0 Yorumlar
·0 hisse senetleri
·34 Views
-
Rais wa Nchi ya Rwanda , Paul Kagame ameionya Nchi ya Ubelgiji kuacha kutoa maagizo kwa Nchi yake na kuipangia cha kufanya utadhani kwamba Mungu amewapa jukumu na haki ya kuwasimamia ambapo amesema Rwanda haitokubali kutawaliwa tena na Wabelgji bali itapambana nao na itawashinda.
Hayo ameyasema jana Jumapili Machi 16,2025 katika ukumbi wa BK Arena Nchini Rwanda, Kagame alinunuliwa akisema:
“Nawaonya Wabelgi , Wabelgiji wameiharibu Rwanda, Wameua Wanyarwanda, tuliwaonya zamani na tunawaonya leo, wanasema ‘hawatuwaruhusu kufanya hiki na kile’ na sisi tunawauliza nyinyi ni nani?, nani kawapa jukumu la kutusimamia sisi?”
“Wanyarwanda wanamuamini Mungu, mnaamini Mungu amewapa Wabelgiji jukumu la kuisimamia Rwanda?, kwa uwezo huu mdogo tulionao, tutapambana nao wote wanaotumia muda wao kututukana, kujaribu kututesa na hawatoweza kutushinda, watuache tuishi kwa amani, baada ya miaka yote tuliyotumia kupambana kuijenga Nchi yetu tunataka kuwa Wanyarwanda hatutaki kuwa Wabelgiji”
“Rwanda kwa bahati mbaya tulitawaliwa na ka-nchi kadogo (Ubelgiji) ambayo ilienda mbali zaidi na kuigawa nchi yetu ili iwe ndogo kama nchi yao, sijawahi kusita kulieleza hili, tulilaani hili zamani na tutaendelea kulaani jambo hilo leo, hakuna kitu kibaya kitatokea kwetu kushinda majanga tuliyopitia huko nyuma, ndio maana hatupaswi kuogopa kusema na kujipambania sisi wenyewe dhidi ya wale wanaotaka kutuangamiza”
Katika hatua nyingine, Serekali ya Rwanda imeawaamuru Wanadiplomasia wote wa Ubelgiji Nchini humo kuondoka ndani ya saa 48. Rwanda imesema kuwa itahakikisha ulinzi wa majengo, mali, na kumbukumbu za ubalozi wa Ubelgiji Jijini Kigali.
Serikali ya Rwanda imesema kuvunja uhusiano wa kidiplomasia na ubelgiji imefikiwa baada ya kuzingatia kwa makini mambo kadhaa, yote yakihusishwa na hatua za kusikitisha za Ubelgiji kuendeleza udanganyifu wake wa ukoloni mamboleo.
Rais wa Nchi ya Rwanda 🇷🇼 , Paul Kagame ameionya Nchi ya Ubelgiji 🇧🇪 kuacha kutoa maagizo kwa Nchi yake na kuipangia cha kufanya utadhani kwamba Mungu amewapa jukumu na haki ya kuwasimamia ambapo amesema Rwanda haitokubali kutawaliwa tena na Wabelgji bali itapambana nao na itawashinda. Hayo ameyasema jana Jumapili Machi 16,2025 katika ukumbi wa BK Arena Nchini Rwanda, Kagame alinunuliwa akisema: “Nawaonya Wabelgi , Wabelgiji wameiharibu Rwanda, Wameua Wanyarwanda, tuliwaonya zamani na tunawaonya leo, wanasema ‘hawatuwaruhusu kufanya hiki na kile’ na sisi tunawauliza nyinyi ni nani?, nani kawapa jukumu la kutusimamia sisi?” “Wanyarwanda wanamuamini Mungu, mnaamini Mungu amewapa Wabelgiji jukumu la kuisimamia Rwanda?, kwa uwezo huu mdogo tulionao, tutapambana nao wote wanaotumia muda wao kututukana, kujaribu kututesa na hawatoweza kutushinda, watuache tuishi kwa amani, baada ya miaka yote tuliyotumia kupambana kuijenga Nchi yetu tunataka kuwa Wanyarwanda hatutaki kuwa Wabelgiji” “Rwanda kwa bahati mbaya tulitawaliwa na ka-nchi kadogo (Ubelgiji) ambayo ilienda mbali zaidi na kuigawa nchi yetu ili iwe ndogo kama nchi yao, sijawahi kusita kulieleza hili, tulilaani hili zamani na tutaendelea kulaani jambo hilo leo, hakuna kitu kibaya kitatokea kwetu kushinda majanga tuliyopitia huko nyuma, ndio maana hatupaswi kuogopa kusema na kujipambania sisi wenyewe dhidi ya wale wanaotaka kutuangamiza” Katika hatua nyingine, Serekali ya Rwanda imeawaamuru Wanadiplomasia wote wa Ubelgiji Nchini humo kuondoka ndani ya saa 48. Rwanda imesema kuwa itahakikisha ulinzi wa majengo, mali, na kumbukumbu za ubalozi wa Ubelgiji Jijini Kigali. Serikali ya Rwanda imesema kuvunja uhusiano wa kidiplomasia na ubelgiji imefikiwa baada ya kuzingatia kwa makini mambo kadhaa, yote yakihusishwa na hatua za kusikitisha za Ubelgiji kuendeleza udanganyifu wake wa ukoloni mamboleo.0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·52 Views -
-
-
-
Muungano wa Waasi wa kundi la AFC/M23 umetangaza kutoshiriki mazungumzo ya amani huku wakiituhumu Serikali ya Kinshasa kwa kuendeleza vita. Katika taarifa ya Kundi hilo iliyotolewa Februari 17, 2025, Waasi hao wa M23 wameituhumu Serikali ya Rais Félix Tshisekedi kwa kuendesha mashambulizi ya ardhini kwa kutumia Ndege za kivita wakati wanajua fike wapo kwenye hatua za mwisho kuelekea kwenye mkutano wa amani Nchini Angola .
Ikumbukwe kwamba Waasi hao wa AFC/M23 walikuwa tayari wameshawateua Wawakilishi wao na kuthibitisha kuwa watatuma Wawakilishi hao Nchini Jijini Luanda, Angola kwa ajili ya mazungumzo ya maani ambayo yamepangwa kufanyika Machi 18, 2025.
Muungano wa Waasi wa kundi la AFC/M23 umetangaza kutoshiriki mazungumzo ya amani huku wakiituhumu Serikali ya Kinshasa kwa kuendeleza vita. Katika taarifa ya Kundi hilo iliyotolewa Februari 17, 2025, Waasi hao wa M23 wameituhumu Serikali ya Rais Félix Tshisekedi kwa kuendesha mashambulizi ya ardhini kwa kutumia Ndege za kivita wakati wanajua fike wapo kwenye hatua za mwisho kuelekea kwenye mkutano wa amani Nchini Angola 🇦🇴. Ikumbukwe kwamba Waasi hao wa AFC/M23 walikuwa tayari wameshawateua Wawakilishi wao na kuthibitisha kuwa watatuma Wawakilishi hao Nchini Jijini Luanda, Angola kwa ajili ya mazungumzo ya maani ambayo yamepangwa kufanyika Machi 18, 2025.0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·40 Views -
What would it be a bow tie affair or duetWhat would it be a bow tie affair or duet0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·34 Views
-
-
-