• #bernaldpeter#bernaldpeter
    #bernaldpeter#bernaldpeter
    0 Commenti ·0 condivisioni ·117 Views ·0
  • #bernaldpeter
    #bernaldpeter
    0 Commenti ·0 condivisioni ·113 Views ·0
  • #bernaldpeter
    #bernaldpeter
    0 Commenti ·0 condivisioni ·119 Views ·0
  • #bernaldpeter
    #bernaldpeter
    Like
    1
    · 0 Commenti ·0 condivisioni ·118 Views ·0
  • Kutoka kwa Mchambuzi wetu Jemedari Said.

    HAKUNA ALAMA 3 ZA MEZANI, YANGA YAAMBIWA INAWEZA KUSHUSHWA DARAJA (47:18)

    Bodi ya Ligi Kuu imeijibu klabu ya Yanga barua yake ambayo ilikuwa pamoja na mambo mengine inataka ipewe alama 3 na mabao 3 kwenye mchezo ulioahirishwa wa tarehe 8 Machi,2025. Katika barua ya tarehe 16 Machi,2025 yenye Kumb.Na TPLB/CEO/2024/625, Bodi inasema mechi ILIAHIRISHWA kwa kufuata kanuni na wala sio kwa sababu Simba SC WALIGOMEA kama ambavyo Yanga walisema.

    Katika barua hiyo ya Bodi yenye kurasa 3 na vipengele 12, Bodi imewaambia Yanga mchezo uliahirishwa rasmi saa 8 mchana baada ya hapo hakukuwa na taratibu zozote kuhusu mchezo huo ambazo ziliendelea, na kwamba maafisa wote wa mchezo ambao walikuwa wakifanya shughuli za mechi Benjamin Mkapa waliondoka isipokuwa wale wa usalama pekee.

    Hakukuwa na taratibu zozote za mchezo zilizoendelea kama zinavyoelezwa kwenye kanuni 17 ambazo zilifanywa ili kuipatia timu iliyopo kiwanjani alama 3 na mabao 3 kikanuni, ikiwemo kukagua timu hiyo, inasomeka sehemu ya barua hiyo ya majibu kwa Yanga SC.

    Klabu yako inapaswa kuelewa kwamba kanuni za ligi Kuu namba 17:45 haisemi popote kwamba klabu mgeni (visiting team) inapaswa kuwasiliana na wadau wengine ili kutimiza takwa la kikanuni la wao kwenda kufanya mazoezi kwenye uwanja utakaochezwa mechi. Imesomeka barua hii ya Bodi.

    Bodi aidha imesema waliita kikao cha dharura cha Kamati ya uendeshaji na usimamizi wa Ligi baada ya kupokea ripoti tofauti tofauti Zenue mfululizo wa matukio uliojenga msingi wa mgogoro uliotokea tarehe 7 Machi,2025 pale Benjamin Mkapa wakati Simba wakitaka kufanya mazoezi.

    Kutokana na umuhimu na unyeti wa taarifa zilizopokelewa, zingine zilitishia usalama, vitisho, tuhuma za rushwa, ambazo zinachukuliwa kwa umuhimu na upekee kwenye soka, Kamati iliona umuhimu wa kuhairisha mechi, ili kuepuka changamoto za kiusalama kabla hazijatokea, kabla au baada ya mechi, ili kujipa muda na pengine kuhusisha vyombo vya kitaifa vya uchunguzi, imesema barua hii ya Bodi kwenda Yanga.

    Kamati iliona matokeo hasi ya kuahirishwa mechi ni madogo kuliko matokeo hasi ambayo yangetokea kwa mechi hiyo kuchezwa.Aidha kwa kupeleka timu kiwanjani Yanga wamekiuka kanuni 47:18.

    Kutoka kwa Mchambuzi wetu Jemedari Said. HAKUNA ALAMA 3 ZA MEZANI, YANGA YAAMBIWA INAWEZA KUSHUSHWA DARAJA (47:18) Bodi ya Ligi Kuu imeijibu klabu ya Yanga barua yake ambayo ilikuwa pamoja na mambo mengine inataka ipewe alama 3 na mabao 3 kwenye mchezo ulioahirishwa wa tarehe 8 Machi,2025. Katika barua ya tarehe 16 Machi,2025 yenye Kumb.Na TPLB/CEO/2024/625, Bodi inasema mechi ILIAHIRISHWA kwa kufuata kanuni na wala sio kwa sababu Simba SC WALIGOMEA kama ambavyo Yanga walisema. Katika barua hiyo ya Bodi yenye kurasa 3 na vipengele 12, Bodi imewaambia Yanga mchezo uliahirishwa rasmi saa 8 mchana baada ya hapo hakukuwa na taratibu zozote kuhusu mchezo huo ambazo ziliendelea, na kwamba maafisa wote wa mchezo ambao walikuwa wakifanya shughuli za mechi Benjamin Mkapa waliondoka isipokuwa wale wa usalama pekee. Hakukuwa na taratibu zozote za mchezo zilizoendelea kama zinavyoelezwa kwenye kanuni 17 ambazo zilifanywa ili kuipatia timu iliyopo kiwanjani alama 3 na mabao 3 kikanuni, ikiwemo kukagua timu hiyo, inasomeka sehemu ya barua hiyo ya majibu kwa Yanga SC. Klabu yako inapaswa kuelewa kwamba kanuni za ligi Kuu namba 17:45 haisemi popote kwamba klabu mgeni (visiting team) inapaswa kuwasiliana na wadau wengine ili kutimiza takwa la kikanuni la wao kwenda kufanya mazoezi kwenye uwanja utakaochezwa mechi. Imesomeka barua hii ya Bodi. Bodi aidha imesema waliita kikao cha dharura cha Kamati ya uendeshaji na usimamizi wa Ligi baada ya kupokea ripoti tofauti tofauti Zenue mfululizo wa matukio uliojenga msingi wa mgogoro uliotokea tarehe 7 Machi,2025 pale Benjamin Mkapa wakati Simba wakitaka kufanya mazoezi. Kutokana na umuhimu na unyeti wa taarifa zilizopokelewa, zingine zilitishia usalama, vitisho, tuhuma za rushwa, ambazo zinachukuliwa kwa umuhimu na upekee kwenye soka, Kamati iliona umuhimu wa kuhairisha mechi, ili kuepuka changamoto za kiusalama kabla hazijatokea, kabla au baada ya mechi, ili kujipa muda na pengine kuhusisha vyombo vya kitaifa vya uchunguzi, imesema barua hii ya Bodi kwenda Yanga. Kamati iliona matokeo hasi ya kuahirishwa mechi ni madogo kuliko matokeo hasi ambayo yangetokea kwa mechi hiyo kuchezwa.Aidha kwa kupeleka timu kiwanjani Yanga wamekiuka kanuni 47:18.
    Like
    1
    · 0 Commenti ·0 condivisioni ·731 Views
  • Mchezaji wa klabu ya Yanga SC na Askari, Ibrahim Bacca amepandishwa cheo kutoka kuwa Koplo hadi Sajenti. Mchezaji huyo amepandishwa cheo kutokana na kuonyesha kiwango bora katika klabu yake ya Yanga SC pamoja na timu ya taifa ya Tanzania (Taifa stars).

    Mchezaji wa klabu ya Yanga SC na Askari, Ibrahim Bacca amepandishwa cheo kutoka kuwa Koplo hadi Sajenti. Mchezaji huyo amepandishwa cheo kutokana na kuonyesha kiwango bora katika klabu yake ya Yanga SC pamoja na timu ya taifa ya Tanzania (Taifa stars).
    0 Commenti ·0 condivisioni ·371 Views
  • 0 Commenti ·0 condivisioni ·110 Views
  • 0 Commenti ·0 condivisioni ·106 Views
  • Rais wa Nchi ya Rwanda , Paul Kagame ameionya Nchi ya Ubelgiji kuacha kutoa maagizo kwa Nchi yake na kuipangia cha kufanya utadhani kwamba Mungu amewapa jukumu na haki ya kuwasimamia ambapo amesema Rwanda haitokubali kutawaliwa tena na Wabelgji bali itapambana nao na itawashinda.

    Hayo ameyasema jana Jumapili Machi 16,2025 katika ukumbi wa BK Arena Nchini Rwanda, Kagame alinunuliwa akisema:

    “Nawaonya Wabelgi , Wabelgiji wameiharibu Rwanda, Wameua Wanyarwanda, tuliwaonya zamani na tunawaonya leo, wanasema ‘hawatuwaruhusu kufanya hiki na kile’ na sisi tunawauliza nyinyi ni nani?, nani kawapa jukumu la kutusimamia sisi?”

    “Wanyarwanda wanamuamini Mungu, mnaamini Mungu amewapa Wabelgiji jukumu la kuisimamia Rwanda?, kwa uwezo huu mdogo tulionao, tutapambana nao wote wanaotumia muda wao kututukana, kujaribu kututesa na hawatoweza kutushinda, watuache tuishi kwa amani, baada ya miaka yote tuliyotumia kupambana kuijenga Nchi yetu tunataka kuwa Wanyarwanda hatutaki kuwa Wabelgiji”

    “Rwanda kwa bahati mbaya tulitawaliwa na ka-nchi kadogo (Ubelgiji) ambayo ilienda mbali zaidi na kuigawa nchi yetu ili iwe ndogo kama nchi yao, sijawahi kusita kulieleza hili, tulilaani hili zamani na tutaendelea kulaani jambo hilo leo, hakuna kitu kibaya kitatokea kwetu kushinda majanga tuliyopitia huko nyuma, ndio maana hatupaswi kuogopa kusema na kujipambania sisi wenyewe dhidi ya wale wanaotaka kutuangamiza”

    Katika hatua nyingine, Serekali ya Rwanda imeawaamuru Wanadiplomasia wote wa Ubelgiji Nchini humo kuondoka ndani ya saa 48. Rwanda imesema kuwa itahakikisha ulinzi wa majengo, mali, na kumbukumbu za ubalozi wa Ubelgiji Jijini Kigali.

    Serikali ya Rwanda imesema kuvunja uhusiano wa kidiplomasia na ubelgiji imefikiwa baada ya kuzingatia kwa makini mambo kadhaa, yote yakihusishwa na hatua za kusikitisha za Ubelgiji kuendeleza udanganyifu wake wa ukoloni mamboleo.

    Rais wa Nchi ya Rwanda 🇷🇼 , Paul Kagame ameionya Nchi ya Ubelgiji 🇧🇪 kuacha kutoa maagizo kwa Nchi yake na kuipangia cha kufanya utadhani kwamba Mungu amewapa jukumu na haki ya kuwasimamia ambapo amesema Rwanda haitokubali kutawaliwa tena na Wabelgji bali itapambana nao na itawashinda. Hayo ameyasema jana Jumapili Machi 16,2025 katika ukumbi wa BK Arena Nchini Rwanda, Kagame alinunuliwa akisema: “Nawaonya Wabelgi , Wabelgiji wameiharibu Rwanda, Wameua Wanyarwanda, tuliwaonya zamani na tunawaonya leo, wanasema ‘hawatuwaruhusu kufanya hiki na kile’ na sisi tunawauliza nyinyi ni nani?, nani kawapa jukumu la kutusimamia sisi?” “Wanyarwanda wanamuamini Mungu, mnaamini Mungu amewapa Wabelgiji jukumu la kuisimamia Rwanda?, kwa uwezo huu mdogo tulionao, tutapambana nao wote wanaotumia muda wao kututukana, kujaribu kututesa na hawatoweza kutushinda, watuache tuishi kwa amani, baada ya miaka yote tuliyotumia kupambana kuijenga Nchi yetu tunataka kuwa Wanyarwanda hatutaki kuwa Wabelgiji” “Rwanda kwa bahati mbaya tulitawaliwa na ka-nchi kadogo (Ubelgiji) ambayo ilienda mbali zaidi na kuigawa nchi yetu ili iwe ndogo kama nchi yao, sijawahi kusita kulieleza hili, tulilaani hili zamani na tutaendelea kulaani jambo hilo leo, hakuna kitu kibaya kitatokea kwetu kushinda majanga tuliyopitia huko nyuma, ndio maana hatupaswi kuogopa kusema na kujipambania sisi wenyewe dhidi ya wale wanaotaka kutuangamiza” Katika hatua nyingine, Serekali ya Rwanda imeawaamuru Wanadiplomasia wote wa Ubelgiji Nchini humo kuondoka ndani ya saa 48. Rwanda imesema kuwa itahakikisha ulinzi wa majengo, mali, na kumbukumbu za ubalozi wa Ubelgiji Jijini Kigali. Serikali ya Rwanda imesema kuvunja uhusiano wa kidiplomasia na ubelgiji imefikiwa baada ya kuzingatia kwa makini mambo kadhaa, yote yakihusishwa na hatua za kusikitisha za Ubelgiji kuendeleza udanganyifu wake wa ukoloni mamboleo.
    0 Commenti ·0 condivisioni ·548 Views
  • 0 Commenti ·0 condivisioni ·183 Views