• Atlantis the Palm


    There are multiple tourist attractions in Dubai where everyone can rejuvenate their soul. If you are also planning to visit this city to revitalise yourself then you must try to visit Atlantis the Plam. It is a marvellous place where you can enjoy a unique blend of entertainment, relaxation, taste delicious food, and more. To explore this place you can connect with Dubai City Sightseeing. We are the best tour operator in Dubai and always try to deliver the best services to our customers. So, to enjoy the hassle free trip to Dubai and cover multiple locations you can call us now to book your packages.


    Visit:- https://dubaicitysightseeing.com/category/tour/atlantis-the-palm/


    #atlantisthepalmdubai #atlantisthepalmtickets
    Atlantis the Palm There are multiple tourist attractions in Dubai where everyone can rejuvenate their soul. If you are also planning to visit this city to revitalise yourself then you must try to visit Atlantis the Plam. It is a marvellous place where you can enjoy a unique blend of entertainment, relaxation, taste delicious food, and more. To explore this place you can connect with Dubai City Sightseeing. We are the best tour operator in Dubai and always try to deliver the best services to our customers. So, to enjoy the hassle free trip to Dubai and cover multiple locations you can call us now to book your packages. Visit:- https://dubaicitysightseeing.com/category/tour/atlantis-the-palm/ #atlantisthepalmdubai #atlantisthepalmtickets
    0 Commentarios ·0 Acciones ·13 Views
  • 𝐄𝐗𝐂𝐋𝐔𝐒𝐈𝐕𝐄: Barça imeendelea kumuwinda winga kinda machachali Msweedeni Roony Bardghji kutoka FC Copenhagen!

    Makubaliano yako katika hatua za mwisho....

    #sportselite
    🚨 𝐄𝐗𝐂𝐋𝐔𝐒𝐈𝐕𝐄: Barça imeendelea kumuwinda winga kinda machachali Msweedeni Roony Bardghji kutoka FC Copenhagen! 💙❤️🇸🇪 Makubaliano yako katika hatua za mwisho.... #sportselite
    0 Commentarios ·0 Acciones ·4 Views
  • Two healthy kidneys are silent millionaires inside you.
    They clean your blood, balance your body, and expect nothing in return.
    Don’t wait to lose them to realize their value.
    Eat right, drink water, and protect your inner treasure.
    Good kidneys = quiet wealth.
    Diet is therapy
    😁Two healthy kidneys are silent millionaires inside you. They clean your blood, balance your body, and expect nothing in return. 😃Don’t wait to lose them to realize their value. 😆Eat right, drink water, and protect your inner treasure. Good kidneys = quiet wealth. Diet is therapy
    Like
    1
    · 0 Commentarios ·0 Acciones ·27 Views
  • 0 Commentarios ·0 Acciones ·7 Views
  • 0 Commentarios ·0 Acciones ·1 Views
  • 0 Commentarios ·0 Acciones ·7 Views
  • 0 Commentarios ·0 Acciones ·4 Views
  • 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Hiki ndio kikosi cha wiki Club World Cup.
    🚨 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Hiki ndio kikosi cha wiki Club World Cup. 🌎🏆
    0 Commentarios ·0 Acciones ·2 Views
  • Somo :NGUVU YA NENO NA KULITENDEA KAZI .

    Iko siri kubwa sana kwa mtu anaye sikia neno na akalitenda .

    Yakobo 1:22-23
    [22]Lakini iweni watendaji wa neno, wala si wasikiaji tu, hali mkijidanganya nafsi zenu.

    [23]Kwa sababu mtu akiwa ni msikiaji wa neno tu, wala si mtendaji, mtu huyo ni kama mtu anayejiangalia uso wake katika kioo.

    Ili uwe mtu mwenye matokeo lazima uwe mtu wa kulitendea kazi neno la Bwana na siyo kusikiliza peke yake.

    Mungu anakutaka unaposikia neno na kuliamini basi lazima uanze kutenda sawa sawa na ufunuo ulio upata.

    Mtu wa Mungu ili ubadilishe maisha yako lazima kila siku unapo sikia au kusoma neno lazima upate ufunuo wako peke yako ambao unaenda kuuvhukulia hatua.

    Kwani ukisikia neno na kuanza kulitenda Mungu lazima akubaliki kwa kuwa yeye a alitazama neno lake ili akutimizie haja zako.

    Wokovu umekuwa kama kitu kigumu sababu kubwa tunasikia lakini hatutendi ,tunapata mawazo lakini yanaishia kuwa mawazo tunajikuta tunabaki kuwa masikini.

    Mtu anayesikia neno na asilitende anafananishwa na mtu anaye jitazama kwenye kioo kisha anajicheka.

    Mathayo 7:26-27
    [26]Na kila asikiaye hayo maneno yangu asiyafanye, atafananishwa na mtu mpumbavu, aliyejenga nyumba yake juu ya mchanga;

    [27]mvua ikanyesha, mafuriko yakaja, pepo zikavuma, zikaipiga nyumba ile, ikaanguka; nalo anguko lake likawa kubwa.

    Kumbe ukisikia na usilitende biblia inakufananisha na mpumbavu aliye jenga nyumba kwenye mchanga.

    Unapo hubiriwa na neno likagusa moyo wako mfano kuacha umalaya unakuta unasikia na moyo wako unakwambia kabisa acha lakini unapuuzia neno unafananishwa na mpumbavu kwani wewe umepata neema yakusikia.

    Umepata neno la ufunuo kwenye uchumi na inawezekana kabisa kuanza biashara usisubiri sana wewe anza arafu utaona matokeo yanavyo kuja.

    Wapo watu walipata ufunuo juu ya biashara wakaogopa kuanza wenzao walianza leo hii wenzao wako mbali wanabaki kuona wenzao wana bahati sana kumbe hapana ni nguvu yu kuchukua hatua.

    Siyo kazi ngumu kwa shetani kuona umeota unaongoza watu arafu akakufuata ili akujaribu hata kwa kukutenda kwa akiri .

    Kuna mtu kila akijitazama anajiona ameketi na wakuu na ni kweli hata neno la Mungu linasema bwana anaandaa meza katikati ya watesi wako lakini kama utachukua hatua itabakia kuwa ndoto .

    Matendo ni muhimu sana baada ya kuliamini neno anza kuliiishi .

    Wale watenda kile neno imesema ndio wenye haki ya kupokea siyo wale walio sikia peke yake .

    Warumi 2:13
    [13]Kwa sababu sio wale waisikiao sheria walio wenye haki mbele za Mungu, bali ni wale waitendao sheria watakaohesabiwa haki.

    Mungu akusaidie sana uwe mtu wa kulitendea kazi neno lake ndipo utaona ja kusimulia matokeo ya wokovu wa Bwana.

    Ahsante sana mtu wa Mungu , kipekee sana nikutakie juma pili njema yenye mafunuo na utendaji wa neno .

    Karibu katika watsap group letu
    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4

    Naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden).

    #build new eden
    #restore men position
    Somo :NGUVU YA NENO NA KULITENDEA KAZI . Iko siri kubwa sana kwa mtu anaye sikia neno na akalitenda . Yakobo 1:22-23 [22]Lakini iweni watendaji wa neno, wala si wasikiaji tu, hali mkijidanganya nafsi zenu. [23]Kwa sababu mtu akiwa ni msikiaji wa neno tu, wala si mtendaji, mtu huyo ni kama mtu anayejiangalia uso wake katika kioo. Ili uwe mtu mwenye matokeo lazima uwe mtu wa kulitendea kazi neno la Bwana na siyo kusikiliza peke yake. Mungu anakutaka unaposikia neno na kuliamini basi lazima uanze kutenda sawa sawa na ufunuo ulio upata. Mtu wa Mungu ili ubadilishe maisha yako lazima kila siku unapo sikia au kusoma neno lazima upate ufunuo wako peke yako ambao unaenda kuuvhukulia hatua. Kwani ukisikia neno na kuanza kulitenda Mungu lazima akubaliki kwa kuwa yeye a alitazama neno lake ili akutimizie haja zako. Wokovu umekuwa kama kitu kigumu sababu kubwa tunasikia lakini hatutendi ,tunapata mawazo lakini yanaishia kuwa mawazo tunajikuta tunabaki kuwa masikini. Mtu anayesikia neno na asilitende anafananishwa na mtu anaye jitazama kwenye kioo kisha anajicheka. Mathayo 7:26-27 [26]Na kila asikiaye hayo maneno yangu asiyafanye, atafananishwa na mtu mpumbavu, aliyejenga nyumba yake juu ya mchanga; [27]mvua ikanyesha, mafuriko yakaja, pepo zikavuma, zikaipiga nyumba ile, ikaanguka; nalo anguko lake likawa kubwa. Kumbe ukisikia na usilitende biblia inakufananisha na mpumbavu aliye jenga nyumba kwenye mchanga. Unapo hubiriwa na neno likagusa moyo wako mfano kuacha umalaya unakuta unasikia na moyo wako unakwambia kabisa acha lakini unapuuzia neno unafananishwa na mpumbavu kwani wewe umepata neema yakusikia. Umepata neno la ufunuo kwenye uchumi na inawezekana kabisa kuanza biashara usisubiri sana wewe anza arafu utaona matokeo yanavyo kuja. Wapo watu walipata ufunuo juu ya biashara wakaogopa kuanza wenzao walianza leo hii wenzao wako mbali wanabaki kuona wenzao wana bahati sana kumbe hapana ni nguvu yu kuchukua hatua. Siyo kazi ngumu kwa shetani kuona umeota unaongoza watu arafu akakufuata ili akujaribu hata kwa kukutenda kwa akiri . Kuna mtu kila akijitazama anajiona ameketi na wakuu na ni kweli hata neno la Mungu linasema bwana anaandaa meza katikati ya watesi wako lakini kama utachukua hatua itabakia kuwa ndoto . Matendo ni muhimu sana baada ya kuliamini neno anza kuliiishi . Wale watenda kile neno imesema ndio wenye haki ya kupokea siyo wale walio sikia peke yake . Warumi 2:13 [13]Kwa sababu sio wale waisikiao sheria walio wenye haki mbele za Mungu, bali ni wale waitendao sheria watakaohesabiwa haki. Mungu akusaidie sana uwe mtu wa kulitendea kazi neno lake ndipo utaona ja kusimulia matokeo ya wokovu wa Bwana. Ahsante sana mtu wa Mungu , kipekee sana nikutakie juma pili njema yenye mafunuo na utendaji wa neno . Karibu katika watsap group letu https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 Naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden). #build new eden #restore men position
    0 Commentarios ·0 Acciones ·13 Views
  • 𝐄𝐗𝐂𝐋𝐔𝐒𝐈𝐕𝐄: Milos Kerkez akiwa njiani kuelekea Merseyside kutia saini Liverpool

    Kwa ada ya uhamisho £40m done… deal , confirmed

    #sportselite
    🚨 𝐄𝐗𝐂𝐋𝐔𝐒𝐈𝐕𝐄: Milos Kerkez akiwa njiani kuelekea Merseyside kutia saini Liverpool Kwa ada ya uhamisho £40m done… deal , confirmed ☑️🇭🇺 #sportselite
    0 Commentarios ·0 Acciones ·6 Views