• Ahmed Ally, Msemaji wa klabu ya Simba SC

    Anatokea mwehu mmoja anamdhihaki huyu Rais au kikundi cha vijana wa hovyo wanadhihaki Mamlaka za mpira wetu, Hii Nchi uhuru umepitiliza sana

    Wallace Karia, TFF na Bodi ya Ligi Wanapaswa kuheshimiwa, kuenziwa, kutunzwa na kulindwa maana wamefanya kazi kubwa na wanaendelea kufanya kazi kubwa kwenye mpira wetu

    Yote tuliyokua tunayaota kwenye mpira sasa hivi yanatokea, yale tuliyodhani ni magumu kwa Karia yamewezekana

    Na kama haitoshi tunaiona kesho njema ya mpira wa Tanzania chini ya Karia na wenzake

    President @wallacekaria na Uongozi wako wa TFF na Bodi ya ligi msirudi nyuma na msikubali mtu akaturudisha nyuma sasa hivi tunawaza World Cup tunawaza Utawala wa AFCON na Ubingwa Afrika ngazi klabu

    KAMA HUMPENDI KARIA PENDA MAFANIKIO YAKE"

    Ahmed Ally, Msemaji wa klabu ya Simba SC ✍️ Anatokea mwehu mmoja anamdhihaki huyu Rais au kikundi cha vijana wa hovyo wanadhihaki Mamlaka za mpira wetu, Hii Nchi uhuru umepitiliza sana Wallace Karia, TFF na Bodi ya Ligi Wanapaswa kuheshimiwa, kuenziwa, kutunzwa na kulindwa maana wamefanya kazi kubwa na wanaendelea kufanya kazi kubwa kwenye mpira wetu Yote tuliyokua tunayaota kwenye mpira sasa hivi yanatokea, yale tuliyodhani ni magumu kwa Karia yamewezekana Na kama haitoshi tunaiona kesho njema ya mpira wa Tanzania chini ya Karia na wenzake President @wallacekaria na Uongozi wako wa TFF na Bodi ya ligi msirudi nyuma na msikubali mtu akaturudisha nyuma sasa hivi tunawaza World Cup tunawaza Utawala wa AFCON na Ubingwa Afrika ngazi klabu KAMA HUMPENDI KARIA PENDA MAFANIKIO YAKE"
    Like
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·685 Просмотры
  • 0 Комментарии ·0 Поделились ·138 Просмотры
  • Like
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·125 Просмотры
  • Like
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·116 Просмотры
  • Like
    Love
    2
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·121 Просмотры
  • Baada ya kutangaza kuwa hawatashiriki mazungumzo ya amani huko Mjini Luanda Nchini Angola , Waasi wa kundi la M23 wamesema kuwa Umoja wa Ulaya (EU) ni moja ya Taasisi inayokwamisha mazungumzo hayo kufuatia kuwekewa vikwazo na Umoja huo Viongozi wake Wakuu akiwemo Bertrand Bisimwa.

    Hata hivyo, Serikali ya Kinshasa kupitia Msemaji wake Tina Salama, imesema itashiriki mazungumzo hayo licha ya Kundi la Waasi wa M23 kujiweka pembeni. Pia Serikali ya Angola vile vile imetangaza kwamba mazungumzo hayo yataendelea kama ilivyokuwa imepangwa. Wakizungumzia vikwazo hivyo vya moja wa Ulaya, Waasi hao wa M23 wamesema Taasisi kadhaa za kimataifa zinakwamisha juhudi za kutafuta amani mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo .

    Ikumbukwe kwamba hapo jana, Umoja wa Ulaya ulitangaza kuwawekea vikwazo Makamanda watatu (3) wa Jeshi la Rwanda na Mkuu wa Shirika lake la uchimbaji madini kwa madai ya kuwaunga mkono Wapiganaji wanaovuruga amani mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo. Pia Umoja huo ulimuwekea vikwazo Mkuu wa kundi la M23, Bertrand Bisimwa.

    Baada ya kutangaza kuwa hawatashiriki mazungumzo ya amani huko Mjini Luanda Nchini Angola 🇦🇴, Waasi wa kundi la M23 wamesema kuwa Umoja wa Ulaya (EU) ni moja ya Taasisi inayokwamisha mazungumzo hayo kufuatia kuwekewa vikwazo na Umoja huo Viongozi wake Wakuu akiwemo Bertrand Bisimwa. Hata hivyo, Serikali ya Kinshasa kupitia Msemaji wake Tina Salama, imesema itashiriki mazungumzo hayo licha ya Kundi la Waasi wa M23 kujiweka pembeni. Pia Serikali ya Angola vile vile imetangaza kwamba mazungumzo hayo yataendelea kama ilivyokuwa imepangwa. Wakizungumzia vikwazo hivyo vya moja wa Ulaya, Waasi hao wa M23 wamesema Taasisi kadhaa za kimataifa zinakwamisha juhudi za kutafuta amani mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo 🇨🇩. Ikumbukwe kwamba hapo jana, Umoja wa Ulaya ulitangaza kuwawekea vikwazo Makamanda watatu (3) wa Jeshi la Rwanda 🇷🇼 na Mkuu wa Shirika lake la uchimbaji madini kwa madai ya kuwaunga mkono Wapiganaji wanaovuruga amani mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo. Pia Umoja huo ulimuwekea vikwazo Mkuu wa kundi la M23, Bertrand Bisimwa.
    Like
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·320 Просмотры
  • "Paul Kagame the Rock from East Africa leo kawajibu Belgium kwa kumfukuza balozi wao Rwanda, kiufupi hakuna tena kwa sasa mahusiano kati ya Rwanda na Belgium

    Kagame anaishtumu Belgium kuwa ni kimbelembele yaani ana kamdomo cha kumchongea Rwanda kwa wakubwa ambao ni Uingereza na Marekani ndio maana Rwanda kapigwa vikwazo

    The Rock kagame kayatibua na Belgium huku tayari ana vikwazo kutoka Marekani na Uingereza na hajali wala nini, yeye siku zote anasema kuwa Rwanda haihusiki na M23 hivyo basi hivyo vikwazo yeye anaona kuwa Rwanda inaonewa tu!

    Huyo ndiye Kagame the Rock from East Africa hanaga unafiki Ukijichanganya tu anaruka na wewe, wewe muulize Museveni licha ya kuwa marafiki wa kitambo na kuhaso pamoja lakini Kagame haonagi haya kumsema Museveni akijichanganya, ... Yeye Kagame kwake ni kitu cha kawaida kuingia katika migogoro na kiongozi yeyote kutoka eneo lolote li mradi tu anatetea maslahi ya Rwanda ama Misimamo yake binafsi!!!

    Niwaache na swali je ni nchi gani ya Afrika mashariki ambayo Kagame hajawahi kuingia kwenye mgogoro nayo?" - Zungu, Mtangazaji na Mchambuzi wa siasa.

    "Paul Kagame the Rock from East Africa leo kawajibu Belgium kwa kumfukuza balozi wao Rwanda, kiufupi hakuna tena kwa sasa mahusiano kati ya Rwanda na Belgium Kagame anaishtumu Belgium kuwa ni kimbelembele yaani ana kamdomo cha kumchongea Rwanda kwa wakubwa ambao ni Uingereza na Marekani ndio maana Rwanda kapigwa vikwazo The Rock kagame kayatibua na Belgium huku tayari ana vikwazo kutoka Marekani na Uingereza na hajali wala nini, yeye siku zote anasema kuwa Rwanda haihusiki na M23 😃 hivyo basi hivyo vikwazo yeye anaona kuwa Rwanda inaonewa tu! Huyo ndiye Kagame the Rock from East Africa hanaga unafiki Ukijichanganya tu anaruka na wewe, wewe muulize Museveni licha ya kuwa marafiki wa kitambo na kuhaso pamoja lakini Kagame haonagi haya kumsema Museveni akijichanganya, ... Yeye Kagame kwake ni kitu cha kawaida kuingia katika migogoro na kiongozi yeyote kutoka eneo lolote li mradi tu anatetea maslahi ya Rwanda ama Misimamo yake binafsi!!! Niwaache na swali je ni nchi gani ya Afrika mashariki ambayo Kagame hajawahi kuingia kwenye mgogoro nayo?" - Zungu, Mtangazaji na Mchambuzi wa siasa.
    Like
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·634 Просмотры
  • Like
    Love
    Haha
    4
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·278 Просмотры
  • Like
    Love
    4
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·303 Просмотры
  • Like
    Love
    Wow
    3
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·280 Просмотры