Αναζήτηση αποτελεσμάτων
Δες όλα τα αποτελέσματα
Socialpop Socialpop Socialpop
Κεντρική Σελίδα
Ομάδες
Σελίδες
Marketplace
δες περισσότερα..
Ομάδες Σελίδες Marketplace Events Blogs Χρηματοδότηση Προσφορές Εργασίες Courses Forum Ταινίες
Γίνε Μέλος
Σύνδεση Εγγραφή
Theme Switcher
Night Mode
Κατάλογος
Χρήστες
Δημοσιεύσεις
Σελίδες
Ομάδες
Events
  • Dullah Tz98 @DullahX98 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-03-18 11:14:19 ·
    Ahmed Ally, Msemaji wa klabu ya Simba SC

    Anatokea mwehu mmoja anamdhihaki huyu Rais au kikundi cha vijana wa hovyo wanadhihaki Mamlaka za mpira wetu, Hii Nchi uhuru umepitiliza sana

    Wallace Karia, TFF na Bodi ya Ligi Wanapaswa kuheshimiwa, kuenziwa, kutunzwa na kulindwa maana wamefanya kazi kubwa na wanaendelea kufanya kazi kubwa kwenye mpira wetu

    Yote tuliyokua tunayaota kwenye mpira sasa hivi yanatokea, yale tuliyodhani ni magumu kwa Karia yamewezekana

    Na kama haitoshi tunaiona kesho njema ya mpira wa Tanzania chini ya Karia na wenzake

    President @wallacekaria na Uongozi wako wa TFF na Bodi ya ligi msirudi nyuma na msikubali mtu akaturudisha nyuma sasa hivi tunawaza World Cup tunawaza Utawala wa AFCON na Ubingwa Afrika ngazi klabu

    KAMA HUMPENDI KARIA PENDA MAFANIKIO YAKE"

    Ahmed Ally, Msemaji wa klabu ya Simba SC ✍️ Anatokea mwehu mmoja anamdhihaki huyu Rais au kikundi cha vijana wa hovyo wanadhihaki Mamlaka za mpira wetu, Hii Nchi uhuru umepitiliza sana Wallace Karia, TFF na Bodi ya Ligi Wanapaswa kuheshimiwa, kuenziwa, kutunzwa na kulindwa maana wamefanya kazi kubwa na wanaendelea kufanya kazi kubwa kwenye mpira wetu Yote tuliyokua tunayaota kwenye mpira sasa hivi yanatokea, yale tuliyodhani ni magumu kwa Karia yamewezekana Na kama haitoshi tunaiona kesho njema ya mpira wa Tanzania chini ya Karia na wenzake President @wallacekaria na Uongozi wako wa TFF na Bodi ya ligi msirudi nyuma na msikubali mtu akaturudisha nyuma sasa hivi tunawaza World Cup tunawaza Utawala wa AFCON na Ubingwa Afrika ngazi klabu KAMA HUMPENDI KARIA PENDA MAFANIKIO YAKE"
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·684 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Saleh Khamis @salevic.10 ενημερώθηκε η φωτογραφία προφίλ
    2025-03-18 12:55:06 ·
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·138 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-03-18 15:15:30 ·
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·124 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-03-18 15:15:40 ·
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·115 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-03-18 15:15:52 ·
    Like
    Love
    2
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·120 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-03-18 15:16:08 ·
    Baada ya kutangaza kuwa hawatashiriki mazungumzo ya amani huko Mjini Luanda Nchini Angola , Waasi wa kundi la M23 wamesema kuwa Umoja wa Ulaya (EU) ni moja ya Taasisi inayokwamisha mazungumzo hayo kufuatia kuwekewa vikwazo na Umoja huo Viongozi wake Wakuu akiwemo Bertrand Bisimwa.

    Hata hivyo, Serikali ya Kinshasa kupitia Msemaji wake Tina Salama, imesema itashiriki mazungumzo hayo licha ya Kundi la Waasi wa M23 kujiweka pembeni. Pia Serikali ya Angola vile vile imetangaza kwamba mazungumzo hayo yataendelea kama ilivyokuwa imepangwa. Wakizungumzia vikwazo hivyo vya moja wa Ulaya, Waasi hao wa M23 wamesema Taasisi kadhaa za kimataifa zinakwamisha juhudi za kutafuta amani mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo .

    Ikumbukwe kwamba hapo jana, Umoja wa Ulaya ulitangaza kuwawekea vikwazo Makamanda watatu (3) wa Jeshi la Rwanda na Mkuu wa Shirika lake la uchimbaji madini kwa madai ya kuwaunga mkono Wapiganaji wanaovuruga amani mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo. Pia Umoja huo ulimuwekea vikwazo Mkuu wa kundi la M23, Bertrand Bisimwa.

    Baada ya kutangaza kuwa hawatashiriki mazungumzo ya amani huko Mjini Luanda Nchini Angola 🇦🇴, Waasi wa kundi la M23 wamesema kuwa Umoja wa Ulaya (EU) ni moja ya Taasisi inayokwamisha mazungumzo hayo kufuatia kuwekewa vikwazo na Umoja huo Viongozi wake Wakuu akiwemo Bertrand Bisimwa. Hata hivyo, Serikali ya Kinshasa kupitia Msemaji wake Tina Salama, imesema itashiriki mazungumzo hayo licha ya Kundi la Waasi wa M23 kujiweka pembeni. Pia Serikali ya Angola vile vile imetangaza kwamba mazungumzo hayo yataendelea kama ilivyokuwa imepangwa. Wakizungumzia vikwazo hivyo vya moja wa Ulaya, Waasi hao wa M23 wamesema Taasisi kadhaa za kimataifa zinakwamisha juhudi za kutafuta amani mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo 🇨🇩. Ikumbukwe kwamba hapo jana, Umoja wa Ulaya ulitangaza kuwawekea vikwazo Makamanda watatu (3) wa Jeshi la Rwanda 🇷🇼 na Mkuu wa Shirika lake la uchimbaji madini kwa madai ya kuwaunga mkono Wapiganaji wanaovuruga amani mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo. Pia Umoja huo ulimuwekea vikwazo Mkuu wa kundi la M23, Bertrand Bisimwa.
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·319 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-03-18 19:20:19 ·
    "Paul Kagame the Rock from East Africa leo kawajibu Belgium kwa kumfukuza balozi wao Rwanda, kiufupi hakuna tena kwa sasa mahusiano kati ya Rwanda na Belgium

    Kagame anaishtumu Belgium kuwa ni kimbelembele yaani ana kamdomo cha kumchongea Rwanda kwa wakubwa ambao ni Uingereza na Marekani ndio maana Rwanda kapigwa vikwazo

    The Rock kagame kayatibua na Belgium huku tayari ana vikwazo kutoka Marekani na Uingereza na hajali wala nini, yeye siku zote anasema kuwa Rwanda haihusiki na M23 hivyo basi hivyo vikwazo yeye anaona kuwa Rwanda inaonewa tu!

    Huyo ndiye Kagame the Rock from East Africa hanaga unafiki Ukijichanganya tu anaruka na wewe, wewe muulize Museveni licha ya kuwa marafiki wa kitambo na kuhaso pamoja lakini Kagame haonagi haya kumsema Museveni akijichanganya, ... Yeye Kagame kwake ni kitu cha kawaida kuingia katika migogoro na kiongozi yeyote kutoka eneo lolote li mradi tu anatetea maslahi ya Rwanda ama Misimamo yake binafsi!!!

    Niwaache na swali je ni nchi gani ya Afrika mashariki ambayo Kagame hajawahi kuingia kwenye mgogoro nayo?" - Zungu, Mtangazaji na Mchambuzi wa siasa.

    "Paul Kagame the Rock from East Africa leo kawajibu Belgium kwa kumfukuza balozi wao Rwanda, kiufupi hakuna tena kwa sasa mahusiano kati ya Rwanda na Belgium Kagame anaishtumu Belgium kuwa ni kimbelembele yaani ana kamdomo cha kumchongea Rwanda kwa wakubwa ambao ni Uingereza na Marekani ndio maana Rwanda kapigwa vikwazo The Rock kagame kayatibua na Belgium huku tayari ana vikwazo kutoka Marekani na Uingereza na hajali wala nini, yeye siku zote anasema kuwa Rwanda haihusiki na M23 😃 hivyo basi hivyo vikwazo yeye anaona kuwa Rwanda inaonewa tu! Huyo ndiye Kagame the Rock from East Africa hanaga unafiki Ukijichanganya tu anaruka na wewe, wewe muulize Museveni licha ya kuwa marafiki wa kitambo na kuhaso pamoja lakini Kagame haonagi haya kumsema Museveni akijichanganya, ... Yeye Kagame kwake ni kitu cha kawaida kuingia katika migogoro na kiongozi yeyote kutoka eneo lolote li mradi tu anatetea maslahi ya Rwanda ama Misimamo yake binafsi!!! Niwaache na swali je ni nchi gani ya Afrika mashariki ambayo Kagame hajawahi kuingia kwenye mgogoro nayo?" - Zungu, Mtangazaji na Mchambuzi wa siasa.
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·632 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • David Atto @Mefa πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-03-18 20:00:24 ·
    Like
    Love
    Haha
    4
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·277 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • David Atto @Mefa πρόσθεσε ένα αρχείο
    2025-03-18 20:00:48 ·
    Like
    Love
    4
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·302 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • David Atto @Mefa πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-03-18 20:01:04 ·
    Like
    Love
    Wow
    3
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·279 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Δείχνουμε (23631-23640 από 24337)
  • «
  • Προηγούμενο
  • 2362
  • 2363
  • 2364
  • 2365
  • 2366
  • Επόμενο
  • »
Upgrade to Pro
διάλεξε το πλάνο που σου ταιριάζει
Αναβάθμισε
© 2025 Socialpop
Greek
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
Σχετικά Όρους Ιδιωτικότητα Επικοινώνησε μαζί μας Κατάλογος Developers