Результаты поиска
Все результаты
Socialpop Socialpop Socialpop
Главная
Группы
Страницы
Marketplace
Больше
Группы Страницы Marketplace Мероприятия Статьи пользователей Funding Offers Jobs Courses Форумы Кинозал
Вступить
Войти Регистрация
Theme Switcher
Ночной режим
Каталог
Пользователи
Записей
Страницы
Группы
Мероприятия
  • Dullah Tz98 @DullahX98 добавлены фото
    2025-03-21 11:43:25 ·
    Love
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·97 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 добавлены фото
    2025-03-21 11:43:36 ·
    0 Комментарии ·0 Поделились ·97 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 добавлены фото
    2025-03-21 11:44:07 ·
    Klabu ya Kengold inayoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara, imeiandikia barua redio ya FURAHA FM kupitia kwa Mwanasheria wake Nicky Ngale wakidai fidia ya Shilingi Billion moja na kuombwa radhi kupitia mitandao ya Kijamii baada ya Radio hiyo kupitia mtandao wake wa Kijamii wa Instagram kuchapisha taarifa kuwa:

    “Kengold yaomba alama 15 atakazokatwa Simba na TFF, wapewe wao alama tatu”

    Kufuatia kuchapisha chapisho hilo, Mwanasheria anadai Mteja wake ameathirika kwa kiasi kikubwa huku jina lao likichafuka kwa kiasi kikubwa, nje na hapo matakwa yao yote yanapaswa kutimizwa ndani ya siku saba (7).

    Klabu ya Kengold inayoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara, imeiandikia barua redio ya FURAHA FM kupitia kwa Mwanasheria wake Nicky Ngale wakidai fidia ya Shilingi Billion moja na kuombwa radhi kupitia mitandao ya Kijamii baada ya Radio hiyo kupitia mtandao wake wa Kijamii wa Instagram kuchapisha taarifa kuwa: “Kengold yaomba alama 15 atakazokatwa Simba na TFF, wapewe wao alama tatu” Kufuatia kuchapisha chapisho hilo, Mwanasheria anadai Mteja wake ameathirika kwa kiasi kikubwa huku jina lao likichafuka kwa kiasi kikubwa, nje na hapo matakwa yao yote yanapaswa kutimizwa ndani ya siku saba (7).
    0 Комментарии ·0 Поделились ·739 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 added 3 фото
    2025-03-21 11:44:37 ·
    Baada ya kuzindua kiwanda cha kutengeneza Nguo, Rais wa Burkina Faso , Kapteni Ibrahim Traoré, Alhamisi hii, amezindua wa kiwanda kipya cha saruji cha Société Industrielle Sino Burkina de Ciments SA (CISINOB SA) kilichopo Laongo, Ziniaré, Mkoani Plateau-Central. Kiwanda hicho, chenye uwezo wa kuzalisha tonni 2,000 za saruji kwa siku, kinatarajiwa kuchochea maendeleo ya viwanda na kutoa mamia ya ajira kwa vijana wa Burkina Faso.

    Akizungumza katika hafla ya uzinduzi, Rais Traoré alielezea mradi huo kama ushirikiano wa heshima kati ya Burkina Faso na China, akisisitiza kuwa uwekezaji huo unalinda mamlaka ya taifa na unatoa manufaa kwa pande zote mbili.

    "Kiwanda hiki ni ishara ya ushirikiano wa kweli, wenye kuheshimu uhuru wetu wa kitaifa,"

    "Burkina Faso inabaki wazi kwa ushirikiano wa dhati unaohakikisha maendeleo ya pamoja." amesema Traoré

    Mradi huo unatarajiwa kusaidia kupunguza uagizaji wa saruji kutoka nje, kuimarisha sekta ya ujenzi, na kuchangia katika ukuaji wa uchumi wa taifa. Serikali imewahimiza wawekezaji zaidi kuwekeza katika sekta muhimu ili kuimarisha maendeleo ya Burkina Faso.

    Baada ya kuzindua kiwanda cha kutengeneza Nguo, Rais wa Burkina Faso 🇧🇫, Kapteni Ibrahim Traoré, Alhamisi hii, amezindua wa kiwanda kipya cha saruji cha Société Industrielle Sino Burkina de Ciments SA (CISINOB SA) kilichopo Laongo, Ziniaré, Mkoani Plateau-Central. Kiwanda hicho, chenye uwezo wa kuzalisha tonni 2,000 za saruji kwa siku, kinatarajiwa kuchochea maendeleo ya viwanda na kutoa mamia ya ajira kwa vijana wa Burkina Faso. Akizungumza katika hafla ya uzinduzi, Rais Traoré alielezea mradi huo kama ushirikiano wa heshima kati ya Burkina Faso na China, akisisitiza kuwa uwekezaji huo unalinda mamlaka ya taifa na unatoa manufaa kwa pande zote mbili. "Kiwanda hiki ni ishara ya ushirikiano wa kweli, wenye kuheshimu uhuru wetu wa kitaifa," "Burkina Faso inabaki wazi kwa ushirikiano wa dhati unaohakikisha maendeleo ya pamoja." amesema Traoré Mradi huo unatarajiwa kusaidia kupunguza uagizaji wa saruji kutoka nje, kuimarisha sekta ya ujenzi, na kuchangia katika ukuaji wa uchumi wa taifa. Serikali imewahimiza wawekezaji zaidi kuwekeza katika sekta muhimu ili kuimarisha maendeleo ya Burkina Faso.
    0 Комментарии ·0 Поделились ·428 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Park Jose @Pakinhos обновить изображение профиля
    2025-03-21 11:57:11 ·
    0 Комментарии ·0 Поделились ·135 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Park Jose @Pakinhos добавлены фото
    2025-03-21 11:59:44 ·
    Nani mwenye walpaper kali kuzidi hii
    Nani mwenye walpaper kali kuzidi hii❤️
    0 Комментарии ·0 Поделились ·174 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • King Kapeta @Ema
    2025-03-21 18:24:45 ·
    Hv nyiny social pop mnalipa kwel au mna utam na watu
    Hv nyiny social pop mnalipa kwel au mna utam na watu😡😡😡😁😁😁🤭
    0 Комментарии ·0 Поделились ·337 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 добавлены фото
    2025-03-21 18:29:44 ·
    0 Комментарии ·0 Поделились ·94 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 добавлены фото
    2025-03-21 18:29:56 ·
    0 Комментарии ·0 Поделились ·94 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 добавлены фото
    2025-03-21 18:30:29 ·
    0 Комментарии ·0 Поделились ·91 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Отображение (23661-23670 из 24337)
  • «
  • Назад
  • 2365
  • 2366
  • 2367
  • 2368
  • 2369
  • Далее
  • »
Обновить до Про
Выберите подходящий план
Обновить
© 2025 Socialpop
Russian
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
О нас Условия использования Конфиденциальность Свяжитесь с нами Каталог Разработчики