World Happiness Report 2025 imetangaza orodha ya Nchi zenye furaha zaidi Duniani huku Nchi ya Finland ikiendelea kushika nafasi ya kwanza kwa mwaka wa nane (8) mfululizo, Tanzania imeshika nafasi ya 136 kati ya Nchi 147, ikishuka kwa nafasi tano kutoka nafasi ya 131 mwaka uliopita. Nafasi ya sasa inaiweka Nchi hiyo kuwa miongoni mwa Nchi 11 za mwisho Duniani kwa viwango vya furaha.
Cha kushangaza ni kwamba Tanzania , licha ya kuwa na amani na utajiri mkubwa wa maliasili, imepitwa hata na mataifa yenye migogoro kama Somalia . Nchi jirani kama Kenya na Uganda , ambazo mara kwa mara hukumbwa na changamoto za kisiasa na kiusalama, zimepata nafasi za juu zaidi. Hapa chini ni orodha ya Nchi zenye furaha kwa mujibu wa World Happiness Report 2025, kuonyesha kumi bora na zilizoshika mkia. Kwa Afrika Mauritius inaongoza, wakati Lebanon , Sierra Leone na Afghanistan ni Nchi tatu za mwisho Duniani.
1. Finland
2. Denmark
3. Iceland
4. Sweden
5. Uholanzi
6. Costa Rica
7. Norway
8. Israel
9. Luxemborg
10.Mexico
78. Mauritius
79. Libya
84. Algeria
115. Kenya
116. Uganda
122. Somalia
136. Tanzania
145. Lebanon
146. Sierra Leone
147. Afghanistan
Cha kushangaza ni kwamba Tanzania , licha ya kuwa na amani na utajiri mkubwa wa maliasili, imepitwa hata na mataifa yenye migogoro kama Somalia . Nchi jirani kama Kenya na Uganda , ambazo mara kwa mara hukumbwa na changamoto za kisiasa na kiusalama, zimepata nafasi za juu zaidi. Hapa chini ni orodha ya Nchi zenye furaha kwa mujibu wa World Happiness Report 2025, kuonyesha kumi bora na zilizoshika mkia. Kwa Afrika Mauritius inaongoza, wakati Lebanon , Sierra Leone na Afghanistan ni Nchi tatu za mwisho Duniani.
1. Finland
2. Denmark
3. Iceland
4. Sweden
5. Uholanzi
6. Costa Rica
7. Norway
8. Israel
9. Luxemborg
10.Mexico
78. Mauritius
79. Libya
84. Algeria
115. Kenya
116. Uganda
122. Somalia
136. Tanzania
145. Lebanon
146. Sierra Leone
147. Afghanistan
World Happiness Report 2025 imetangaza orodha ya Nchi zenye furaha zaidi Duniani huku Nchi ya Finland 馃嚝馃嚠 ikiendelea kushika nafasi ya kwanza kwa mwaka wa nane (8) mfululizo, Tanzania imeshika nafasi ya 136 kati ya Nchi 147, ikishuka kwa nafasi tano kutoka nafasi ya 131 mwaka uliopita. Nafasi ya sasa inaiweka Nchi hiyo kuwa miongoni mwa Nchi 11 za mwisho Duniani kwa viwango vya furaha.
Cha kushangaza ni kwamba Tanzania 馃嚬馃嚳, licha ya kuwa na amani na utajiri mkubwa wa maliasili, imepitwa hata na mataifa yenye migogoro kama Somalia 馃嚫馃嚧. Nchi jirani kama Kenya 馃嚢馃嚜 na Uganda 馃嚭馃嚞, ambazo mara kwa mara hukumbwa na changamoto za kisiasa na kiusalama, zimepata nafasi za juu zaidi. Hapa chini ni orodha ya Nchi zenye furaha kwa mujibu wa World Happiness Report 2025, kuonyesha kumi bora na zilizoshika mkia. Kwa Afrika Mauritius 馃嚥馃嚪 inaongoza, wakati Lebanon 馃嚤馃嚙, Sierra Leone 馃嚫馃嚤na Afghanistan 馃嚘馃嚝 ni Nchi tatu za mwisho Duniani.
1. Finland 馃嚝馃嚠
2. Denmark 馃嚛馃嚢
3. Iceland 馃嚠馃嚫
4. Sweden 馃嚫馃嚜
5. Uholanzi 馃嚦馃嚤
6. Costa Rica 馃嚚馃嚪
7. Norway 馃嚦馃嚧
8. Israel 馃嚠馃嚤
9. Luxemborg 馃嚤馃嚭
10.Mexico 馃嚥馃嚱
78. Mauritius 馃嚥馃嚪
79. Libya 馃嚤馃嚲
84. Algeria 馃嚛馃嚳
115. Kenya 馃嚢馃嚜
116. Uganda 馃嚭馃嚞
122. Somalia 馃嚫馃嚧
136. Tanzania 馃嚬馃嚳
145. Lebanon 馃嚤馃嚙
146. Sierra Leone 馃嚫馃嚤
147. Afghanistan 馃嚘馃嚝
0 Comments
路0 Shares
路26 Views