0 Comments
ยท0 Shares
ยท396 Views
-
-
RASMI
Nathan Ngoy ajiunga rasmi na LOSC Lille kutoka Standard Liège kwa dau la €4.5M.
Beki huyo mwenye umri wa miaka 22 amesaini mkataba wa miaka minne na klabu hiyo ya Ufaransa.
#SportsElite๐ข RASMIโ Nathan Ngoy ajiunga rasmi na LOSC Lille kutoka Standard Liège kwa dau la €4.5M. ๐ดโช Beki huyo mwenye umri wa miaka 22 amesaini mkataba wa miaka minne na klabu hiyo ya Ufaransa. โ๏ธ๐ช #SportsElite0 Comments ยท0 Shares ยท201 Views -
Cyril Ngonge amejiunga na klabu ya Torino kwa mkopo kutoka Napoli hadi mwisho wa msimu.
Mkataba unahusisha ada ya mkopo ya €1M na kipengele cha kumnunua cha €17M mwishoni mwa msimu.
#SportsElite๐ Cyril Ngonge amejiunga na klabu ya Torino kwa mkopo kutoka Napoli hadi mwisho wa msimu. ๐ค๐ดโซ Mkataba unahusisha ada ya mkopo ya €1M na kipengele cha kumnunua cha €17M mwishoni mwa msimu. โ๏ธ #SportsElite0 Comments ยท0 Shares ยท138 Views -
๐๐ฅ๐๐๐๐๐ก๐: Juventus imeitupilia mbali ofa ya €65m kwa Chelsea kumuhitaji Kenan Yฤฑldฤฑz.
(Source: Gazzetta dello Sport)
#SportsElite๐จ ๐๐ฅ๐๐๐๐๐ก๐: Juventus imeitupilia mbali ofa ya €65m kwa Chelsea kumuhitaji Kenan Yฤฑldฤฑz. (Source: Gazzetta dello Sport) #SportsElite0 Comments ยท0 Shares ยท337 Views -
๐๐๐๐๐๐๐๐: Newcastle bado iko kwenye majadiliano na Brentford FC ili kuipata huduma ya Yoane Wissa.
#SportsElite๐จ๐ฃ ๐๐๐๐๐๐๐๐: Newcastle bado iko kwenye majadiliano na Brentford FC ili kuipata huduma ya Yoane Wissa. โชโซ #SportsElite0 Comments ยท0 Shares ยท96 Views -
JUST IN: Simba wamemsajili beki wa kati wa Mamelodi,Rushine De Reuck (29) kwa mkataba wa mwaka mmoja.
Beki huyo mwenye umri wa miaka 29 alitumia kipindi cha pili cha msimu uliopita kwa mkopo katika klabu ya Maccabi Petah Tikva ya Israel ambapo alishiriki katika michezo minne,na sasa ataanza safari mpya baada ya miaka minne na Sundowns.
Alijiunga na Masandawana kama Beki Bora wa Msimu wa Ligi Kuu ya Soka, wakati akiwa na Maritzburg United,mwaka 2021, ambako alikuwa akifanya kazi chini ya Kocha Mkuu wa sasa wa Simba, Fadlu Davids.
#SportsElite๐จ๐จ JUST IN: Simba wamemsajili beki wa kati wa Mamelodi,Rushine De Reuck (29) kwa mkataba wa mwaka mmoja. Beki huyo mwenye umri wa miaka 29 alitumia kipindi cha pili cha msimu uliopita kwa mkopo katika klabu ya Maccabi Petah Tikva ya Israel ๐ฎ๐ฑambapo alishiriki katika michezo minne,na sasa ataanza safari mpya baada ya miaka minne na Sundowns. Alijiunga na Masandawana kama Beki Bora wa Msimu wa Ligi Kuu ya Soka, wakati akiwa na Maritzburg United,mwaka 2021, ambako alikuwa akifanya kazi chini ya Kocha Mkuu wa sasa wa Simba, Fadlu Davids. #SportsElite0 Comments ยท0 Shares ยท501 Views -
๐๐ฅ๐๐๐๐๐ก๐: James Trafford kwenda Man City limekamilika ๐๐๐ฅ๐ ๐ช๐ ๐๐ข done.
Burnley itakula £40M kama mauzo ya golikipa huyo..
(Source: Fabrizio Romano)
#SportsElite๐จ ๐๐ฅ๐๐๐๐๐ก๐: James Trafford kwenda Man City limekamilika ๐๐๐ฅ๐ ๐ช๐ ๐๐ข done. โ Burnley itakula £40M kama mauzo ya golikipa huyo.. (Source: Fabrizio Romano) #SportsElite0 Comments ยท0 Shares ยท121 Views -
RASMI
Cashin amejiunga na klabu ya Birmingham City kwa mkopo wa msimu mzima akitokea Brighton & Hove Albion.
#SportsEliteRASMIโ Cashin amejiunga na klabu ya Birmingham City kwa mkopo wa msimu mzima akitokea Brighton & Hove Albion. ๐ค๐ตโช #SportsElite0 Comments ยท0 Shares ยท120 Views -
"Kila mtu anakiwango chake cha njaa""Kila mtu anakiwango chake cha njaa"0 Comments ยท0 Shares ยท220 Views