• Like
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·4 Ansichten
  • 0 Kommentare ·0 Anteile ·4 Ansichten
  • 0 Kommentare ·0 Anteile ·6 Ansichten
  • 0 Kommentare ·0 Anteile ·3 Ansichten
  • One Goal. Different Paths to Reach It.

    Struggling with obesity or weight-related health issues? At LivLife Hospital, Hyderabad, we offer personalized bariatric surgery options including:
    Gastric Bypass
    Sleeve Gastrectomy
    Mini Gastric Bypass
    Revision Surgeries

    Let’s help you find the right path to a healthier life.
    DM us to know which surgery suits you best.
    +91-9603555536 | https://livlifehospitals.com
    🎯 One Goal. Different Paths to Reach It. Struggling with obesity or weight-related health issues? At LivLife Hospital, Hyderabad, we offer personalized bariatric surgery options including: ✅ Gastric Bypass ✅ Sleeve Gastrectomy ✅ Mini Gastric Bypass ✅ Revision Surgeries Let’s help you find the right path to a healthier life. 📩 DM us to know which surgery suits you best. 📞 +91-9603555536 | 🌐 https://livlifehospitals.com
    Like
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·9 Ansichten
  • Nguvu inayo badilisha mtu .

    Warumi 12:2
    [2]*Wala msiifuatishe namna ya dunia hii;
    *bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu yaliyo mema, ya kumpendeza, na ukamilifu*

    Kama ukiwachukua watu wasili wanao waza sawa tunategemea matokeo yatakuwa sawa.

    Iko nguvu inaitwa neno la Mungu inayo weza badilisha mtu kama tu mtu akijua jinsi Mungu anavyo taka aenende .

    Kiwango chako cha kumjua Mungu katika neno lazima kiendane na matokeo kwani chochote apandacho mtu ndicho atakacho vuna.

    Wagalatia 6:7
    [7]Msidanganyike, Mungu hadhihakiwi; kwa kuwa cho chote apandacho mtu, ndicho atakachovuna.


    faida za kulijua neno kama nguvu inayo badilisha mtu .

    1.INATUHAKIKISHIA KUFNIKIWA.

    Mungu amehakikisha kila anaye mjua sawa sawa na neno anampa nguvu ya kufanikiwa.

    Zaburi 1:1-2
    [1]Heri mtu yule asiyekwenda
    Katika shauri la wasio haki;
    Wala hakusimama katika njia ya wakosaji;
    Wala hakuketi barazani pa wenye mizaha.

    [2]Bali sheria ya BWANA ndiyo impendezayo,
    Na sheria yake huitafakari mchana na usiku.

    Lazma uamue kuishi maisha yasiyo na mizaa kabisa na dhambi kwa kulifuata neno kama mwongozo wako hapo ndipo utampendeza Mungu na Mungu atajihakikishia kukuwazia mema na mafanikio.

    Isaya 55:8-9
    [8] *Maana mawazo yangu si mawazo yenu, wala njia zenu si njia zangu; asema BWANA.*
    .
    [9]Kwa maana kama vile mbingu zilivyo juu sana kuliko nchi, kadhalika njia zangu zi juu sana kuliko njia zenu, na mawazo yangu kuliko mawazo yenu.

    Mawazo ya mungu ni kuona ndoa yako inafanikiwa toka ujana wako mpaka uzee.

    Mawazo ya Mungu nikuona biashara yako inashine kuliko jana .

    Mawazo ya Mungu ni kukuona ukiishi maisha ya mafanikio na furaha siku zote za maisha yako .

    Yeremia 29:11
    [11] *Maana nayajua mawazo ninayowawazia ninyi, asema BWANA, ni mawazo ya amani wala si ya mabaya, kuwapa ninyi tumaini siku zenu za mwisho.*

    Tatizo lako ni moja umeichukulia mzaa dhambi na kufanya mawazo ya Mungu kwako yasitimie .

    Acha dhambi acha mzaa na zinaa kutoka kusema hii ndo zambi yetu vijana anza kuichukia totally maisha yako yatabadilika totally na Mungu atakuhakikishia mafanikio siku zote.

    Mafanikio ni hakika na kweli kabisa kwa mtu anaye kaa na neno, mtu ambaye katika kila jambo anajibu na kulitazama neno linasema nini lazima apokee mafanikio makubwa zaidi.

    2.inatusaidia kutoka katika mawazo na fikra hasi

    Mtu hawezi kufanikiwa zaidi ya vile anavyo amini .

    Mtu awezi kupokea uponyaji zaidi ya vile anavyo hitaji.

    Kiwango cha mafanikio yako kinaamuliwa na kiwango cha imani yako .

    Marko 9:23
    [23]Yesu akamwambia, Ukiweza! Yote yawezekana kwake aaminiye.

    Ukiweza kuwekeza katika neno neno litakupa matokeo ya mwilini kwani neno litakusaidia kujua jinsi gani watu walio tembea na mungu walifanikiwa .

    Utaacha kuona haiwezekani kila jambo utaanza kuona inawezekana kila jambo kwani utajua yeye anasemaji.

    Wafilolipi 4:13
    *Naweza kuyafanya mambo yote katika yeye anitiaye nguvu*

    Ko ni neno litabadilisha msimamo wako juu ya mawazo hasi juu ya mafanikio .

    Kwa maana mtu hawezi kuwa zaidi ya anavyo jiona.

    Mithali 23:7
    [7] *Maana aonavyo nafsini mwake, ndivyo alivyo*.
    Akuambia, Haya, kula, kunywa;
    Lakini moyo wake hauwi pamoja nawe.

    Neno pekee ndilo linaweza badilisha namna unavyo jiona na jinsi unavyo amini ili upokee mambo makubwa .

    Usidanganyikee mtu hawezi kupokea zaidi ya ufunuo alio upata katika neno husika .

    Nimatumaini yangu utaanza kuongeza imani katika neno ili upate nguvu ibadilishayo mtu .

    Take care, naitwa sylvester natokea kutoka (build new eden)

    Karubu tujifunze pamoja neno la Mungu .kupitia group la watsap

    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4

    #restore men position
    #build new position
    Nguvu inayo badilisha mtu . Warumi 12:2 [2]*Wala msiifuatishe namna ya dunia hii; *bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu yaliyo mema, ya kumpendeza, na ukamilifu* Kama ukiwachukua watu wasili wanao waza sawa tunategemea matokeo yatakuwa sawa. Iko nguvu inaitwa neno la Mungu inayo weza badilisha mtu kama tu mtu akijua jinsi Mungu anavyo taka aenende . Kiwango chako cha kumjua Mungu katika neno lazima kiendane na matokeo kwani chochote apandacho mtu ndicho atakacho vuna. Wagalatia 6:7 [7]Msidanganyike, Mungu hadhihakiwi; kwa kuwa cho chote apandacho mtu, ndicho atakachovuna. faida za kulijua neno kama nguvu inayo badilisha mtu . 1.INATUHAKIKISHIA KUFNIKIWA. Mungu amehakikisha kila anaye mjua sawa sawa na neno anampa nguvu ya kufanikiwa. Zaburi 1:1-2 [1]Heri mtu yule asiyekwenda Katika shauri la wasio haki; Wala hakusimama katika njia ya wakosaji; Wala hakuketi barazani pa wenye mizaha. [2]Bali sheria ya BWANA ndiyo impendezayo, Na sheria yake huitafakari mchana na usiku. Lazma uamue kuishi maisha yasiyo na mizaa kabisa na dhambi kwa kulifuata neno kama mwongozo wako hapo ndipo utampendeza Mungu na Mungu atajihakikishia kukuwazia mema na mafanikio. Isaya 55:8-9 [8] *Maana mawazo yangu si mawazo yenu, wala njia zenu si njia zangu; asema BWANA.* . [9]Kwa maana kama vile mbingu zilivyo juu sana kuliko nchi, kadhalika njia zangu zi juu sana kuliko njia zenu, na mawazo yangu kuliko mawazo yenu. Mawazo ya mungu ni kuona ndoa yako inafanikiwa toka ujana wako mpaka uzee. Mawazo ya Mungu nikuona biashara yako inashine kuliko jana . Mawazo ya Mungu ni kukuona ukiishi maisha ya mafanikio na furaha siku zote za maisha yako . Yeremia 29:11 [11] *Maana nayajua mawazo ninayowawazia ninyi, asema BWANA, ni mawazo ya amani wala si ya mabaya, kuwapa ninyi tumaini siku zenu za mwisho.* Tatizo lako ni moja umeichukulia mzaa dhambi na kufanya mawazo ya Mungu kwako yasitimie . Acha dhambi acha mzaa na zinaa kutoka kusema hii ndo zambi yetu vijana anza kuichukia totally maisha yako yatabadilika totally na Mungu atakuhakikishia mafanikio siku zote. Mafanikio ni hakika na kweli kabisa kwa mtu anaye kaa na neno, mtu ambaye katika kila jambo anajibu na kulitazama neno linasema nini lazima apokee mafanikio makubwa zaidi. 2.inatusaidia kutoka katika mawazo na fikra hasi Mtu hawezi kufanikiwa zaidi ya vile anavyo amini . Mtu awezi kupokea uponyaji zaidi ya vile anavyo hitaji. Kiwango cha mafanikio yako kinaamuliwa na kiwango cha imani yako . Marko 9:23 [23]Yesu akamwambia, Ukiweza! Yote yawezekana kwake aaminiye. Ukiweza kuwekeza katika neno neno litakupa matokeo ya mwilini kwani neno litakusaidia kujua jinsi gani watu walio tembea na mungu walifanikiwa . Utaacha kuona haiwezekani kila jambo utaanza kuona inawezekana kila jambo kwani utajua yeye anasemaji. Wafilolipi 4:13 *Naweza kuyafanya mambo yote katika yeye anitiaye nguvu* Ko ni neno litabadilisha msimamo wako juu ya mawazo hasi juu ya mafanikio . Kwa maana mtu hawezi kuwa zaidi ya anavyo jiona. Mithali 23:7 [7] *Maana aonavyo nafsini mwake, ndivyo alivyo*. Akuambia, Haya, kula, kunywa; Lakini moyo wake hauwi pamoja nawe. Neno pekee ndilo linaweza badilisha namna unavyo jiona na jinsi unavyo amini ili upokee mambo makubwa . Usidanganyikee mtu hawezi kupokea zaidi ya ufunuo alio upata katika neno husika . Nimatumaini yangu utaanza kuongeza imani katika neno ili upate nguvu ibadilishayo mtu . Take care, naitwa sylvester natokea kutoka (build new eden) Karubu tujifunze pamoja neno la Mungu .kupitia group la watsap https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 #restore men position #build new position
    Like
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·27 Ansichten
  • WATUMIAJI WA DATA WA UKWELI!

    SME BANDO YA AIRTEL imerudi kwa kishindo!

    Unatumia 5K–7K kila wiki kwa bando?
    ACHANA NAYO!

    Kwa 15,000 tu unapata:
    GB 15 za mwezi mzima
    + Dakika 500 (kama ni combo)

    Hakuna longolongo, hakuna makato.
    Data safi, muda mwingi, bei ndogo!

    Wahi kabla salio halijaisha tu sasa hivi…
    DM NIKUSAIDIE KUFUNGUA

    Piga+255786711057

    #SMEBando #DataYaUkweli #AirtelSME #BandoKali #HustleSmart
    📣 WATUMIAJI WA DATA WA UKWELI! 🚨 SME BANDO YA AIRTEL imerudi kwa kishindo! 🚨 Unatumia 5K–7K kila wiki kwa bando? 🚫 ACHANA NAYO! ✅ Kwa 15,000 tu unapata: 📶 GB 15 za mwezi mzima 📞 + Dakika 500 (kama ni combo) Hakuna longolongo, hakuna makato. 💯 Data safi, muda mwingi, bei ndogo! ⏳ Wahi kabla salio halijaisha tu sasa hivi… 📲 DM NIKUSAIDIE KUFUNGUA 💬 Piga+255786711057 #SMEBando #DataYaUkweli #AirtelSME #BandoKali #HustleSmart
    Like
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·20 Ansichten
  • WATUMIAJI WA DATA WA UKWELI!

    SME BANDO YA AIRTEL imerudi kwa kishindo!

    Unatumia 5K–7K kila wiki kwa bando?
    ACHANA NAYO!

    Kwa 15,000 tu unapata:
    GB 15 za mwezi mzima
    + Dakika 500 (kama ni combo)

    Hakuna longolongo, hakuna makato.
    Data safi, muda mwingi, bei ndogo!

    Wahi kabla salio halijaisha tu sasa hivi…
    DM NIKUSAIDIE KUFUNGUA

    Piga+255786711057

    #SMEBando #DataYaUkweli #AirtelSME #BandoKali #HustleSmart
    📣 WATUMIAJI WA DATA WA UKWELI! 🚨 SME BANDO YA AIRTEL imerudi kwa kishindo! 🚨 Unatumia 5K–7K kila wiki kwa bando? 🚫 ACHANA NAYO! ✅ Kwa 15,000 tu unapata: 📶 GB 15 za mwezi mzima 📞 + Dakika 500 (kama ni combo) Hakuna longolongo, hakuna makato. 💯 Data safi, muda mwingi, bei ndogo! ⏳ Wahi kabla salio halijaisha tu sasa hivi… 📲 DM NIKUSAIDIE KUFUNGUA 💬 Piga+255786711057 #SMEBando #DataYaUkweli #AirtelSME #BandoKali #HustleSmart
    0 Kommentare ·0 Anteile ·17 Ansichten
  • 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎! Brahim Diaz, atasaini mkataba wa mda mrefu ndani ya Real Madrid kama ilivyo pangwa na makubaliano ya pande zote umefikiwa

    #sportselite
    🚨🚨 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎! Brahim Diaz, atasaini mkataba wa mda mrefu ndani ya Real Madrid kama ilivyo pangwa na makubaliano ya pande zote umefikiwa 🤍🇲🇦 #sportselite
    Yay
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·6 Ansichten
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Huwenda mchezaji Kylian Mbappé asicheze kwenye mechi ya kesho kutokana na kupatwa na homa hata ivo mchezaji hakufanya mazoezi na timu...

    #sportselite
    🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Huwenda mchezaji Kylian Mbappé asicheze kwenye mechi ya kesho kutokana na kupatwa na homa hata ivo mchezaji hakufanya mazoezi na timu... #sportselite
    Love
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·6 Ansichten