Zoekresultaten
Alle resultaten weergeven
Socialpop Socialpop Socialpop
Home
Groepen
Pagina
Marketplace
Kijk verder.....
Groepen Pagina Marketplace Events Blogs Funding Offers Jobs Courses Forums Movies
Registreer
Log in Cre毛er je account
Theme Switcher
Night Mode
Bedrijvengids
Gebruikers
Berichten
Pagina
Groepen
Events
  • Nirvanayoga Schoolindia @nirvanayogaschoolindia toegevoegd een audio in Health
    2025-06-16 16:06:55 路
    Yoga School in Rishikesh
    Nirvana Yoga School is one of the most trusted and reputed traditional Yoga Schools in Rishikesh, India certified by Yoga Alliance, USA. We aim to spread traditional yoga teachings so that our trainees can learn the secrets of living a blissful and healthy lifestyle. We offer traditional and authentic Yoga teacher training courses in different styles of yoga. We have trained many yoga...
    0 Reacties 路0 aandelen 路529 Views
    Please log in to like, share and comment!
  • Rörhjälpen Rörhjälpen @rorhjalpen toegevoegd een audio in Other
    2025-06-17 04:35:57 路
    Här finns din lokala och pålitliga rörmokare i Nacka – tillgänglig 24/7
    Letar du efter en rörmokare i Nacka som är snabb, pålitlig och prisvärd? Då är Rörhjälpen ditt självklara val. Vi erbjuder ett komplett utbud av VVS-tjänster för både privatpersoner och företag – från akuta läckor och stopp i avloppet till installation av värmepumpar och renovering av badrum. Våra...
    0 Reacties 路0 aandelen 路389 Views
    Please log in to like, share and comment!
  • Buildneweden Ministry @sikilizaS
    2025-06-17 07:26:24 路
    2 Mambo ya Nyakati 7:16
    [16]Maana sasa nimeichagua nyumba hii na kuitakasa, ili kwamba jina langu lipate kuwako huko milele; yatakuwako na macho yangu, na moyo wangu daima.

    Nyumba yako inaweza chaguliwa na Bwana n kutakaswa sababu cya wewe tu umemlingana Bwana.

    Wewe unweza kuwa mwema mbele ya mbingu kiasi ambacho Mungu akaona iko sababu kuichagua nyumba yako yote .

    Mungu alimwambia suleimani mambo hayo baada ya kufanya yaliyo adili machoni pako.

    Ndio maana maandiko yanasema *"mkikubali na kutii mtakula mema ya nchi"*

    Lazima uwe mtu uliye chagua kutembea na Mungu katika kila hatua siyo mtu wa kutembea na Mungu nusu nusu ,hapana lazma uwe unatembea na Mungu jumla jumla.

    Bwana akiichagua nyumba yako nakuitakasa inamaana kuna mambo mengi sana nyumba yako hawata itaji kutumia nguvu katika kuyafanya badala yake wanahitaji nguvu kidogo tu na matokeo makubwa sana.

    Kama mke ni mtii na wa kumtafuta Mungu nyumba yake itaiitwa nyumba ya sala na nyumba ya hekima sababu tu ni mwanamke muombaji ..

    Mithali 14:1-2
    [1]Kila mwanamke aliye na hekima hujenga nyumba yake;
    Bali aliye mpumbavu huibomoa kwa mikono yake mwenyewe.

    [2]Yeye aendaye kwa unyofu wake humcha BWANA;
    Bali aliye mkaidi katika njia zake humdharau.

    Wenye hekima ndiyo wanao chaguliwa na Bwana mke ambaye anaweza kusimama kuibeba ndoa yake katika kila hali .

    Mke ambaye anaweza kubeba nyumba yake kwa maombi kuna mambo mengi watoto zake wanaeushwa sababu tu ya maombi yake yanapelekea Mungu kuichagua nyumba yake nz kuitakasa.

    Mume mwenye hekima ni ulinzi tosha kwa familia sababu Mungu ndiye aliye mpa hekima na kuichagua nyumba yake lazima awe mtu wa matokeo tu.

    Nyumba iliyo amua kutembea na bwana katika kila hali ina muomba Mungu tu

    2 Mambo ya Nyakati 6:40
    [40]Na sasa, Ee Mungu wangu, macho yako yafumbuke, nakusihi, masikio yako yakasikilize maombi yaombwayo mahali hapa.

    Ni maombi yangu Bwana akufumbue macho ya hekima uenende na hekima yake na mwendelezo wa maarifa ya kiungu.

    MUNGU amekuchagua ila wewe tu ndo unaogopa kutii na kufuata anayo yataka Mungu.

    Naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden
    Karibu kujifunza neno lisilo goshiwa katika group letu la watsap.
    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4
    #restore men position
    #build new eden
    2 Mambo ya Nyakati 7:16 [16]Maana sasa nimeichagua nyumba hii na kuitakasa, ili kwamba jina langu lipate kuwako huko milele; yatakuwako na macho yangu, na moyo wangu daima. Nyumba yako inaweza chaguliwa na Bwana n kutakaswa sababu cya wewe tu umemlingana Bwana. Wewe unweza kuwa mwema mbele ya mbingu kiasi ambacho Mungu akaona iko sababu kuichagua nyumba yako yote . Mungu alimwambia suleimani mambo hayo baada ya kufanya yaliyo adili machoni pako. Ndio maana maandiko yanasema *"mkikubali na kutii mtakula mema ya nchi"* Lazima uwe mtu uliye chagua kutembea na Mungu katika kila hatua siyo mtu wa kutembea na Mungu nusu nusu ,hapana lazma uwe unatembea na Mungu jumla jumla. Bwana akiichagua nyumba yako nakuitakasa inamaana kuna mambo mengi sana nyumba yako hawata itaji kutumia nguvu katika kuyafanya badala yake wanahitaji nguvu kidogo tu na matokeo makubwa sana. Kama mke ni mtii na wa kumtafuta Mungu nyumba yake itaiitwa nyumba ya sala na nyumba ya hekima sababu tu ni mwanamke muombaji .. Mithali 14:1-2 [1]Kila mwanamke aliye na hekima hujenga nyumba yake; Bali aliye mpumbavu huibomoa kwa mikono yake mwenyewe. [2]Yeye aendaye kwa unyofu wake humcha BWANA; Bali aliye mkaidi katika njia zake humdharau. Wenye hekima ndiyo wanao chaguliwa na Bwana mke ambaye anaweza kusimama kuibeba ndoa yake katika kila hali . Mke ambaye anaweza kubeba nyumba yake kwa maombi kuna mambo mengi watoto zake wanaeushwa sababu tu ya maombi yake yanapelekea Mungu kuichagua nyumba yake nz kuitakasa. Mume mwenye hekima ni ulinzi tosha kwa familia sababu Mungu ndiye aliye mpa hekima na kuichagua nyumba yake lazima awe mtu wa matokeo tu. Nyumba iliyo amua kutembea na bwana katika kila hali ina muomba Mungu tu 2 Mambo ya Nyakati 6:40 [40]Na sasa, Ee Mungu wangu, macho yako yafumbuke, nakusihi, masikio yako yakasikilize maombi yaombwayo mahali hapa. Ni maombi yangu Bwana akufumbue macho ya hekima uenende na hekima yake na mwendelezo wa maarifa ya kiungu. MUNGU amekuchagua ila wewe tu ndo unaogopa kutii na kufuata anayo yataka Mungu. Naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden Karibu kujifunza neno lisilo goshiwa katika group letu la watsap. https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 #restore men position #build new eden
    0 Reacties 路0 aandelen 路1K Views
    Please log in to like, share and comment!
  • Daniel James @danieljames0458 updated the profile picture
    2025-06-17 09:10:08 路
    Like
    1
    路 0 Reacties 路0 aandelen 路185 Views
    Please log in to like, share and comment!
  • Daniel James @danieljames0458 een koppeling hebt gedeeld
    2025-06-17 09:18:27 路
    Choosing dental services in Marietta? Learn how to find personalized, high-quality care for your family, from preventive to emergency treatments, all under one roof.
    https://uberant.com/article/2113168-how-to-choose-the-right-dental-services-in-marietta-for-your-family/
    Choosing dental services in Marietta? Learn how to find personalized, high-quality care for your family, from preventive to emergency treatments, all under one roof. https://uberant.com/article/2113168-how-to-choose-the-right-dental-services-in-marietta-for-your-family/
    How to Choose the Right Dental Services in Marietta for Your Family
    uberant.com
    Choosing dental services in Marietta? Learn how to find personalized, high-quality care for your family, from preventive to emergency treatments, all under one roof.
    Like
    1
    路 0 Reacties 路0 aandelen 路342 Views
    Please log in to like, share and comment!
  • Sports Elite @baraka24 toegevoegd een foto
    2025-06-17 09:42:26 路
    BREAKING

    Klabu ya FC Barcelona ipo katika hatua za mwisho kukamilisha usajili wa Nico William Jr kutokea klabu ya Athletic Club Bilbao.

    #sportselite
    BREAKING 馃敶 Klabu ya FC Barcelona ipo katika hatua za mwisho kukamilisha usajili wa Nico William Jr kutokea klabu ya Athletic Club Bilbao. #sportselite
    Wow
    1
    路 0 Reacties 路0 aandelen 路281 Views
    Please log in to like, share and comment!
  • Sports Elite @baraka24 toegevoegd een foto
    2025-06-17 09:43:35 路
    BREAKING NEWS…..!!!!!

    FIFA itafanya uchunguzi wa mpira wa Tanzania katika Kipindi cha miezi miwili nyuma hadi sasa kutokana na Migogoro ya kimaamuzi iliyotokea.

    Lakini pia imeiomba TFF kutoa ushirikiano katika masuala yote ili kuweza kupata uhalisia wa mambo yote yaliyotokea....

    #sportselite
    馃毃BREAKING NEWS…..!!!!! FIFA itafanya uchunguzi wa mpira wa Tanzania katika Kipindi cha miezi miwili nyuma hadi sasa kutokana na Migogoro ya kimaamuzi iliyotokea. Lakini pia imeiomba TFF kutoa ushirikiano katika masuala yote ili kuweza kupata uhalisia wa mambo yote yaliyotokea.... #sportselite
    Wow
    1
    路 0 Reacties 路0 aandelen 路842 Views
    Please log in to like, share and comment!
  • Baraka Sagenge @Bee24 toegevoegd een foto
    2025-06-17 09:47:16 路
    Love
    1
    路 0 Reacties 路0 aandelen 路153 Views
    Please log in to like, share and comment!
  • Baraka Sagenge @Bee24 toegevoegd een foto
    2025-06-17 09:49:48 路
    Yay
    1
    路 0 Reacties 路0 aandelen 路148 Views
    Please log in to like, share and comment!
  • Baraka Sagenge @Bee24 toegevoegd een foto
    2025-06-17 09:50:04 路
    Like
    Wow
    2
    路 0 Reacties 路0 aandelen 路188 Views
    Please log in to like, share and comment!
  • Display (25041-25050 of 29177)
  • «
  • Vorige
  • 2503
  • 2504
  • 2505
  • 2506
  • 2507
  • Volgende stap
  • »
Upgrade to Pro
Choose the Plan That's Right for You
Upgrade
© 2025 Socialpop
Dutch
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
About Voorwaarden Privacy Contact Us Bedrijvengids Developers