• Strong WhatsApp Hacking Bot

    Check this video
    https://youtu.be/qxhw3tqGr2M?si=C90xW51_pWmy41Az
    Strong WhatsApp Hacking Bot Check this video https://youtu.be/qxhw3tqGr2M?si=C90xW51_pWmy41Az
    Love
    1
    · 1 Comments ·0 Shares ·89 Views
  • Like
    Love
    2
    · 1 Comments ·0 Shares ·81 Views
  • 0 Comments ·0 Shares ·40 Views
  • #cktvtanzania
    #cktvtanzania
    0 Comments ·0 Shares ·109 Views
  • 0 Comments ·0 Shares ·16 Views
  • 0 Comments ·0 Shares ·16 Views
  • Baada ya kikao kilichofanyika leo hii katika ofisi za Baraza la Michezo Tanzania (BMT), ndani ya Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam, imeelezwa kuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Prof. Palamagamba Kabudi, hakuja kutoa maamuzi bali kutafuta suluhisho kuhusu hatima ya Dabi ya Kariakoo, iliyokuwa ipigwe Machi 8, 2025 lakini ikaahirishwa.

    "Mheshimiwa Waziri amekuwa na mwanzo mzuri kwa kueleza kwamba jukwaa hilo siyo la maamuzi, bali ni la kutafuta suluhisho la tatizo lililotokea." - Eng. Hersi Said, Rais wa klabu ya Yanga SC

    Aidha, Rais huyo wa klabu ya Yanga SC amewahakikishia Wanachama wa klabu hiyo kuwa Uongozi wao uko imara na unafanya kila jitihada kuhakikisha maslahi ya klabu yanalindwa.Kikao hicho kimewakutanisha Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara (TPLB), Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania (TFF) na klabu ya Yanga SC, ambapo pande zote zimepata fursa ya kuwasilisha hoja zao kwa Waziri Kabudi.

    Baada ya kikao kilichofanyika leo hii katika ofisi za Baraza la Michezo Tanzania (BMT), ndani ya Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam, imeelezwa kuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Prof. Palamagamba Kabudi, hakuja kutoa maamuzi bali kutafuta suluhisho kuhusu hatima ya Dabi ya Kariakoo, iliyokuwa ipigwe Machi 8, 2025 lakini ikaahirishwa. "Mheshimiwa Waziri amekuwa na mwanzo mzuri kwa kueleza kwamba jukwaa hilo siyo la maamuzi, bali ni la kutafuta suluhisho la tatizo lililotokea." - Eng. Hersi Said, Rais wa klabu ya Yanga SC Aidha, Rais huyo wa klabu ya Yanga SC amewahakikishia Wanachama wa klabu hiyo kuwa Uongozi wao uko imara na unafanya kila jitihada kuhakikisha maslahi ya klabu yanalindwa.Kikao hicho kimewakutanisha Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara (TPLB), Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania (TFF) na klabu ya Yanga SC, ambapo pande zote zimepata fursa ya kuwasilisha hoja zao kwa Waziri Kabudi.
    0 Comments ·0 Shares ·96 Views
  • "Sisi Simba tumeitwa kujadili kuhusu soka la Tanzania na maendeleo yake na Waziri, hatujaitwa hapa kujadili kuhusu mchezo wetu dhidi ya Yanga na kama ingekuwa hivyo tungeitwa wote kwa pamoja, wao kama wamejadili kuhusu mchezo huo ni wao sasa ila sisi hatujajadili hilo kwanza hata sifahamu kama Yanga walikuwepo” - Murtaza Mangungu, Mwenyekiti wa klabu ya Simba SC.

    "Sisi Simba tumeitwa kujadili kuhusu soka la Tanzania na maendeleo yake na Waziri, hatujaitwa hapa kujadili kuhusu mchezo wetu dhidi ya Yanga na kama ingekuwa hivyo tungeitwa wote kwa pamoja, wao kama wamejadili kuhusu mchezo huo ni wao sasa ila sisi hatujajadili hilo kwanza hata sifahamu kama Yanga walikuwepo” - Murtaza Mangungu, Mwenyekiti wa klabu ya Simba SC.
    0 Comments ·0 Shares ·95 Views
  • 0 Comments ·0 Shares ·16 Views
  • “Sisi tumeitwa na serikali tumekuja kusikiliza ila msimamo wa Klabu upo wazi na unafahamika ila hapa tumekuja kusikiliza na tutayabeba yale ambayo tuna uwezo nayo ambayo hatuna uwezo nayo tutayaacha, ilipofikia sio suala la maslahi ya mpira wa Tanzania bali maslahi ya Klabu yetu kwanza” - Alex Ngai, Mjumbe wa Kamati ya Utendaji wa klabu ya Yanga SC.

    “Sisi tumeitwa na serikali tumekuja kusikiliza ila msimamo wa Klabu upo wazi na unafahamika ila hapa tumekuja kusikiliza na tutayabeba yale ambayo tuna uwezo nayo ambayo hatuna uwezo nayo tutayaacha, ilipofikia sio suala la maslahi ya mpira wa Tanzania bali maslahi ya Klabu yetu kwanza” - Alex Ngai, Mjumbe wa Kamati ya Utendaji wa klabu ya Yanga SC.
    0 Comments ·0 Shares ·81 Views