0 Commentarios
·0 Acciones
·14 Views
-
RASMI
Nathan Ngoy ajiunga rasmi na LOSC Lille kutoka Standard Liège kwa dau la €4.5M.
Beki huyo mwenye umri wa miaka 22 amesaini mkataba wa miaka minne na klabu hiyo ya Ufaransa.
#SportsElite📢 RASMI✅ Nathan Ngoy ajiunga rasmi na LOSC Lille kutoka Standard Liège kwa dau la €4.5M. 🔴⚪ Beki huyo mwenye umri wa miaka 22 amesaini mkataba wa miaka minne na klabu hiyo ya Ufaransa. ✍️💪 #SportsElite0 Commentarios ·0 Acciones ·5 Views -
Cyril Ngonge amejiunga na klabu ya Torino kwa mkopo kutoka Napoli hadi mwisho wa msimu.
Mkataba unahusisha ada ya mkopo ya €1M na kipengele cha kumnunua cha €17M mwishoni mwa msimu.
#SportsElite🆕 Cyril Ngonge amejiunga na klabu ya Torino kwa mkopo kutoka Napoli hadi mwisho wa msimu. 🤝🔴⚫ Mkataba unahusisha ada ya mkopo ya €1M na kipengele cha kumnunua cha €17M mwishoni mwa msimu. ✍️ #SportsElite0 Commentarios ·0 Acciones ·5 Views -
𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Juventus imeitupilia mbali ofa ya €65m kwa Chelsea kumuhitaji Kenan Yıldız.
(Source: Gazzetta dello Sport)
#SportsElite🚨 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Juventus imeitupilia mbali ofa ya €65m kwa Chelsea kumuhitaji Kenan Yıldız. (Source: Gazzetta dello Sport) #SportsElite0 Commentarios ·0 Acciones ·14 Views -
𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Newcastle bado iko kwenye majadiliano na Brentford FC ili kuipata huduma ya Yoane Wissa.
#SportsElite🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Newcastle bado iko kwenye majadiliano na Brentford FC ili kuipata huduma ya Yoane Wissa. ⚪⚫ #SportsElite0 Commentarios ·0 Acciones ·4 Views -
JUST IN: Simba wamemsajili beki wa kati wa Mamelodi,Rushine De Reuck (29) kwa mkataba wa mwaka mmoja.
Beki huyo mwenye umri wa miaka 29 alitumia kipindi cha pili cha msimu uliopita kwa mkopo katika klabu ya Maccabi Petah Tikva ya Israel ambapo alishiriki katika michezo minne,na sasa ataanza safari mpya baada ya miaka minne na Sundowns.
Alijiunga na Masandawana kama Beki Bora wa Msimu wa Ligi Kuu ya Soka, wakati akiwa na Maritzburg United,mwaka 2021, ambako alikuwa akifanya kazi chini ya Kocha Mkuu wa sasa wa Simba, Fadlu Davids.
#SportsElite🚨🚨 JUST IN: Simba wamemsajili beki wa kati wa Mamelodi,Rushine De Reuck (29) kwa mkataba wa mwaka mmoja. Beki huyo mwenye umri wa miaka 29 alitumia kipindi cha pili cha msimu uliopita kwa mkopo katika klabu ya Maccabi Petah Tikva ya Israel 🇮🇱ambapo alishiriki katika michezo minne,na sasa ataanza safari mpya baada ya miaka minne na Sundowns. Alijiunga na Masandawana kama Beki Bora wa Msimu wa Ligi Kuu ya Soka, wakati akiwa na Maritzburg United,mwaka 2021, ambako alikuwa akifanya kazi chini ya Kocha Mkuu wa sasa wa Simba, Fadlu Davids. #SportsElite0 Commentarios ·0 Acciones ·7 Views -
𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: James Trafford kwenda Man City limekamilika 𝗛𝗘𝗥𝗘 𝗪𝗘 𝗚𝗢 done.
Burnley itakula £40M kama mauzo ya golikipa huyo..
(Source: Fabrizio Romano)
#SportsElite🚨 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: James Trafford kwenda Man City limekamilika 𝗛𝗘𝗥𝗘 𝗪𝗘 𝗚𝗢 done. ✅ Burnley itakula £40M kama mauzo ya golikipa huyo.. (Source: Fabrizio Romano) #SportsElite0 Commentarios ·0 Acciones ·4 Views -
RASMI
Cashin amejiunga na klabu ya Birmingham City kwa mkopo wa msimu mzima akitokea Brighton & Hove Albion.
#SportsEliteRASMI✅ Cashin amejiunga na klabu ya Birmingham City kwa mkopo wa msimu mzima akitokea Brighton & Hove Albion. 🤝🔵⚪ #SportsElite0 Commentarios ·0 Acciones ·5 Views -
"Kila mtu anakiwango chake cha njaa""Kila mtu anakiwango chake cha njaa"0 Commentarios ·0 Acciones ·1 Views
-
Fulham wamemjumuisha Raheem Sterling (30) kwenye orodha yao ya usajili majira haya ya kiangazi, huku winga huyo wa Chelsea akiripotiwa kuwa tayari kuhamia kwa majirani wao wa London. (mcgrathmike)
#SportsElite🚨🚨Fulham wamemjumuisha Raheem Sterling (30) kwenye orodha yao ya usajili majira haya ya kiangazi, huku winga huyo wa Chelsea akiripotiwa kuwa tayari kuhamia kwa majirani wao wa London. (mcgrathmike) #SportsElite0 Commentarios ·0 Acciones ·6 Views