• What Is Ivermectin And What Is It Used For?
    What Is Ivermectin And What Is It Used For?
    0 Commentarios 0 Acciones 3 Views
  • What is Erectile Dysfunction (ED)?: Explained in Detailed

    What is Erectile Dysfunction (ED)?: Explained in Detailed
    0 Commentarios 0 Acciones 4 Views
  • What Happens When You Don’t Ejaculate for a Long Time?

    What Happens When You Don’t Ejaculate for a Long Time?
    0 Commentarios 0 Acciones 4 Views
  • When ejaculation is difficult

    When ejaculation is difficult
    0 Commentarios 0 Acciones 3 Views
  • Side Effects of Not Ejaculating

    Side Effects of Not Ejaculating
    0 Commentarios 0 Acciones 3 Views
  • Kaoru Mitoma ameuambia uongozi wa Brighton kuwa anatamani kuendelea kusalia klabuni hapo na yuko tayari kuongeza mkataba ijapo kuwa klabu ya Bayern Munich inamuwinda mchezaji huyo..

    (Source: Sky Sports)

    #SportsElite
    馃毃 Kaoru Mitoma ameuambia uongozi wa Brighton kuwa anatamani kuendelea kusalia klabuni hapo na yuko tayari kuongeza mkataba ijapo kuwa klabu ya Bayern Munich inamuwinda mchezaji huyo.. (Source: Sky Sports) #SportsElite
    0 Commentarios 0 Acciones 3 Views
  • BREAKING Mshambuliaji wa Liverpool FC Diogo Jota na Kaka Yake wamefariki Dunia leo kwa Ajali.
    .
    Q Taarifa ya Jeshi la Polisi kutoka huko Uhispania:

    “Diogo Jota na Andre Silva walikuwa kwenye Gari aina ya Lamborghini ambalo liliacha njia kutokana na tairi kupasuka na kulipiga gari jingine na kisha kuwaka moto. Ajali hiyo ilitokea Zamora, Uhispania,

    Source BBC Sports
    .
    DIOGO JOTA MAISHA YAKE AKIWA NA LIVERPOOL

    馃彑 Michezo - 182
    鈿斤笍 Mabao - 65
    Asisst - 22

    Chanzo cha Ajali ni Gari liliacha Njia na Kuwaka moto kwenye Gari Alikuwepo Diogo Jota mwenye miaka 28 na mdogo wake Andre Silva (25) wote wamefariki.

    Siku mbaya kwa wanamichezo Imenitoa machozi hii

    R.I.P Liverpool Legend Mungu Akupe Kauli Thabiti
    .
    馃棧 Ujumbe wa Cristiano Ronaldo kwa Kifo cha Jota
    .
    馃晩馃帣 " Haina maana. Juzi tulikuwa pamoja kwenye timu ya taifa na tumeshinda ubingwa pamoja mbaya zaidi Juzi tu Umefunga ndoa umemuacha mke wako na watoto inauma... Binafsi natuma salamu zangu 藕a rambirambi kwa Familia yako na kuwatakia Kila lenye Kheri najua Daima utakuwa nao Pumzika salama"
    .
    Weka Alama hii Kama kumuombea Diogo Jota.

    Mungu Atupe mwisho Mwema 馃晩.
    .
    #RIPJOTA || #SportsElite #football
    馃嚨馃嚬 馃槩 BREAKING Mshambuliaji wa Liverpool FC Diogo Jota na Kaka Yake wamefariki Dunia leo kwa Ajali.馃槩 . Q馃毃 Taarifa ya Jeshi la Polisi kutoka huko Uhispania: “Diogo Jota na Andre Silva walikuwa kwenye Gari aina ya Lamborghini ambalo liliacha njia kutokana na tairi kupasuka na kulipiga gari jingine na kisha kuwaka moto. Ajali hiyo ilitokea Zamora, Uhispania, Source BBC Sports . 馃毃 DIOGO JOTA MAISHA YAKE AKIWA NA LIVERPOOL 馃彑 Michezo - 182 鈿斤笍 Mabao - 65 馃幆 Asisst - 22 Chanzo cha Ajali ni Gari liliacha Njia na Kuwaka moto kwenye Gari Alikuwepo Diogo Jota mwenye miaka 28 na mdogo wake Andre Silva (25) wote wamefariki. 馃槩 Siku mbaya kwa wanamichezo Imenitoa machozi hii馃槶 R.I.P Liverpool Legend Mungu Akupe Kauli Thabiti 馃挃 . 馃棧 Ujumbe wa Cristiano Ronaldo kwa Kifo cha Jota . 馃晩馃帣 " Haina maana. Juzi tulikuwa pamoja kwenye timu ya taifa na tumeshinda ubingwa pamoja mbaya zaidi Juzi tu Umefunga ndoa umemuacha mke wako na watoto inauma... Binafsi natuma salamu zangu 藕a rambirambi kwa Familia yako na kuwatakia Kila lenye Kheri najua Daima utakuwa nao Pumzika salama"馃槩 . Weka Alama hii 馃檹 Kama kumuombea Diogo Jota. 馃挃 Mungu Atupe mwisho Mwema 馃挃馃檹馃晩. . #RIPJOTA || #SportsElite #football
    0 Commentarios 0 Acciones 12 Views
  • #SPORTS_KWANZA

    - Kupitia katika ‘Insta Story’ yake, mshambuliaji hatari wa klabu ya FC Barcelona, Lamine Yamal “MISHANGAZI BOY” na yeye pia hakuwa nyuma kabisa katika kuomboleza msiba wa Diogo Jota.
    .
    .
    …Hakika msiba huu umewagusa wengi sana!

    -

    #RestInPeace, Diogo Jota.” 馃晩
    #SPORTS_KWANZA 馃嚬馃嚳 - Kupitia katika ‘Insta Story’ yake, mshambuliaji hatari wa klabu ya FC Barcelona, Lamine Yamal “MISHANGAZI BOY” na yeye pia hakuwa nyuma kabisa katika kuomboleza msiba wa Diogo Jota. . . …Hakika msiba huu umewagusa wengi sana! - #RestInPeace, Diogo Jota.” 馃晩
    0 Commentarios 0 Acciones 3 Views
  • #SportsElite Familia ya Diego Jota
    #SportsElite Familia ya Diego Jota
    0 Commentarios 0 Acciones 9 Views
  • Thierno Barry (22) yuko mbioni kujiunga Everton, @MatteMoretto!

    #SportsElite
    馃毃馃嚝馃嚪 Thierno Barry (22) yuko mbioni kujiunga Everton, @MatteMoretto! 馃數馃敎 #SportsElite
    0 Commentarios 0 Acciones 3 Views