Результаты поиска
Все результаты
Socialpop Socialpop Socialpop
Главная
Группы
Страницы
Marketplace
Больше
Группы Страницы Marketplace Мероприятия Статьи пользователей Funding Offers Jobs Courses Форумы Кинозал
Вступить
Войти Регистрация
Theme Switcher
Ночной режим
Каталог
Пользователи
Записей
Страницы
Группы
Мероприятия
  • Site Supply @sitesupply424 обновлено фото обложки
    2025-05-12 04:54:40 ·
    0 Комментарии ·0 Поделились ·139 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Ibrar Hussain @smartlivingblinds обновить изображение профиля
    2025-05-12 05:01:52 ·
    0 Комментарии ·0 Поделились ·219 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Ibrar Hussain @smartlivingblinds добавлена новая статья in Главная
    2025-05-12 05:09:56 ·
    How to Choose the Perfect Curtain in Emirates Hills Dubai
    When you're living in one of Dubai’s most prestigious communities like Emirates Hills, every detail of your home deserves careful consideration — especially your window treatments. A beautifully chosen curtain in Emirates Hills Dubai can instantly elevate your interiors, enhance privacy, and reflect your sense of luxury. At Smart Living Blinds, we specialize in delivering premium,...
    0 Комментарии ·0 Поделились ·530 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Buildneweden Ministry @sikilizaS
    2025-05-12 05:16:16 ·
    15/21Hakuna neno gumu kwa Bwana.

    Ayubu 42:2
    "Najua ya kuwa waweza kufaya mambo yote na ya kuwa makusudi yako hayawezi zuilika."

    Ndio Bwana anaweza kufanya mambo yote kwako ikiwa tu kama ukikubali na kumfuata.

    Ayubu pamoja na mapito yote haya bado alibaki na tumaini hili la kujua kuwa bwana ndiyo anayeweza kufanya mambo yote.

    Na Bwana akianza kufanya akuna awezaye kuzuia kwani Bwana hufanya kwa ajiri ya kulitimiza kusudi lake na mapenzi yake.

    Kusudi la Mungu ni kuwainua wanao mtumikia ko usipate shida Bwana atakufanyia makubwa sana kama tu hautazimia moyo.

    "Aa! Bwana MUNGU ,tazama wewe umeziumba mbingu na nchi kwa uweza wako mkuu na kwa mkono wako ulionyoshwa ,hapana neno gumu usilo liweza".(Yeremia 32:17)

    Kwa Bwana hakuna jambo gumu hata moja haijalishi umekata tamaa kiasi gani Bwana anataka umlingane kwa kumtafuta tu yeye atakujibu .

    Tazama mimi ni BWANA , Mungu wa wote wenye mwili je! Kuna neno gumu lolote nisilo liweza? (Yeremia 32:27)

    Hili ni neno la Bwana lilo mjia Yeremia Bwana akiuliza je kuna neno gumu lolote yeye asilo liweza.

    Kumbe tatizo lako la uchumi si jambo gumu kwa bwana kiasi wewe kukata tamaa.

    Kama mwamini unacho paswa kukiri ni kuwa "Nayaweza mambo yote katika yeye anitiaye nguvu"

    Ni wewe tu umemuacha Bwana kwa kuifuatisha dunia inavyo enda kiasi cha kuzani kuna mambo ni magumu yeye awezi.

    Nipo hapa asubui ya leo kukutia moyo kuwa bwana anaweza yote ko acha kujidharau .

    Songa mbele kwa kujua kuwa umaskini ulio nao ,adha unayopitia , magumu unayo pitia ni kitambo tu Bwana anakwenda kukuvusha leo.

    Mwamini Mungu kwani neno lake linasema "Nchi na vyote vijazavyo ni mali yake dunia na wote wakaao ndani yake" (zaburi 24:1)

    Kama vyote ni mali ya Bwana kumbe ili uvipate ni kuyatenda mapenzi yake ili yeye alitimize kusudi lake kwako .

    Jifunze kujikubali kabla ujakubaliwa ,kwani ili uweze yote lazima uwe jitu la kujikubali katika kutimiza mapenzi ya Mungu.

    Wanadamu wanaweza kukataaa huwezi lakini vipi Mungu anasemaje?
    Nayey kakukataa kwani ? Jibu utagundua ni hapana sasa kama ni hapana mtazame Mungu anasema nini sio wao wanasema nini na hapo ndipo utaanza kujua nguvu ya Mungu kuwa anaweza yote na hakuna asilo liweza.

    Wanadamu wamesema huwezi kuajiriwa , vipi Mungu aesema nini pia? Ukitizama hivyo utagundua Mungu kasela akuna jambo gumu asilo liweza! Ko ni wewe tu ujamlingana Mungu.

    Madaktari wamesema huwezi kupona huo ugonjwa Mungu amesemaj? Mungu anasema Njoni kwangu enyi nyote mnao lemewa na mizigo nami nitawapunzisha.

    Mwamini Mungu yeye anaweza kukuvusha ktika kila hatua bila ugumu wowote.

    Ok naitwa Sylvester Mwakabende (build new eden) at 06;52am

    #build new eden
    #restore men position
    15/21Hakuna neno gumu kwa Bwana. Ayubu 42:2 "Najua ya kuwa waweza kufaya mambo yote na ya kuwa makusudi yako hayawezi zuilika." Ndio Bwana anaweza kufanya mambo yote kwako ikiwa tu kama ukikubali na kumfuata. Ayubu pamoja na mapito yote haya bado alibaki na tumaini hili la kujua kuwa bwana ndiyo anayeweza kufanya mambo yote. Na Bwana akianza kufanya akuna awezaye kuzuia kwani Bwana hufanya kwa ajiri ya kulitimiza kusudi lake na mapenzi yake. Kusudi la Mungu ni kuwainua wanao mtumikia ko usipate shida Bwana atakufanyia makubwa sana kama tu hautazimia moyo. "Aa! Bwana MUNGU ,tazama wewe umeziumba mbingu na nchi kwa uweza wako mkuu na kwa mkono wako ulionyoshwa ,hapana neno gumu usilo liweza".(Yeremia 32:17) Kwa Bwana hakuna jambo gumu hata moja haijalishi umekata tamaa kiasi gani Bwana anataka umlingane kwa kumtafuta tu yeye atakujibu . Tazama mimi ni BWANA , Mungu wa wote wenye mwili je! Kuna neno gumu lolote nisilo liweza? (Yeremia 32:27) Hili ni neno la Bwana lilo mjia Yeremia Bwana akiuliza je kuna neno gumu lolote yeye asilo liweza. Kumbe tatizo lako la uchumi si jambo gumu kwa bwana kiasi wewe kukata tamaa. Kama mwamini unacho paswa kukiri ni kuwa "Nayaweza mambo yote katika yeye anitiaye nguvu" Ni wewe tu umemuacha Bwana kwa kuifuatisha dunia inavyo enda kiasi cha kuzani kuna mambo ni magumu yeye awezi. Nipo hapa asubui ya leo kukutia moyo kuwa bwana anaweza yote ko acha kujidharau . Songa mbele kwa kujua kuwa umaskini ulio nao ,adha unayopitia , magumu unayo pitia ni kitambo tu Bwana anakwenda kukuvusha leo. Mwamini Mungu kwani neno lake linasema "Nchi na vyote vijazavyo ni mali yake dunia na wote wakaao ndani yake" (zaburi 24:1) Kama vyote ni mali ya Bwana kumbe ili uvipate ni kuyatenda mapenzi yake ili yeye alitimize kusudi lake kwako . Jifunze kujikubali kabla ujakubaliwa ,kwani ili uweze yote lazima uwe jitu la kujikubali katika kutimiza mapenzi ya Mungu. Wanadamu wanaweza kukataaa huwezi lakini vipi Mungu anasemaje? Nayey kakukataa kwani ? Jibu utagundua ni hapana sasa kama ni hapana mtazame Mungu anasema nini sio wao wanasema nini na hapo ndipo utaanza kujua nguvu ya Mungu kuwa anaweza yote na hakuna asilo liweza. Wanadamu wamesema huwezi kuajiriwa , vipi Mungu aesema nini pia? Ukitizama hivyo utagundua Mungu kasela akuna jambo gumu asilo liweza! Ko ni wewe tu ujamlingana Mungu. Madaktari wamesema huwezi kupona huo ugonjwa Mungu amesemaj? Mungu anasema Njoni kwangu enyi nyote mnao lemewa na mizigo nami nitawapunzisha. Mwamini Mungu yeye anaweza kukuvusha ktika kila hatua bila ugumu wowote. Ok naitwa Sylvester Mwakabende (build new eden) at 06;52am #build new eden #restore men position
    Yay
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·796 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Kristen Mitchell @KristenMitchell обновить изображение профиля
    2025-05-12 05:17:56 ·
    0 Комментарии ·0 Поделились ·193 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Kristen Mitchell @KristenMitchell добавлена новая статья in Shopping
    2025-05-12 05:19:06 ·
    Emerald Cut Engagement Rings: Bold, Elegant, and Timeless
    When it comes to selecting an engagement ring that exudes sophistication and grace, emerald cut diamond ring stand out for their bold elegance and timeless appeal. With their clean lines, step-cut facets, and elongated silhouette, emerald cut engagement rings are a symbol of refined luxury. At KRK Jewels, we celebrate the beauty and elegance of this iconic diamond shape, offering a...
    0 Комментарии ·0 Поделились ·403 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Mic Micden @micden502 обновить изображение профиля
    2025-05-12 05:22:57 ·
    0 Комментарии ·0 Поделились ·188 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Mic Micden @micden502 добавлена новая статья in Health
    2025-05-12 05:28:24 ·
    Elbow Arthroscopy Surgery: A Path To Pain Relief
    When persistent elbow pain starts to affect your daily activities and non-surgical treatments fail to provide relief, it may be time to consider a more advanced solution. Elbow arthroscopy surgery is a minimally invasive procedure that has helped thousands of individuals regain function, alleviate discomfort, and return to their normal routines with greater ease. In this blog, we’ll delve...
    0 Комментарии ·0 Поделились ·550 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Absolute Digitizing @absolutedigitizing обновить изображение профиля
    2025-05-12 05:36:56 ·
    0 Комментарии ·0 Поделились ·210 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Absolute Digitizing @absolutedigitizing добавлена новая статья in Crafts
    2025-05-12 05:38:55 ·
    Beginner’s Guide to Digitize Logo for Embroidery Without Hassle
    So, you’ve got a logo you want to stitch onto hats, shirts, or bags—but every time you try, it comes out looking like a thread tornado? You’re not alone. Digitizing a logo for embroidery is the secret sauce to turning pixel-perfect designs into stitch-perfect reality. But if you’re new to this, the process can feel overwhelming. Don’t panic! This...
    0 Комментарии ·0 Поделились ·533 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Отображение (24221-24230 из 26896)
  • «
  • Назад
  • 2421
  • 2422
  • 2423
  • 2424
  • 2425
  • Далее
  • »
Обновить до Про
Выберите подходящий план
Обновить
© 2025 Socialpop
Russian
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
О нас Условия использования Конфиденциальность Свяжитесь с нами Каталог Разработчики