• Uingereza imesitisha kutoa baadhi ya misaada ya moja kwa moja kwa Nchi ya Rwanda kufuatia kuendelea kwa machafuko ya yanayosababishwa na Vikundi huko Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kikiwemo Kikundi cha Waasi cha M23 ambacho kinadaiwa kuungwa mkono na Nchi ya Rwanda.

    Uamuzi huo unakuja baada ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza, David Lammy kukutana na Rais wa Rwanda, Paul Kagame Jijini Kigali, Rwanda na Rais wa DR Congo, Felix Tshisekedi Jijini Kinshasa, DR Congo.

    Uingereza 馃嚞馃嚙 imesitisha kutoa baadhi ya misaada ya moja kwa moja kwa Nchi ya Rwanda 馃嚪馃嚰 kufuatia kuendelea kwa machafuko ya yanayosababishwa na Vikundi huko Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo 馃嚚馃嚛 kikiwemo Kikundi cha Waasi cha M23 ambacho kinadaiwa kuungwa mkono na Nchi ya Rwanda. Uamuzi huo unakuja baada ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza, David Lammy kukutana na Rais wa Rwanda, Paul Kagame Jijini Kigali, Rwanda na Rais wa DR Congo, Felix Tshisekedi Jijini Kinshasa, DR Congo.
    0 Comments 0 Shares 30 Views
  • Baada ya kujiondoa kwenye Umoja wa Nchi Magharibi (ECOWAS) na kuunda Umoja wao wa Mataifa wa Sahel (AES), Nchi za Niger , Mali , na Burkina faso , zimezindua rasmi Bendera yake mpya ya Umoja huo.

    Umoja huo wa (AES) baada ya kuanzisha Pasi ya kusafiria (Pasipoti) na Kikosi cha Wanajeshi Elfu wa pamoja tano (5000), umepanga pia kuanzisha (kuunda) sarafu moja inayotumika katika Mataifa hayo.

    Ikumbukwe kwamba Nchi hizo tatu (3) zinazoongozwa Kijeshi baada ya Majeshi ya Nchi hizo kupundua Kiongozi waliokuwepo madarakani

    Baada ya kujiondoa kwenye Umoja wa Nchi Magharibi (ECOWAS) na kuunda Umoja wao wa Mataifa wa Sahel (AES), Nchi za Niger 馃嚦馃嚜, Mali 馃嚥馃嚤, na Burkina faso 馃嚙馃嚝, zimezindua rasmi Bendera yake mpya ya Umoja huo. Umoja huo wa (AES) baada ya kuanzisha Pasi ya kusafiria (Pasipoti) na Kikosi cha Wanajeshi Elfu wa pamoja tano (5000), umepanga pia kuanzisha (kuunda) sarafu moja inayotumika katika Mataifa hayo. Ikumbukwe kwamba Nchi hizo tatu (3) zinazoongozwa Kijeshi baada ya Majeshi ya Nchi hizo kupundua Kiongozi waliokuwepo madarakani
    0 Comments 0 Shares 30 Views