Resultados de Pesquisa
Veja todos os resultados
Socialpop Socialpop Socialpop
Início
Grupos
Páginas
Marketplace
Ver Mais
Grupos Páginas Marketplace Eventos Blogs Funding Offers Jobs Courses Fóruns Movies
Participar
Entrar Registrar
Theme Switcher
Night Mode
Diretório
Usuários
Publicações
Páginas
Grupos
Eventos
  • Jainey James @jainey adicionou um novo artigo in Outro
    2025-05-15 11:36:40 ·
    How to Choose the Best SEO Agency for Your Small Business
    Choosing the best SEO agency for your small business isn't just about Googling and picking the top result. It requires a nuanced approach, a clear understanding of your goals, and an awareness of what truly drives long-term digital growth. In this guide, we’ll demystify the process and offer real, actionable insights on how to make the right decision. Understanding the Role of SEO for...
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·487 Visualizações
    Faça Login para curtir, compartilhar e comentar!
  • Sir Media @sirmedia adicionou um novo artigo in Health
    2025-05-15 11:49:34 ·
    Bring Balance to Life with Healing Crystals Online from Gemscite
    Have you ever felt overwhelmed, out of sync, or just not quite yourself? You’re not alone—and the answer might be more natural than you think. Healing crystals online have become a trusted companion for many people seeking to restore balance, energy, and peace in their lives. And with trusted platforms like Gemscite, accessing these powerful tools has never been easier. In this...
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·644 Visualizações
    Faça Login para curtir, compartilhar e comentar!
  • Techugo Mobile App Development @satyam11 adicionou um novo artigo in Outro
    2025-05-15 11:49:36 ·
    From Zero to App Store – Timeline with a Top iPhone App Development Company
    In a world where mobile usage is skyrocketing, having an iOS app on the App Store isn’t just a bonus — it’s a business imperative. Whether you're a startup founder, an enterprise innovator, or a local business in Qatar looking to go digital, your journey from idea to execution can seem overwhelming. That’s why partnering with a top-tier iPhone app development company is...
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·411 Visualizações
    Faça Login para curtir, compartilhar e comentar!
  • Wheelsbingo Wheelsbingo @Wheelsbingo atualizou a foto de perfil
    2025-05-15 11:51:29 ·
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·210 Visualizações
    Faça Login para curtir, compartilhar e comentar!
  • Ambakisye Mwalughaja @Ambakija326 adicionou uma foto
    2025-05-15 15:19:29 ·
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·213 Visualizações
    Faça Login para curtir, compartilhar e comentar!
  • Ambakisye Mwalughaja @Ambakija326 adicionou uma foto
    2025-05-15 15:20:00 ·
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·227 Visualizações
    Faça Login para curtir, compartilhar e comentar!
  • David Atto @Mefa adicionou uma foto
    2025-05-15 16:57:34 ·
    NAONA MECHI INAENDA KUCHEZWS ZANZIBAR NA SIYO BENJAMINI MKAPA
    NAONA MECHI INAENDA KUCHEZWS ZANZIBAR NA SIYO BENJAMINI MKAPA
    Like
    Love
    2
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·473 Visualizações
    Faça Login para curtir, compartilhar e comentar!
  • David Atto @Mefa adicionou uma foto
    2025-05-15 16:58:29 ·
    Love
    Like
    3
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·281 Visualizações
    Faça Login para curtir, compartilhar e comentar!
  • Buildneweden Ministry @sikilizaS
    2025-05-16 04:20:11 ·
    Nguvu ya damu ya Yesu.

    Damu ni ndiyo msingi wa agano .Ili agano litimie lazima limaliswe ba damu ambayo inene kama shahidi wa agano.

    Damu ndiyo inamamlaka ya kumsafisha mtu uovu wake wa kwanza au dhambi zake.

    Na hili halikuwnza kwa mwanadamu bali alilifanya mara ya kwanza Mungu mwenyewe pale bustanini eden kwa kuchinjz ili awavike adamu na mkewe baada ya kutoka nje ya maagizo yake au agano lake.
    Mwanzo 3:21. *Mwenyezi-Mungu akawatengenezea Adamu na mkewe mavazi ya ngozi, akawavika.*

    Damu ilitumika kama ondeleo la dhambi ndiyo maana mwanadamu alipo kuwa akikosa basi alienda kwa kuhani na kupeleka sadaka yakuteketezwa na sadaka ya ondeleo ambayo ni Azazeli iliyo kuwa mbuzi anaye beba uovu na kisha kuachwa jangwani.

    Ebrania 9:21
    "Katika torati karibi vitu vyote husafishwa kwa damu na pasipo kumwaga damu hakuna ondoleo"

    Kama pasipo damu kulikuwa hakuna ondoleo basi hiyo ndilo kusudi la Yesu kuja duniani kufanyika mwili ili aweze kutupa ondoleo la dhambi.

    Ndiyo maana ukisoma ujumbe wake wa kwanza kabisa kunena alinena maneno ya nabii isaya "Roho wa Bwana yu juu yangu, Kwa maana amenitia mafuta kuwahubiri maskini habari njema. Amenituma kuwatangazia wafungwa kufunguliwa kwao, Na vipofu kupata kuona tena, Kuwaacha huru waliosetwa.Luka 4:19

    Kwa maana alianza kusema hivyo akiainisha kusudi lake ilimlazimu yeye ndo awe mwanakondoo wa kuchinjwa ili ukombozi upatikane .

    Ili. atupe ondoleo ili mlazimu awe ndugu yetu ili kwanza ndiyo sababu akabeba mwili ili aonekane mwenzetu.

    Kupitia damu yake ndiyo tunapata ondoleo na ushindi dhidi ya dhambi .

    Nao wakamshinda kwa damu ya Mwana-Kondoo, na kwa neno la ushuhuda wao; ambao hawakupenda
    maisha yao hata kufa.(Ufunuo12:11)

    kama damu ya Abili ilinena ingali kuwa zmekufa vipi kuhusu damu ya Yesu mwenyewe ambaye ndiye kuhani mkuu kwetu na anzye tupa msamaha.

    Ukombozi wa maisha na baraka ni muhimu sana ukijua nguvu ya damu ya nwanakondoo ambaye ndiye yesu kristo

    Ebrania 10:16-19
    16 Hili ni agano nitakaloagana nao baada ya siku zile, anena Bwana,
    Nitatia sheria zangu mioyoni mwao,
    Na katika nia zao nitaziandika;
    ndipo anenapo,
    17 Dhambi zao na uasi wao sitaukumbuka tena kabisa.
    18Basi, ondoleo la hayo likiwapo, hapana toleo tena kwa ajili ya dhambi.
    Wito wa kuwa Wavumilivu
    19 Basi, ndugu, kwa kuwa tuna ujasiri wa kupaingia patakatifu kwa damu ya Yesu,

    Ukijua nguvu ya damu ya Yesu lazma utakuwa na ujasiri katka imani kwani damu yake inanguvu sawa na jina lake ni wewe tu ndo utaki kutumia damu yake kama ukombozi wako.

    Ukombozi ni jambo jema lakini lazima tujue kuwa pasipo Kristo hakuna kukombolewa ,mpe leo maisha akomboe maisha yako.

    #build new eden
    #restore men position
    Nguvu ya damu ya Yesu. Damu ni ndiyo msingi wa agano .Ili agano litimie lazima limaliswe ba damu ambayo inene kama shahidi wa agano. Damu ndiyo inamamlaka ya kumsafisha mtu uovu wake wa kwanza au dhambi zake. Na hili halikuwnza kwa mwanadamu bali alilifanya mara ya kwanza Mungu mwenyewe pale bustanini eden kwa kuchinjz ili awavike adamu na mkewe baada ya kutoka nje ya maagizo yake au agano lake. Mwanzo 3:21. *Mwenyezi-Mungu akawatengenezea Adamu na mkewe mavazi ya ngozi, akawavika.* Damu ilitumika kama ondeleo la dhambi ndiyo maana mwanadamu alipo kuwa akikosa basi alienda kwa kuhani na kupeleka sadaka yakuteketezwa na sadaka ya ondeleo ambayo ni Azazeli iliyo kuwa mbuzi anaye beba uovu na kisha kuachwa jangwani. Ebrania 9:21 "Katika torati karibi vitu vyote husafishwa kwa damu na pasipo kumwaga damu hakuna ondoleo" Kama pasipo damu kulikuwa hakuna ondoleo basi hiyo ndilo kusudi la Yesu kuja duniani kufanyika mwili ili aweze kutupa ondoleo la dhambi. Ndiyo maana ukisoma ujumbe wake wa kwanza kabisa kunena alinena maneno ya nabii isaya "Roho wa Bwana yu juu yangu, Kwa maana amenitia mafuta kuwahubiri maskini habari njema. Amenituma kuwatangazia wafungwa kufunguliwa kwao, Na vipofu kupata kuona tena, Kuwaacha huru waliosetwa.Luka 4:19 Kwa maana alianza kusema hivyo akiainisha kusudi lake ilimlazimu yeye ndo awe mwanakondoo wa kuchinjwa ili ukombozi upatikane . Ili. atupe ondoleo ili mlazimu awe ndugu yetu ili kwanza ndiyo sababu akabeba mwili ili aonekane mwenzetu. Kupitia damu yake ndiyo tunapata ondoleo na ushindi dhidi ya dhambi . Nao wakamshinda kwa damu ya Mwana-Kondoo, na kwa neno la ushuhuda wao; ambao hawakupenda maisha yao hata kufa.(Ufunuo12:11) kama damu ya Abili ilinena ingali kuwa zmekufa vipi kuhusu damu ya Yesu mwenyewe ambaye ndiye kuhani mkuu kwetu na anzye tupa msamaha. Ukombozi wa maisha na baraka ni muhimu sana ukijua nguvu ya damu ya nwanakondoo ambaye ndiye yesu kristo Ebrania 10:16-19 16 Hili ni agano nitakaloagana nao baada ya siku zile, anena Bwana, Nitatia sheria zangu mioyoni mwao, Na katika nia zao nitaziandika; ndipo anenapo, 17 Dhambi zao na uasi wao sitaukumbuka tena kabisa. 18Basi, ondoleo la hayo likiwapo, hapana toleo tena kwa ajili ya dhambi. Wito wa kuwa Wavumilivu 19 Basi, ndugu, kwa kuwa tuna ujasiri wa kupaingia patakatifu kwa damu ya Yesu, Ukijua nguvu ya damu ya Yesu lazma utakuwa na ujasiri katka imani kwani damu yake inanguvu sawa na jina lake ni wewe tu ndo utaki kutumia damu yake kama ukombozi wako. Ukombozi ni jambo jema lakini lazima tujue kuwa pasipo Kristo hakuna kukombolewa ,mpe leo maisha akomboe maisha yako. #build new eden #restore men position
    Wow
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·720 Visualizações
    Faça Login para curtir, compartilhar e comentar!
  • Ava Felix @avafelix atualizou a foto de perfil
    2025-05-16 05:42:33 ·
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·198 Visualizações
    Faça Login para curtir, compartilhar e comentar!
  • Exibindo (24351-24360 de 26793)
  • «
  • Anterior
  • 2434
  • 2435
  • 2436
  • 2437
  • 2438
  • Seguinte
  • »
Atualize para o Pro
Escolha o Plano que é melhor para você
Atualizar
© 2025 Socialpop
Portuguese
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
Sobre Termos Privacidade Fale Conosco Diretório Developers