• 0 Commentaires ·0 Parts ·156 Vue
  • Like
    1
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·146 Vue
  • Like
    1
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·155 Vue
  • 0 Commentaires ·0 Parts ·158 Vue
  • Ijumaa, tarehe 28 Februari, haikuwa siku rahisi kwa Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, alipofanya ziara katika Ikulu ya White House, Marekani. Kabla hata ya mzozo wa maneno kati yake na mwenyeji wake, Rais Donald Trump, pamoja na Makamu wa Rais JD Vance, tayari kulikuwa na ishara za mivutano.

    Trump alimkaribisha Zelensky mlangoni na kusema kwa utani: “Leo amevalia kweli kweli,” kauli ambayo iliwafanya baadhi ya waandishi wa habari kuiona kama kejeli badala ya pongezi. Wakati huo, Zelensky alikuwa amevalia fulana nyeusi ya mikono mirefu, vazi ambalo amekuwa akilivaa mara kwa mara tangu Ukraine ivamiwe na Urusi mwaka 2022.

    Baadaye, Trump alipompokea Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, alionekana kutazama mavazi yake kwa makini kutoka juu hadi chini, kisha kunong’ona maneno yanayoweza kutafsiriwa kama pongezi kwa suti rasmi aliyovaa Starmer.

    Mjadala kuhusu mavazi ya Zelensky ulizidi kupamba moto wakati wa mkutano wa waandishi wa habari. Brian Glenn, mwandishi kutoka Real America’s Voice—chombo cha habari kinachopendelea mrengo wa kulia—alimtupia swali la moja kwa moja:

    “Kwa nini hauvai suti? Upo katika ofisi ya juu kabisa katika nchi hii, na umegoma kuvaa suti – je, unamiliki hata suti?”

    Kwa utulivu, Zelensky alijibu kwa mshangao mdogo:

    “Nitavaa suti vita hivi vitakapomalizika. Labda suti kama yako, labda bora zaidi, au pengine ya bei nafuu kuliko yako,” alisema kwa utani huku akionyesha msimamo wake wa kuendelea kuvaa mavazi ya kijeshi.

    Swali hilo la Glenn liliibua mjadala mkali mitandaoni. Wengine walimuunga mkono, wakisema kwamba kiongozi wa taifa anapaswa kuvaa mavazi rasmi anapokutana na viongozi wengine, ilhali wengine waliona swali hilo kuwa la dhihaka na lisilo na umuhimu.

    Miongoni mwa waliomkosoa Glenn ni mwandishi maarufu wa Uingereza, Piers Morgan, ambaye pia ni rafiki wa karibu wa Trump. Morgan aliandika kwenye mtandao wa X (zamani Twitter):

    “Swali la kipuuzi. Elon Musk havai suti anapoingia Ikulu.”

    Historia pia inaonyesha kuwa si Zelensky pekee aliyeingia Ikulu ya Marekani bila suti. Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza, Winston Churchill, alifanya hivyo katika moja ya ziara zake rasmi.
    Ijumaa, tarehe 28 Februari, haikuwa siku rahisi kwa Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, alipofanya ziara katika Ikulu ya White House, Marekani. Kabla hata ya mzozo wa maneno kati yake na mwenyeji wake, Rais Donald Trump, pamoja na Makamu wa Rais JD Vance, tayari kulikuwa na ishara za mivutano. Trump alimkaribisha Zelensky mlangoni na kusema kwa utani: “Leo amevalia kweli kweli,” kauli ambayo iliwafanya baadhi ya waandishi wa habari kuiona kama kejeli badala ya pongezi. Wakati huo, Zelensky alikuwa amevalia fulana nyeusi ya mikono mirefu, vazi ambalo amekuwa akilivaa mara kwa mara tangu Ukraine ivamiwe na Urusi mwaka 2022. Baadaye, Trump alipompokea Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, alionekana kutazama mavazi yake kwa makini kutoka juu hadi chini, kisha kunong’ona maneno yanayoweza kutafsiriwa kama pongezi kwa suti rasmi aliyovaa Starmer. Mjadala kuhusu mavazi ya Zelensky ulizidi kupamba moto wakati wa mkutano wa waandishi wa habari. Brian Glenn, mwandishi kutoka Real America’s Voice—chombo cha habari kinachopendelea mrengo wa kulia—alimtupia swali la moja kwa moja: “Kwa nini hauvai suti? Upo katika ofisi ya juu kabisa katika nchi hii, na umegoma kuvaa suti – je, unamiliki hata suti?” Kwa utulivu, Zelensky alijibu kwa mshangao mdogo: “Nitavaa suti vita hivi vitakapomalizika. Labda suti kama yako, labda bora zaidi, au pengine ya bei nafuu kuliko yako,” alisema kwa utani huku akionyesha msimamo wake wa kuendelea kuvaa mavazi ya kijeshi. Swali hilo la Glenn liliibua mjadala mkali mitandaoni. Wengine walimuunga mkono, wakisema kwamba kiongozi wa taifa anapaswa kuvaa mavazi rasmi anapokutana na viongozi wengine, ilhali wengine waliona swali hilo kuwa la dhihaka na lisilo na umuhimu. Miongoni mwa waliomkosoa Glenn ni mwandishi maarufu wa Uingereza, Piers Morgan, ambaye pia ni rafiki wa karibu wa Trump. Morgan aliandika kwenye mtandao wa X (zamani Twitter): “Swali la kipuuzi. Elon Musk havai suti anapoingia Ikulu.” Historia pia inaonyesha kuwa si Zelensky pekee aliyeingia Ikulu ya Marekani bila suti. Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza, Winston Churchill, alifanya hivyo katika moja ya ziara zake rasmi.
    Like
    Love
    2
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·937 Vue
  • 0 Commentaires ·0 Parts ·292 Vue
  • My first born
    My first born
    0 Commentaires ·0 Parts ·342 Vue
  • Karibu katika bot letu ambalo linauwezo wa kuhack whatsapp ya mtu kwa kuandika namba yake tu!
    Karibu katika majaribio ya bot hilo huko telegram search DUDUU_MENDEZ_BOT au MENDEZ_BUG_bot, shiriki katika majaribio kabla hatujafunga channel na kuwa private
    Link ta channel yetu https://t.me/duduu_mendez_store
    Karibu katika bot letu ambalo linauwezo wa kuhack whatsapp ya mtu kwa kuandika namba yake tu! Karibu katika majaribio ya bot hilo huko telegram search DUDUU_MENDEZ_BOT au MENDEZ_BUG_bot, shiriki katika majaribio kabla hatujafunga channel na kuwa private Link ta channel yetu https://t.me/duduu_mendez_store
    Like
    1
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·868 Vue
  • BOT INAYO DOWNLOAD NYIMBO haraka na kwa mbs kidogo

    Hii ni bot ya telegram ambayo unaipatia maneno kidogo ya muziki unayukumbka inakuletea ngoma nzima pia unaweza kuipa hata sauti ikakuletea wimbo wako, hii inatumika Kudowload nyimbo ni kama shaazam
    Link yake hii hapa https://t.me/Waduduu_musicBot

    Au ingia telegram search Wadudu_musicBot
    BOT INAYO DOWNLOAD NYIMBO haraka na kwa mbs kidogo Hii ni bot ya telegram ambayo unaipatia maneno kidogo ya muziki unayukumbka inakuletea ngoma nzima pia unaweza kuipa hata sauti ikakuletea wimbo wako, hii inatumika Kudowload nyimbo ni kama shaazam Link yake hii hapa https://t.me/Waduduu_musicBot Au ingia telegram search Wadudu_musicBot
    0 Commentaires ·0 Parts ·799 Vue
  • Maboresho mapya Ndani ya SocialPop yanakuijia Mwezi Huu kaa tayari.
    #NiZaidiYaUnyama
    Maboresho mapya Ndani ya SocialPop yanakuijia Mwezi Huu kaa tayari. #NiZaidiYaUnyama
    Like
    Love
    5
    · 1 Commentaires ·0 Parts ·1KB Vue