
-
KLABU YA AL AHLY YAKATWA ALAMA NA ZAMALEK YAPEWA USHINDI CAIRO DERBYLeia mais
Taarifa kutoka nchini Misri zinaripoti taarifa rasmi kutoka Shirikisho la Vilabu nchini Misri kuwa Zamalek imepewa ushindi wa mabao matatu na alama tatu baada ya Al Ahly kutotokea uwanjani kwa kutumia kifungu cha 4(17) kwenye Sheria na Kanuni za Mashindano.
Sambamba na hilo Al Ahly, wamekatwa alama tatu (zitachukuliwa mwishoni mwa msimu) huku pia wakiagizwa kulipa gharama zote za kibiashara pamoja na gharama za Warusha matangazo sambamba na gharama nyingine za ziada kwa mujibu wa kifungu cha 8(17).
Wakati Tanzania Mashabiki wakilalamika, wakati Tanzania Mrusha Matangazo akiingia gharama ambazo mchezo haukuoneshwa, huko Misri Al Ahly kaambiwa awalipe Wadau wote akiwemo Mrusha matangazo kwa hasara aliyomletea, hapa wanalinda maslahi ya Wadhamini.
Licha ya hivyo Al Ahly wamepeleka malalamiko yao kwa Kamati ya Olympic nchini humo ambapo Shirikisho la soka Misri likisubiri majibu ya sakata hilo.
(Farhan JR)
KLABU YA AL AHLY YAKATWA ALAMA NA ZAMALEK YAPEWA USHINDI CAIRO DERBY Taarifa kutoka nchini Misri zinaripoti taarifa rasmi kutoka Shirikisho la Vilabu nchini Misri kuwa Zamalek imepewa ushindi wa mabao matatu na alama tatu baada ya Al Ahly kutotokea uwanjani kwa kutumia kifungu cha 4(17) kwenye Sheria na Kanuni za Mashindano. Sambamba na hilo Al Ahly, wamekatwa alama tatu (zitachukuliwa mwishoni mwa msimu) huku pia wakiagizwa kulipa gharama zote za kibiashara pamoja na gharama za Warusha matangazo sambamba na gharama nyingine za ziada kwa mujibu wa kifungu cha 8(17). Wakati Tanzania Mashabiki wakilalamika, wakati Tanzania Mrusha Matangazo akiingia gharama ambazo mchezo haukuoneshwa, huko Misri Al Ahly kaambiwa awalipe Wadau wote akiwemo Mrusha matangazo kwa hasara aliyomletea, hapa wanalinda maslahi ya Wadhamini. Licha ya hivyo Al Ahly wamepeleka malalamiko yao kwa Kamati ya Olympic nchini humo ambapo Shirikisho la soka Misri likisubiri majibu ya sakata hilo. (Farhan JR) -
-
-
-
Hello everyone #bernaldpeter
-
MTU ALIYE MTUMWA WA MALI HAWEZI KUWA MWAMINIFULeia mais
Mtu aliye mtumwa wa mali hawezi kuwa mwaminifu inamaanisha kwamba mtu anayekitwaa sana na kutafuta utajiri mara nyingi hupoteza uadilifu wake. Hii ni kwa sababu zifuatazo:
1. Utajiri Unakuwa Kipaumbele; Ikiwa kupata mali ndilo jambo la kwanza maishani mwa mtu, anaweza kuwa tayari kukiuka maadili ili kufanikisha malengo yake ya kifedha. Uaminifu unakuwa si muhimu kwake.
2. Jaribu la Kudanganya; Mtu anayetamani sana utajiri anaweza kutumia udanganyifu, hila, au hata kuwadhulumu wengine ili kupata faida za kifedha. Ukweli wake unakuwa chini ya tamaa ya mali.
3. Hofu ya Kupoteza; Mtu aliye mtumwa wa mali anaweza kuwa na hofu ya kupoteza alichonacho, hivyo atakuwa tayari kutumia mbinu zisizo za haki ili kulinda utajiri wake.
4. Uozo wa Maadili; Kadiri mtu anavyoweka pesa mbele ya maadili, ndivyo anavyopoteza mwelekeo wa uaminifu wake. Vitendo vidogo vya udanganyifu huweza kuwa tabia ya kawaida.
5. Ukosefu wa Kuridhika; Uaminifu wa kweli unahitaji mtu awe na moyo wa kuridhika. Mtu anayefungwa na tamaa ya mali mara nyingi hajatosheka na anaweza kuhalalisha udanganyifu ili kupata zaidi.
Kwa ujumla, utajiri si jambo baya, lakini kuwa mtumwa wake kunaweza kumfanya mtu asiwe mwaminifu. Ni muhimu kuwa na mizani kati ya kutafuta mafanikio na kushikamana na maadili mema.MTU ALIYE MTUMWA WA MALI HAWEZI KUWA MWAMINIFU Mtu aliye mtumwa wa mali hawezi kuwa mwaminifu inamaanisha kwamba mtu anayekitwaa sana na kutafuta utajiri mara nyingi hupoteza uadilifu wake. Hii ni kwa sababu zifuatazo: 1. Utajiri Unakuwa Kipaumbele; Ikiwa kupata mali ndilo jambo la kwanza maishani mwa mtu, anaweza kuwa tayari kukiuka maadili ili kufanikisha malengo yake ya kifedha. Uaminifu unakuwa si muhimu kwake. 2. Jaribu la Kudanganya; Mtu anayetamani sana utajiri anaweza kutumia udanganyifu, hila, au hata kuwadhulumu wengine ili kupata faida za kifedha. Ukweli wake unakuwa chini ya tamaa ya mali. 3. Hofu ya Kupoteza; Mtu aliye mtumwa wa mali anaweza kuwa na hofu ya kupoteza alichonacho, hivyo atakuwa tayari kutumia mbinu zisizo za haki ili kulinda utajiri wake. 4. Uozo wa Maadili; Kadiri mtu anavyoweka pesa mbele ya maadili, ndivyo anavyopoteza mwelekeo wa uaminifu wake. Vitendo vidogo vya udanganyifu huweza kuwa tabia ya kawaida. 5. Ukosefu wa Kuridhika; Uaminifu wa kweli unahitaji mtu awe na moyo wa kuridhika. Mtu anayefungwa na tamaa ya mali mara nyingi hajatosheka na anaweza kuhalalisha udanganyifu ili kupata zaidi. Kwa ujumla, utajiri si jambo baya, lakini kuwa mtumwa wake kunaweza kumfanya mtu asiwe mwaminifu. Ni muhimu kuwa na mizani kati ya kutafuta mafanikio na kushikamana na maadili mema.0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·10 Visualizações -
-
KAMATI YA SAA 72 YA BODI YA LIGI IMESHINDWA KUKAA NDANI YA SAA 72 KUSHUGHULIKIA SUALA LA DERBY YA SIMBA NA YANGA.Leia mais
SASA IMEPITA ZAIDI YA WIKI. VITENDO VYA HILA NA KUPUUZIA KANUNI, VITAHARIBU NA KUSHUSHA THAMANI YA SOKA LETU. WADHAMINI WATAANZA KUKIMBIA.
KAMATI YA SAA 72 YA BODI YA LIGI IMESHINDWA KUKAA NDANI YA SAA 72 KUSHUGHULIKIA SUALA LA DERBY YA SIMBA NA YANGA. SASA IMEPITA ZAIDI YA WIKI. VITENDO VYA HILA NA KUPUUZIA KANUNI, VITAHARIBU NA KUSHUSHA THAMANI YA SOKA LETU. WADHAMINI WATAANZA KUKIMBIA.0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·9 Visualizações -