نتائج البحث
عرض كل النتائج
Socialpop Socialpop Socialpop
الرئيسية
المجموعات
الصفحات
سوق المنتجات
شاهد المزيد
المجموعات الصفحات سوق المنتجات المناسبات المدونات التمويل مفاوضاتي وظائف Courses المنتديات الافلام
انضم إلينا
تسجيل الدخول تسجيل
Theme Switcher
الوضع المظلم
الدليل
المستخدمون
المنشورات
الصفحات
المجموعات
المناسبات
  • David Atto @Mefa أضاف صورة
    2025-05-11 19:11:00 ·
    Like
    Love
    4
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·341 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • ECHO NOVEMBER @Bonge1
    2025-05-12 00:39:25 ·
    MGUSO WA MAMA HUBADILISHA KILA KITU

    Kuna kitu kitakatifu kwa njia anayokufikia -
    hata wakati mikono yake imechoka.
    Kwa jinsi anavyokunja uso wako,
    lainisha nywele zako,
    na kutuliza dhoruba zako bila neno moja.

    Kugusa kwake sio faraja tu -
    ni kumbukumbu.
    Ni kila goti lililopigwa aliponya,
    kila homa aliyotuliza,
    kila uoga alinyamaza kwa kuwa pale tu.

    Muda mrefu kabla haujaelewa ulimwengu,
    mikono yake ilikujulisha -
    upole, upendo, uvumilivu.

    Na hata sasa,
    wakati maisha yanapovuma na upendo unapotea,
    mguso mmoja tu kutoka kwake
    bado unakurudisha kwako.

    Kwa sababu mikono ya mama haishiki tu -
    wanajenga.
    Wanabeba ndoto, machozi kavu, na roho za nanga.

    Kwa hivyo Siku hii ya Mama,
    heshima sio tu upendo wake,
    bali nguvu ya uponyaji ya uwepo wake.

    Asante, Mama,
    kwa kila wakati tulivu ambao ulibadilisha kila kitu.

    #MikonoYaMapenzi # #YeyeNiNyumbani
    MGUSO WA MAMA HUBADILISHA KILA KITU Kuna kitu kitakatifu kwa njia anayokufikia - hata wakati mikono yake imechoka. Kwa jinsi anavyokunja uso wako, lainisha nywele zako, na kutuliza dhoruba zako bila neno moja. Kugusa kwake sio faraja tu - ni kumbukumbu. Ni kila goti lililopigwa aliponya, kila homa aliyotuliza, kila uoga alinyamaza kwa kuwa pale tu. Muda mrefu kabla haujaelewa ulimwengu, mikono yake ilikujulisha - upole, upendo, uvumilivu. Na hata sasa, wakati maisha yanapovuma na upendo unapotea, mguso mmoja tu kutoka kwake bado unakurudisha kwako. Kwa sababu mikono ya mama haishiki tu - wanajenga. Wanabeba ndoto, machozi kavu, na roho za nanga. Kwa hivyo Siku hii ya Mama, heshima sio tu upendo wake, bali nguvu ya uponyaji ya uwepo wake. Asante, Mama, kwa kila wakati tulivu ambao ulibadilisha kila kitu. #MikonoYaMapenzi # #YeyeNiNyumbani
    Love
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·1كيلو بايت مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Site Supply @sitesupply424 تحديث صورة الملف الشخصي
    2025-05-12 04:53:20 ·
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·164 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Site Supply @sitesupply424 تحديث صورة الغلاف
    2025-05-12 04:54:40 ·
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·170 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Ibrar Hussain @smartlivingblinds تحديث صورة الملف الشخصي
    2025-05-12 05:01:52 ·
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·306 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Ibrar Hussain @smartlivingblinds أضاف وظيفة جديدة in الرئيسية
    2025-05-12 05:09:56 ·
    How to Choose the Perfect Curtain in Emirates Hills Dubai
    When you're living in one of Dubai’s most prestigious communities like Emirates Hills, every detail of your home deserves careful consideration — especially your window treatments. A beautifully chosen curtain in Emirates Hills Dubai can instantly elevate your interiors, enhance privacy, and reflect your sense of luxury. At Smart Living Blinds, we specialize in delivering premium,...
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·669 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Buildneweden Ministry @sikilizaS
    2025-05-12 05:16:16 ·
    15/21Hakuna neno gumu kwa Bwana.

    Ayubu 42:2
    "Najua ya kuwa waweza kufaya mambo yote na ya kuwa makusudi yako hayawezi zuilika."

    Ndio Bwana anaweza kufanya mambo yote kwako ikiwa tu kama ukikubali na kumfuata.

    Ayubu pamoja na mapito yote haya bado alibaki na tumaini hili la kujua kuwa bwana ndiyo anayeweza kufanya mambo yote.

    Na Bwana akianza kufanya akuna awezaye kuzuia kwani Bwana hufanya kwa ajiri ya kulitimiza kusudi lake na mapenzi yake.

    Kusudi la Mungu ni kuwainua wanao mtumikia ko usipate shida Bwana atakufanyia makubwa sana kama tu hautazimia moyo.

    "Aa! Bwana MUNGU ,tazama wewe umeziumba mbingu na nchi kwa uweza wako mkuu na kwa mkono wako ulionyoshwa ,hapana neno gumu usilo liweza".(Yeremia 32:17)

    Kwa Bwana hakuna jambo gumu hata moja haijalishi umekata tamaa kiasi gani Bwana anataka umlingane kwa kumtafuta tu yeye atakujibu .

    Tazama mimi ni BWANA , Mungu wa wote wenye mwili je! Kuna neno gumu lolote nisilo liweza? (Yeremia 32:27)

    Hili ni neno la Bwana lilo mjia Yeremia Bwana akiuliza je kuna neno gumu lolote yeye asilo liweza.

    Kumbe tatizo lako la uchumi si jambo gumu kwa bwana kiasi wewe kukata tamaa.

    Kama mwamini unacho paswa kukiri ni kuwa "Nayaweza mambo yote katika yeye anitiaye nguvu"

    Ni wewe tu umemuacha Bwana kwa kuifuatisha dunia inavyo enda kiasi cha kuzani kuna mambo ni magumu yeye awezi.

    Nipo hapa asubui ya leo kukutia moyo kuwa bwana anaweza yote ko acha kujidharau .

    Songa mbele kwa kujua kuwa umaskini ulio nao ,adha unayopitia , magumu unayo pitia ni kitambo tu Bwana anakwenda kukuvusha leo.

    Mwamini Mungu kwani neno lake linasema "Nchi na vyote vijazavyo ni mali yake dunia na wote wakaao ndani yake" (zaburi 24:1)

    Kama vyote ni mali ya Bwana kumbe ili uvipate ni kuyatenda mapenzi yake ili yeye alitimize kusudi lake kwako .

    Jifunze kujikubali kabla ujakubaliwa ,kwani ili uweze yote lazima uwe jitu la kujikubali katika kutimiza mapenzi ya Mungu.

    Wanadamu wanaweza kukataaa huwezi lakini vipi Mungu anasemaje?
    Nayey kakukataa kwani ? Jibu utagundua ni hapana sasa kama ni hapana mtazame Mungu anasema nini sio wao wanasema nini na hapo ndipo utaanza kujua nguvu ya Mungu kuwa anaweza yote na hakuna asilo liweza.

    Wanadamu wamesema huwezi kuajiriwa , vipi Mungu aesema nini pia? Ukitizama hivyo utagundua Mungu kasela akuna jambo gumu asilo liweza! Ko ni wewe tu ujamlingana Mungu.

    Madaktari wamesema huwezi kupona huo ugonjwa Mungu amesemaj? Mungu anasema Njoni kwangu enyi nyote mnao lemewa na mizigo nami nitawapunzisha.

    Mwamini Mungu yeye anaweza kukuvusha ktika kila hatua bila ugumu wowote.

    Ok naitwa Sylvester Mwakabende (build new eden) at 06;52am

    #build new eden
    #restore men position
    15/21Hakuna neno gumu kwa Bwana. Ayubu 42:2 "Najua ya kuwa waweza kufaya mambo yote na ya kuwa makusudi yako hayawezi zuilika." Ndio Bwana anaweza kufanya mambo yote kwako ikiwa tu kama ukikubali na kumfuata. Ayubu pamoja na mapito yote haya bado alibaki na tumaini hili la kujua kuwa bwana ndiyo anayeweza kufanya mambo yote. Na Bwana akianza kufanya akuna awezaye kuzuia kwani Bwana hufanya kwa ajiri ya kulitimiza kusudi lake na mapenzi yake. Kusudi la Mungu ni kuwainua wanao mtumikia ko usipate shida Bwana atakufanyia makubwa sana kama tu hautazimia moyo. "Aa! Bwana MUNGU ,tazama wewe umeziumba mbingu na nchi kwa uweza wako mkuu na kwa mkono wako ulionyoshwa ,hapana neno gumu usilo liweza".(Yeremia 32:17) Kwa Bwana hakuna jambo gumu hata moja haijalishi umekata tamaa kiasi gani Bwana anataka umlingane kwa kumtafuta tu yeye atakujibu . Tazama mimi ni BWANA , Mungu wa wote wenye mwili je! Kuna neno gumu lolote nisilo liweza? (Yeremia 32:27) Hili ni neno la Bwana lilo mjia Yeremia Bwana akiuliza je kuna neno gumu lolote yeye asilo liweza. Kumbe tatizo lako la uchumi si jambo gumu kwa bwana kiasi wewe kukata tamaa. Kama mwamini unacho paswa kukiri ni kuwa "Nayaweza mambo yote katika yeye anitiaye nguvu" Ni wewe tu umemuacha Bwana kwa kuifuatisha dunia inavyo enda kiasi cha kuzani kuna mambo ni magumu yeye awezi. Nipo hapa asubui ya leo kukutia moyo kuwa bwana anaweza yote ko acha kujidharau . Songa mbele kwa kujua kuwa umaskini ulio nao ,adha unayopitia , magumu unayo pitia ni kitambo tu Bwana anakwenda kukuvusha leo. Mwamini Mungu kwani neno lake linasema "Nchi na vyote vijazavyo ni mali yake dunia na wote wakaao ndani yake" (zaburi 24:1) Kama vyote ni mali ya Bwana kumbe ili uvipate ni kuyatenda mapenzi yake ili yeye alitimize kusudi lake kwako . Jifunze kujikubali kabla ujakubaliwa ,kwani ili uweze yote lazima uwe jitu la kujikubali katika kutimiza mapenzi ya Mungu. Wanadamu wanaweza kukataaa huwezi lakini vipi Mungu anasemaje? Nayey kakukataa kwani ? Jibu utagundua ni hapana sasa kama ni hapana mtazame Mungu anasema nini sio wao wanasema nini na hapo ndipo utaanza kujua nguvu ya Mungu kuwa anaweza yote na hakuna asilo liweza. Wanadamu wamesema huwezi kuajiriwa , vipi Mungu aesema nini pia? Ukitizama hivyo utagundua Mungu kasela akuna jambo gumu asilo liweza! Ko ni wewe tu ujamlingana Mungu. Madaktari wamesema huwezi kupona huo ugonjwa Mungu amesemaj? Mungu anasema Njoni kwangu enyi nyote mnao lemewa na mizigo nami nitawapunzisha. Mwamini Mungu yeye anaweza kukuvusha ktika kila hatua bila ugumu wowote. Ok naitwa Sylvester Mwakabende (build new eden) at 06;52am #build new eden #restore men position
    Yay
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·1كيلو بايت مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Kristen Mitchell @KristenMitchell تحديث صورة الملف الشخصي
    2025-05-12 05:17:56 ·
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·288 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Kristen Mitchell @KristenMitchell أضاف وظيفة جديدة in Shopping
    2025-05-12 05:19:06 ·
    Emerald Cut Engagement Rings: Bold, Elegant, and Timeless
    When it comes to selecting an engagement ring that exudes sophistication and grace, emerald cut diamond ring stand out for their bold elegance and timeless appeal. With their clean lines, step-cut facets, and elongated silhouette, emerald cut engagement rings are a symbol of refined luxury. At KRK Jewels, we celebrate the beauty and elegance of this iconic diamond shape, offering a...
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·577 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Mic Micden @micden502 تحديث صورة الملف الشخصي
    2025-05-12 05:22:57 ·
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·271 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • عرض (24211-24220 من 28703)
  • «
  • السابق
  • 2420
  • 2421
  • 2422
  • 2423
  • 2424
  • التالي
  • »
ترقية الحساب
اختر الخطة التي تناسبك
ترقية
© 2025 Socialpop
Arabic
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
الشروط الخصوصية اتصل بنا الدليل المطوريين