World Happiness Report 2025 imetangaza orodha ya Nchi zenye furaha zaidi Duniani huku Nchi ya Finland ikiendelea kushika nafasi ya kwanza kwa mwaka wa nane (8) mfululizo, Tanzania imeshika nafasi ya 136 kati ya Nchi 147, ikishuka kwa nafasi tano kutoka nafasi ya 131 mwaka uliopita. Nafasi ya sasa inaiweka Nchi hiyo kuwa miongoni mwa Nchi 11 za mwisho Duniani kwa viwango vya furaha.
Cha kushangaza ni kwamba Tanzania , licha ya kuwa na amani na utajiri mkubwa wa maliasili, imepitwa hata na mataifa yenye migogoro kama Somalia . Nchi jirani kama Kenya na Uganda , ambazo mara kwa mara hukumbwa na changamoto za kisiasa na kiusalama, zimepata nafasi za juu zaidi. Hapa chini ni orodha ya Nchi zenye furaha kwa mujibu wa World Happiness Report 2025, kuonyesha kumi bora na zilizoshika mkia. Kwa Afrika Mauritius inaongoza, wakati Lebanon , Sierra Leone na Afghanistan ni Nchi tatu za mwisho Duniani.
1. Finland
2. Denmark
3. Iceland
4. Sweden
5. Uholanzi
6. Costa Rica
7. Norway
8. Israel
9. Luxemborg
10.Mexico
78. Mauritius
79. Libya
84. Algeria
115. Kenya
116. Uganda
122. Somalia
136. Tanzania
145. Lebanon
146. Sierra Leone
147. Afghanistan
Cha kushangaza ni kwamba Tanzania , licha ya kuwa na amani na utajiri mkubwa wa maliasili, imepitwa hata na mataifa yenye migogoro kama Somalia . Nchi jirani kama Kenya na Uganda , ambazo mara kwa mara hukumbwa na changamoto za kisiasa na kiusalama, zimepata nafasi za juu zaidi. Hapa chini ni orodha ya Nchi zenye furaha kwa mujibu wa World Happiness Report 2025, kuonyesha kumi bora na zilizoshika mkia. Kwa Afrika Mauritius inaongoza, wakati Lebanon , Sierra Leone na Afghanistan ni Nchi tatu za mwisho Duniani.
1. Finland
2. Denmark
3. Iceland
4. Sweden
5. Uholanzi
6. Costa Rica
7. Norway
8. Israel
9. Luxemborg
10.Mexico
78. Mauritius
79. Libya
84. Algeria
115. Kenya
116. Uganda
122. Somalia
136. Tanzania
145. Lebanon
146. Sierra Leone
147. Afghanistan
World Happiness Report 2025 imetangaza orodha ya Nchi zenye furaha zaidi Duniani huku Nchi ya Finland 🇫🇮 ikiendelea kushika nafasi ya kwanza kwa mwaka wa nane (8) mfululizo, Tanzania imeshika nafasi ya 136 kati ya Nchi 147, ikishuka kwa nafasi tano kutoka nafasi ya 131 mwaka uliopita. Nafasi ya sasa inaiweka Nchi hiyo kuwa miongoni mwa Nchi 11 za mwisho Duniani kwa viwango vya furaha.
Cha kushangaza ni kwamba Tanzania 🇹🇿, licha ya kuwa na amani na utajiri mkubwa wa maliasili, imepitwa hata na mataifa yenye migogoro kama Somalia 🇸🇴. Nchi jirani kama Kenya 🇰🇪 na Uganda 🇺🇬, ambazo mara kwa mara hukumbwa na changamoto za kisiasa na kiusalama, zimepata nafasi za juu zaidi. Hapa chini ni orodha ya Nchi zenye furaha kwa mujibu wa World Happiness Report 2025, kuonyesha kumi bora na zilizoshika mkia. Kwa Afrika Mauritius 🇲🇷 inaongoza, wakati Lebanon 🇱🇧, Sierra Leone 🇸🇱na Afghanistan 🇦🇫 ni Nchi tatu za mwisho Duniani.
1. Finland 🇫🇮
2. Denmark 🇩🇰
3. Iceland 🇮🇸
4. Sweden 🇸🇪
5. Uholanzi 🇳🇱
6. Costa Rica 🇨🇷
7. Norway 🇳🇴
8. Israel 🇮🇱
9. Luxemborg 🇱🇺
10.Mexico 🇲🇽
78. Mauritius 🇲🇷
79. Libya 🇱🇾
84. Algeria 🇩🇿
115. Kenya 🇰🇪
116. Uganda 🇺🇬
122. Somalia 🇸🇴
136. Tanzania 🇹🇿
145. Lebanon 🇱🇧
146. Sierra Leone 🇸🇱
147. Afghanistan 🇦🇫
0 Yorumlar
·0 hisse senetleri
·64 Views