• Like
    1
    · 1 Commentarios ·0 Acciones ·450 Views
  • 1 Commentarios ·0 Acciones ·191 Views
  • @Bado majina yetu yataendelea kuwatesa moyoni mwao sababu wema tuliowahi kuwafanyia apo hawari si rahis kufutika vichwan mwao
    @Bado majina yetu yataendelea kuwatesa moyoni mwao sababu wema tuliowahi kuwafanyia apo hawari si rahis kufutika vichwan mwao 📌📌
    Like
    Love
    4
    · 0 Commentarios ·0 Acciones ·44 Views
  • Best like post zangu na ucoment na mi nitalike zako na kuccoment pia
    .
    Best like post zangu na ucoment na mi nitalike zako na kuccoment pia😝💯💯💯 .
    Like
    2
    · 1 Commentarios ·0 Acciones ·47 Views
  • Like
    Love
    Haha
    3
    · 1 Commentarios ·0 Acciones ·479 Views
  • Love
    Like
    3
    · 1 Commentarios ·0 Acciones ·482 Views
  • Mi nachekaga tu
    Like na ucoment basi mwanangu
    Mi nachekaga tu Like na ucoment basi mwanangu
    Like
    Love
    2
    · 1 Commentarios ·0 Acciones ·41 Views
  • #Sports view Mwamuzi kutoka Uholanzi amefungiwa MAISHA Kisoka baada ya kuisaidia timu yake kuwa mabingwa wa daraja la 5 la Uholanzi na kupanda Hadi Ligi Daraja la 4.

    -Aliwatoa Inje wachezaji 4 Kwa Kadi [Nyekundu , akaongeza dakika 15 na timu ikafunga bao ili kupandisha daraja na kwa bahati mbaya akajisahau akaenda kushangilia ubingwa na timu yake hiyo.....
    #Sports view 🎭 Mwamuzi kutoka Uholanzi amefungiwa MAISHA Kisoka baada ya kuisaidia timu yake kuwa mabingwa wa daraja la 5 la Uholanzi na kupanda Hadi Ligi Daraja la 4. -Aliwatoa Inje wachezaji 4 Kwa Kadi [Nyekundu , akaongeza dakika 15 na timu ikafunga bao ili kupandisha daraja na kwa bahati mbaya akajisahau akaenda kushangilia ubingwa na timu yake hiyo.....🧐🥶
    Like
    Love
    4
    · 0 Commentarios ·0 Acciones ·63 Views
  • Like
    3
    · 2 Commentarios ·0 Acciones ·554 Views
  • Mwimbaji Staa Harmonize amesema May 25,2024 anatarajia kuzindua album yake ya tano katika ukumbi wa Mlimani City Jijini Dar es salaam ambayo ameipa jina la ‘Muziki wa Samia’ akiwa na lengo kupongeza na kuunga mkono kazi nzuri inayoendelea kufanywa na Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Uongozi wake.

    Harmonize amesema album hiyo ni ya mwisho kwake na kusisitiza kuwa ameimba sana kuliko kawaida na ametengezeneza nyimbo 10 ambazo zote zinamlenga Rais Samia hivyo baada ya album hiyo atapumzika na kurefresh huku akiwa anaachia wimbo mmojammoja na sio album tena.

    Harmo amesema siku ya uzinduzi huo itakuwa ni usiku wa mialiko na hakutakuwa na viingilio “Tumekusanya mazuri yote ambayo yanafanywa na Rais Samia na Serikali na kuyaweka kwenye kitabu kimoja cha kumbukumbu ambacho kitaishi milele kinachoitwa Muziki wa Samia”
    #MillardAyoENT
    Mwimbaji Staa Harmonize amesema May 25,2024 anatarajia kuzindua album yake ya tano katika ukumbi wa Mlimani City Jijini Dar es salaam ambayo ameipa jina la ‘Muziki wa Samia’ akiwa na lengo kupongeza na kuunga mkono kazi nzuri inayoendelea kufanywa na Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Uongozi wake. Harmonize amesema album hiyo ni ya mwisho kwake na kusisitiza kuwa ameimba sana kuliko kawaida na ametengezeneza nyimbo 10 ambazo zote zinamlenga Rais Samia hivyo baada ya album hiyo atapumzika na kurefresh huku akiwa anaachia wimbo mmojammoja na sio album tena. Harmo amesema siku ya uzinduzi huo itakuwa ni usiku wa mialiko na hakutakuwa na viingilio “Tumekusanya mazuri yote ambayo yanafanywa na Rais Samia na Serikali na kuyaweka kwenye kitabu kimoja cha kumbukumbu ambacho kitaishi milele kinachoitwa Muziki wa Samia” #MillardAyoENT
    Like
    Love
    9
    · 8 Commentarios ·0 Acciones ·1K Views