• Hatari ya Joto Kali Kombe la Dunia 2026!

    ⛔️ FIFPRO (umoja wa wachezaji duniani) wametoa wito wa mabadiliko ya haraka kuelekea Kombe la Dunia 2026 kutokana na joto kali linalotarajiwa kipindi cha mashindano hayo.

    Mapendekezo yao ni pamoja na:
    • Kupumzika kila baada ya dakika 15
    • Mapumziko ya dakika 20 kipindi cha mapumziko
    • Mechi kuchezwa katika muda wa hali ya hewa ya wastani
    • Ukaguzi wa afya kwa kina kwa wachezaji kabla ya mashindano
    • Mpango wa dharura endapo kutakuwa na onyo la hali ya hewa

    Follow us Elly Sport
    🌡️⚠️ Hatari ya Joto Kali Kombe la Dunia 2026! ⛔️ FIFPRO (umoja wa wachezaji duniani) wametoa wito wa mabadiliko ya haraka kuelekea Kombe la Dunia 2026 kutokana na joto kali linalotarajiwa kipindi cha mashindano hayo. ✅ Mapendekezo yao ni pamoja na: • Kupumzika kila baada ya dakika 15 🧊 • Mapumziko ya dakika 20 kipindi cha mapumziko ⏱️ • Mechi kuchezwa katika muda wa hali ya hewa ya wastani 🌥️ • Ukaguzi wa afya kwa kina kwa wachezaji kabla ya mashindano 🏥 • Mpango wa dharura endapo kutakuwa na onyo la hali ya hewa 🚨 Follow us Elly Sport
    0 Comments ·0 Shares ·8 Views
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Barcelona imeacha na golikipa wake Wojciech Szczesny kuanzia sasa atakuwa mchezaji huru..

    #SportsElite
    🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Barcelona imeacha na golikipa wake Wojciech Szczesny kuanzia sasa atakuwa mchezaji huru..🔴🔵 🔴🔵 #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·16 Views
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Sunderland iko karibu kuinasa saini ya Djordje Petrovic (25) kutoka Chelsea kwa uhamisho €25m
    reports @sachatavolieri. ⚪️

    #SportsElite
    🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: 🇷🇸 Sunderland iko karibu kuinasa saini ya Djordje Petrovic (25) kutoka Chelsea kwa uhamisho €25m reports @sachatavolieri. 🔴⚪️ #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·6 Views
  • Atlanta imethibitisha kukamilisha usajiri wa Kamaldeen Sulemana kutoka Southampton.
    🚨🇬🇭 Atlanta imethibitisha kukamilisha usajiri wa Kamaldeen Sulemana kutoka Southampton.
    0 Comments ·0 Shares ·35 Views
  • Barcelona imerudi kwenye mfumo wa 1:1

    Javier Tebas amethibitisha kwa raisi wa clabu Joan Laporta imeweza kurudi kwenye mfumo huo

    Barcelona itaweza kufanya usajiri wowote bila kizuizi cha fair play .

    (Source: Diario Sport)

    #SportsElite
    🚨 Barcelona imerudi kwenye mfumo wa 1:1 🔙 Javier Tebas amethibitisha kwa raisi wa clabu Joan Laporta imeweza kurudi kwenye mfumo huo Barcelona itaweza kufanya usajiri wowote bila kizuizi cha fair play . 💰 (Source: Diario Sport) #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·24 Views
  • Manchester United iko kwenye hatua za mwisho na Aston Villa ili kumsajiri Ollie Watkins.

    Manchester hawatakuwa tayari kuwalipa Villa kiasi cha £60m kama wanavyo hitaji kutokana na umri wa mchezaji mwenyewe pamoja na thamani kwenye soko la usajili

    (Source: Mirror Football)

    #SportsElite
    🚨 Manchester United iko kwenye hatua za mwisho na Aston Villa ili kumsajiri Ollie Watkins. Manchester hawatakuwa tayari kuwalipa Villa kiasi cha £60m kama wanavyo hitaji kutokana na umri wa mchezaji mwenyewe pamoja na thamani kwenye soko la usajili (Source: Mirror Football) #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·14 Views
  • Jadon Sancho amekubali kupunguza mshahara wake pamoja na marupurupu ili kujiunga na Juventus.

    (Source: @Eurosport_IT)

    #SportsElite
    🚨 Jadon Sancho amekubali kupunguza mshahara wake pamoja na marupurupu ili kujiunga na Juventus. (Source: @Eurosport_IT) #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·6 Views
  • Luis Suárez amethibitisha huenda aka staff soka baada ya kutimiza miaka 38.

    Anatarajia kutundika daluga baada ya mkataba wake kutamatika mwezi Decemba

    (Source: Diario AS)
    🚨 Luis Suárez amethibitisha huenda aka staff soka baada ya kutimiza miaka 38. 🇺🇾🔚😳 Anatarajia kutundika daluga baada ya mkataba wake kutamatika mwezi Decemba 🇺🇸 (Source: Diario AS)
    0 Comments ·0 Shares ·18 Views
  • West Ham imeingia kwenye harakati za kumsajili beki (kushoto) wa Slavia Prague Hadji Malick Diouf.

    Slavia Prague imegomea uhamisho huo....

    (Source: Guardian)
    🚨 West Ham imeingia kwenye harakati za kumsajili beki (kushoto) wa Slavia Prague Hadji Malick Diouf. Slavia Prague imegomea uhamisho huo.... (Source: Guardian)
    0 Comments ·0 Shares ·16 Views
  • 0 Comments ·0 Shares ·4 Views