad inalibeba ombi la kuombwa msaada na DR Congo, lakini bado haijafanya maamuzi kuhusu ombi hilo. Chanzo kutoka Ofisi ya Rais DR Congo C kimeiambia BBC kuwa kuwa Nchi hiyo imeomba msaada wa kijeshi na kidiplomasia kutoka Nchini Chad. Hata hivyo chanzo hicho ambacho hakijataka kutambulishwa kwa sababu za ndani, hakijatoa maelezo zaidi. Msemaji wa Serikali ya Chad, Gassim Cherif, hakujibu ombi la kutoa maoni yake kuhusu hili, kwa mujibu wa Reuters. Kwa upande wake, Msemaji wa Rais Tshisekedi, Tina Salama, alisema hana taarifa yoyote kuhusu suala hilo. Wiki iliyopita, Waziri wa Mambo ya Nje wa Chad aliiambia Reuters kuwa kupeleka msaada wa kijeshi DR Congo ni "taarifa za tetesi" bado haijathibitishwa rasmi. (BBC)
    Like
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·693 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Отображение (23231-23240 из 24401)
  • «
  • Назад
  • 2322
  • 2323
  • 2324
  • 2325
  • 2326
  • Далее
  • »
Обновить до Про
Выберите подходящий план
Обновить
© 2025 Socialpop
Russian
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
О нас Условия использования Конфиденциальность Свяжитесь с нами Каталог Разработчики