Αναζήτηση αποτελεσμάτων
Δες όλα τα αποτελέσματα
Socialpop Socialpop Socialpop
Κεντρική Σελίδα
Ομάδες
Σελίδες
Marketplace
δες περισσότερα..
Ομάδες Σελίδες Marketplace Events Blogs Χρηματοδότηση Προσφορές Εργασίες Courses Forum Ταινίες
Γίνε Μέλος
Σύνδεση Εγγραφή
Theme Switcher
Night Mode
Κατάλογος
Χρήστες
Δημοσιεύσεις
Σελίδες
Ομάδες
Events
  • Raymond Stephen @Proxy
    2025-03-20 13:30:46 ·
    Tofauti kati ya unachotaka na unachopata ni unachofanya
    Tofauti kati ya unachotaka na unachopata ni unachofanya
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·483 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Wild Gentle @allymessi1 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-03-21 06:12:52 ·
    Haha
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·291 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-03-21 07:54:19 ·
    World Happiness Report 2025 imetangaza orodha ya Nchi zenye furaha zaidi Duniani huku Nchi ya Finland ikiendelea kushika nafasi ya kwanza kwa mwaka wa nane (8) mfululizo, Tanzania imeshika nafasi ya 136 kati ya Nchi 147, ikishuka kwa nafasi tano kutoka nafasi ya 131 mwaka uliopita. Nafasi ya sasa inaiweka Nchi hiyo kuwa miongoni mwa Nchi 11 za mwisho Duniani kwa viwango vya furaha.

    Cha kushangaza ni kwamba Tanzania , licha ya kuwa na amani na utajiri mkubwa wa maliasili, imepitwa hata na mataifa yenye migogoro kama Somalia . Nchi jirani kama Kenya na Uganda , ambazo mara kwa mara hukumbwa na changamoto za kisiasa na kiusalama, zimepata nafasi za juu zaidi. Hapa chini ni orodha ya Nchi zenye furaha kwa mujibu wa World Happiness Report 2025, kuonyesha kumi bora na zilizoshika mkia. Kwa Afrika Mauritius inaongoza, wakati Lebanon , Sierra Leone na Afghanistan ni Nchi tatu za mwisho Duniani.

    1. Finland
    2. Denmark
    3. Iceland
    4. Sweden
    5. Uholanzi

    6. Costa Rica
    7. Norway
    8. Israel
    9. Luxemborg
    10.Mexico

    78. Mauritius
    79. Libya
    84. Algeria
    115. Kenya
    116. Uganda

    122. Somalia
    136. Tanzania
    145. Lebanon
    146. Sierra Leone
    147. Afghanistan

    World Happiness Report 2025 imetangaza orodha ya Nchi zenye furaha zaidi Duniani huku Nchi ya Finland 🇫🇮 ikiendelea kushika nafasi ya kwanza kwa mwaka wa nane (8) mfululizo, Tanzania imeshika nafasi ya 136 kati ya Nchi 147, ikishuka kwa nafasi tano kutoka nafasi ya 131 mwaka uliopita. Nafasi ya sasa inaiweka Nchi hiyo kuwa miongoni mwa Nchi 11 za mwisho Duniani kwa viwango vya furaha. Cha kushangaza ni kwamba Tanzania 🇹🇿, licha ya kuwa na amani na utajiri mkubwa wa maliasili, imepitwa hata na mataifa yenye migogoro kama Somalia 🇸🇴. Nchi jirani kama Kenya 🇰🇪 na Uganda 🇺🇬, ambazo mara kwa mara hukumbwa na changamoto za kisiasa na kiusalama, zimepata nafasi za juu zaidi. Hapa chini ni orodha ya Nchi zenye furaha kwa mujibu wa World Happiness Report 2025, kuonyesha kumi bora na zilizoshika mkia. Kwa Afrika Mauritius 🇲🇷 inaongoza, wakati Lebanon 🇱🇧, Sierra Leone 🇸🇱na Afghanistan 🇦🇫 ni Nchi tatu za mwisho Duniani. 1. Finland 🇫🇮 2. Denmark 🇩🇰 3. Iceland 🇮🇸 4. Sweden 🇸🇪 5. Uholanzi 🇳🇱 6. Costa Rica 🇨🇷 7. Norway 🇳🇴 8. Israel 🇮🇱 9. Luxemborg 🇱🇺 10.Mexico 🇲🇽 78. Mauritius 🇲🇷 79. Libya 🇱🇾 84. Algeria 🇩🇿 115. Kenya 🇰🇪 116. Uganda 🇺🇬 122. Somalia 🇸🇴 136. Tanzania 🇹🇿 145. Lebanon 🇱🇧 146. Sierra Leone 🇸🇱 147. Afghanistan 🇦🇫
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·1χλμ. Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-03-21 07:54:32 ·
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·133 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-03-21 07:54:56 ·
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·140 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-03-21 11:43:25 ·
    Love
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·167 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-03-21 11:43:36 ·
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·167 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-03-21 11:44:07 ·
    Klabu ya Kengold inayoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara, imeiandikia barua redio ya FURAHA FM kupitia kwa Mwanasheria wake Nicky Ngale wakidai fidia ya Shilingi Billion moja na kuombwa radhi kupitia mitandao ya Kijamii baada ya Radio hiyo kupitia mtandao wake wa Kijamii wa Instagram kuchapisha taarifa kuwa:

    “Kengold yaomba alama 15 atakazokatwa Simba na TFF, wapewe wao alama tatu”

    Kufuatia kuchapisha chapisho hilo, Mwanasheria anadai Mteja wake ameathirika kwa kiasi kikubwa huku jina lao likichafuka kwa kiasi kikubwa, nje na hapo matakwa yao yote yanapaswa kutimizwa ndani ya siku saba (7).

    Klabu ya Kengold inayoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara, imeiandikia barua redio ya FURAHA FM kupitia kwa Mwanasheria wake Nicky Ngale wakidai fidia ya Shilingi Billion moja na kuombwa radhi kupitia mitandao ya Kijamii baada ya Radio hiyo kupitia mtandao wake wa Kijamii wa Instagram kuchapisha taarifa kuwa: “Kengold yaomba alama 15 atakazokatwa Simba na TFF, wapewe wao alama tatu” Kufuatia kuchapisha chapisho hilo, Mwanasheria anadai Mteja wake ameathirika kwa kiasi kikubwa huku jina lao likichafuka kwa kiasi kikubwa, nje na hapo matakwa yao yote yanapaswa kutimizwa ndani ya siku saba (7).
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·1χλμ. Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 added 3 Φωτογραφίες
    2025-03-21 11:44:37 ·
    Baada ya kuzindua kiwanda cha kutengeneza Nguo, Rais wa Burkina Faso , Kapteni Ibrahim Traoré, Alhamisi hii, amezindua wa kiwanda kipya cha saruji cha Société Industrielle Sino Burkina de Ciments SA (CISINOB SA) kilichopo Laongo, Ziniaré, Mkoani Plateau-Central. Kiwanda hicho, chenye uwezo wa kuzalisha tonni 2,000 za saruji kwa siku, kinatarajiwa kuchochea maendeleo ya viwanda na kutoa mamia ya ajira kwa vijana wa Burkina Faso.

    Akizungumza katika hafla ya uzinduzi, Rais Traoré alielezea mradi huo kama ushirikiano wa heshima kati ya Burkina Faso na China, akisisitiza kuwa uwekezaji huo unalinda mamlaka ya taifa na unatoa manufaa kwa pande zote mbili.

    "Kiwanda hiki ni ishara ya ushirikiano wa kweli, wenye kuheshimu uhuru wetu wa kitaifa,"

    "Burkina Faso inabaki wazi kwa ushirikiano wa dhati unaohakikisha maendeleo ya pamoja." amesema Traoré

    Mradi huo unatarajiwa kusaidia kupunguza uagizaji wa saruji kutoka nje, kuimarisha sekta ya ujenzi, na kuchangia katika ukuaji wa uchumi wa taifa. Serikali imewahimiza wawekezaji zaidi kuwekeza katika sekta muhimu ili kuimarisha maendeleo ya Burkina Faso.

    Baada ya kuzindua kiwanda cha kutengeneza Nguo, Rais wa Burkina Faso 🇧🇫, Kapteni Ibrahim Traoré, Alhamisi hii, amezindua wa kiwanda kipya cha saruji cha Société Industrielle Sino Burkina de Ciments SA (CISINOB SA) kilichopo Laongo, Ziniaré, Mkoani Plateau-Central. Kiwanda hicho, chenye uwezo wa kuzalisha tonni 2,000 za saruji kwa siku, kinatarajiwa kuchochea maendeleo ya viwanda na kutoa mamia ya ajira kwa vijana wa Burkina Faso. Akizungumza katika hafla ya uzinduzi, Rais Traoré alielezea mradi huo kama ushirikiano wa heshima kati ya Burkina Faso na China, akisisitiza kuwa uwekezaji huo unalinda mamlaka ya taifa na unatoa manufaa kwa pande zote mbili. "Kiwanda hiki ni ishara ya ushirikiano wa kweli, wenye kuheshimu uhuru wetu wa kitaifa," "Burkina Faso inabaki wazi kwa ushirikiano wa dhati unaohakikisha maendeleo ya pamoja." amesema Traoré Mradi huo unatarajiwa kusaidia kupunguza uagizaji wa saruji kutoka nje, kuimarisha sekta ya ujenzi, na kuchangia katika ukuaji wa uchumi wa taifa. Serikali imewahimiza wawekezaji zaidi kuwekeza katika sekta muhimu ili kuimarisha maendeleo ya Burkina Faso.
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·779 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Park Jose @Pakinhos ενημερώθηκε η φωτογραφία προφίλ
    2025-03-21 11:57:11 ·
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·318 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Δείχνουμε (23631-23640 από 28496)
  • «
  • Προηγούμενο
  • 2362
  • 2363
  • 2364
  • 2365
  • 2366
  • Επόμενο
  • »
Upgrade to Pro
διάλεξε το πλάνο που σου ταιριάζει
Αναβάθμισε
© 2025 Socialpop
Greek
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
Σχετικά Όρους Ιδιωτικότητα Επικοινώνησε μαζί μας Κατάλογος Developers