• 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Birmingham City FC imemalizana na Demarai Gray (29) kutoka Al-Ettifaq. ⚪️

    #SportsElite
    🇯🇲 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Birmingham City FC imemalizana na Demarai Gray (29) kutoka Al-Ettifaq. 🔵⚪️✨ #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·19 Ansichten
  • Manchester United inaamini usajili wa Bryan Mbeumo utakamilika siku chache

    Lakini Brentford inahitaji kiasi cha £65M.

    (Source: Daily Mail Sport)

    #SportsElite
    🚨 Manchester United inaamini usajili wa Bryan Mbeumo utakamilika siku chache Lakini Brentford inahitaji kiasi cha £65M. (Source: Daily Mail Sport) #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·13 Ansichten
  • Ni rasmi Thomas Muller anastaafu soka miaka 35

    7⃣5⃣6⃣ Michezo.
    2⃣5⃣0⃣ Magoli.
    2⃣7⃣6⃣ Pasi za usaidizi.
    3⃣3⃣ Makombe.
    Ni rasmi Thomas Muller anastaafu soka miaka 35❤️🤍🐐 👕7⃣5⃣6⃣ Michezo. ⚽2⃣5⃣0⃣ Magoli. 🅰️2⃣7⃣6⃣ Pasi za usaidizi. 🏆🇩🇪3⃣3⃣ Makombe.
    0 Kommentare ·0 Anteile ·12 Ansichten
  • Real Madrid na AC Milan zimeingia kwenye vita ya kuiwania saini ya Destiny Udogie, na Tottenham wanahitaji kiasi cha €60M.

    (Source: @TheBoyHotspur)

    #SportsElite
    🚨 Real Madrid na AC Milan zimeingia kwenye vita ya kuiwania saini ya Destiny Udogie, na Tottenham wanahitaji kiasi cha €60M. (Source: @TheBoyHotspur) #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·1 Ansichten
  • Xabi Alonso anaamini Real Madrid isipo ziba pengo LA Luka Modrić au Toni Kroos huwenda wakapitia nyakati ngumu kwenye ushindani na mbadala huo amependekeza jina la kiungo wa PSG Vitinha...

    (Source: Defensa Central)

    #SportsElite
    🚨 Xabi Alonso anaamini Real Madrid isipo ziba pengo LA Luka Modrić au Toni Kroos huwenda wakapitia nyakati ngumu kwenye ushindani na mbadala huo amependekeza jina la kiungo wa PSG Vitinha... (Source: Defensa Central) #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·1 Ansichten