CHUKUA HII.
Simba Sports Club wamefunga angalau bao moja katika kila mechi kati ya mechi zao 53 zilizopita za ligi kuu Tanzania bara .
Mara ya mwisho kwa Simba SC kushindwa kukwamisha mpira wavuni katika mchezo wa ligi, ilikuwa ni mwezi October mwaka 2022 katika mechi waliyopoteza 1-0 dhidi ya Azam .
Hajaruhusu mpinzani yoyote kupata clean sheets dhidi yao kwenye ligi tangu kipindi hicho..
🚨 CHUKUA HII.
Simba Sports Club wamefunga angalau bao moja katika kila mechi kati ya mechi zao 53 zilizopita za ligi kuu Tanzania bara .
Mara ya mwisho kwa Simba SC kushindwa kukwamisha mpira wavuni katika mchezo wa ligi, ilikuwa ni mwezi October mwaka 2022 katika mechi waliyopoteza 1-0 dhidi ya Azam .
ℹ️ Hajaruhusu mpinzani yoyote kupata clean sheets dhidi yao kwenye ligi tangu kipindi hicho..