• OFFICIAL : Garnacho, Sancho, Antony pamoja na Tyrell Malacia wote wameondolewa kwenye kikosi cha Man United kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya.

    Harry Maguire hayupo na timu lakini kwa sababu za kibinafsi tu, ila atarejea hivi karibuni kambini

    Jadon Sancho, Alejandro Garnacho, Antony pamoja na Tyler Malacia wote wako Sokoni wanauzwa.

    #SportsElite
    👋🚨OFFICIAL : Garnacho, Sancho, Antony pamoja na Tyrell Malacia wote wameondolewa kwenye kikosi cha Man United kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya.🔴 Harry Maguire hayupo na timu lakini kwa sababu za kibinafsi tu, ila atarejea hivi karibuni kambini Jadon Sancho, Alejandro Garnacho, Antony pamoja na Tyler Malacia wote wako Sokoni wanauzwa. #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·469 Ansichten
  • "another problem with having a good heart is that people think you are stupid"
    "another problem with having a good heart is that people think you are stupid"
    Like
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·120 Ansichten
  • Mchezaji Jadon Sancho hatakuwa tena sehemu ya timu ya Manchester united katika kipindi hiki cha kiangazii kutokana na kuachwa na timu hiyo

    #SportsElite
    Mchezaji Jadon Sancho hatakuwa tena sehemu ya timu ya Manchester united katika kipindi hiki cha kiangazii kutokana na kuachwa na timu hiyo #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·97 Ansichten
  • "if you want to shine like a sun, first burn like a sun"
    "if you want to shine like a sun, first burn like a sun"
    Like
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·189 Ansichten
  • "everything comes to you at the light time. Be patient and trust the process"
    "everything comes to you at the light time. Be patient and trust the process"
    Like
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·238 Ansichten
  • "be good people in a really life, not a social media"
    "be good people in a really life, not a social media"
    Like
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·428 Ansichten
  • "forgiving people in silence and never speaking to them again is a form self care"
    "forgiving people in silence and never speaking to them again is a form self care"
    Like
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·222 Ansichten
  • BREAKING: Yanga wamekamilisha usajili wa kiungo namba 10 wa Stade Malien,Raia wa Mali Lassine Kouma (21)

    Simba walikuwa wa kwanza kuzungumza na Lassine Kouma,Kisha kinda huyo akampigia Simu Diarra ili kujua mazingira ya Tanzania,baada ya Diarra kujua kinda huyo hatari anaelekea Simba akamwambia Eng Heris aingilie haraka na mchakato wa kumsaini kuja Yanga ukaanza rasmi na Leo jioni kila kitu kimekamilika….Lassine Kouma Is now green & Yellow


    #SportsElite
    BREAKING: Yanga wamekamilisha usajili wa kiungo namba 10 wa Stade Malien,Raia wa Mali 🇲🇱 Lassine Kouma (21)✅ Simba walikuwa wa kwanza kuzungumza na Lassine Kouma,Kisha kinda huyo akampigia Simu Diarra ili kujua mazingira ya Tanzania,baada ya Diarra kujua kinda huyo hatari anaelekea Simba akamwambia Eng Heris aingilie haraka na mchakato wa kumsaini kuja Yanga ukaanza rasmi na Leo jioni kila kitu kimekamilika….Lassine Kouma Is now green & Yellow #SportsElite
    0 Kommentare ·0 Anteile ·687 Ansichten
  • "some connections are priceless"
    "some connections are priceless"
    Like
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·214 Ansichten
  • "we are all bad in someone's story"
    "we are all bad in someone's story"
    Like
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·223 Ansichten