• 饾悗饾悈饾悈饾悎饾悅饾悎饾悁饾悑: Álvaro Morata amejiunga Como kwa mkopo akitokea AC Milan!

    #SportsElite
    馃毃 饾悗饾悈饾悈饾悎饾悅饾悎饾悁饾悑: Álvaro Morata amejiunga Como kwa mkopo akitokea AC Milan! 馃挋馃嚜馃嚫 #SportsElite 馃挮
    0 Comments 0 Shares 11 Views
  • 饾悗饾悈饾悈饾悎饾悅饾悎饾悁饾悑: Jack Grealish amekamilisha uhamisho kama mchezaji mpya wa Everton kwa mkopo akitokea Man City!

    Mkataba huo wa kumnunua kabisa kwa ada ya £50m

    #SportsElite
    馃毃 饾悗饾悈饾悈饾悎饾悅饾悎饾悁饾悑: Jack Grealish amekamilisha uhamisho kama mchezaji mpya wa Everton kwa mkopo akitokea Man City! 馃挋馃儚 Mkataba huo wa kumnunua kabisa kwa ada ya £50m 馃彺鬆仹鬆仮鬆仴鬆伄鬆仹鬆伩 #SportsElite
    0 Comments 0 Shares 11 Views
  • Lamine Yamal na Vinicius Jr – Takwimu zao kwa Team za Taifa ..

    Unaondoka na Nani kati yao hapo??

    Lamine Yamal
    Vinicius Jr

    #SportsElite
    馃毃Lamine Yamal na Vinicius Jr – Takwimu zao kwa Team za Taifa ..馃敟 Unaondoka na Nani kati yao hapo?? 馃Lamine Yamal 鉁匳inicius Jr #SportsElite
    0 Comments 0 Shares 53 Views
  • 饾悂饾悜饾悇饾悁饾悐饾悎饾悕饾悊: AC Milan bado wanavutiwa na beki ya kati wa Leicester Caleb Okoli na wako tayari kufungua mazungumzo ndani ya wiki hii..

    Okoli tayari ameonesha nia ya kujiunga na AC Milan kwa miaka 5 na mshahara wa €1.8-2M/mwaka

    #SportsElite
    馃毃馃挘 饾悂饾悜饾悇饾悁饾悐饾悎饾悕饾悊: AC Milan bado wanavutiwa na beki ya kati wa Leicester Caleb Okoli na wako tayari kufungua mazungumzo ndani ya wiki hii.. Okoli tayari ameonesha nia ya kujiunga na AC Milan kwa miaka 5 na mshahara wa €1.8-2M/mwaka #SportsElite
    0 Comments 0 Shares 38 Views
  • Everton imetuma ofa ya €42.8M kwa AS Roma juu ya Artem Dovbyk.

    (Source: Football Insider )

    #SportsElite
    馃毃 Everton imetuma ofa ya €42.8M kwa AS Roma juu ya Artem Dovbyk. (Source: Football Insider ) #SportsElite
    0 Comments 0 Shares 18 Views
  • 饾棔饾棩饾棙饾棓饾棡饾棞饾棥饾棜: Leeds imefikia makubaliano ya kumsaini Dominic Calvert-Lewin.


    (Source: David Ornstein)

    #SportsElite
    馃毃 饾棔饾棩饾棙饾棓饾棡饾棞饾棥饾棜: Leeds imefikia makubaliano ya kumsaini Dominic Calvert-Lewin. (Source: David Ornstein) #SportsElite
    0 Comments 0 Shares 14 Views
  • Aston Villa FC inayo imani huwenda ikamsajili Marco Asensio baada ya kumpata kwa mkopo kutoka Paris Saint-Germain.. .

    (Source: Telegraph)

    馃毃 Aston Villa FC inayo imani huwenda ikamsajili Marco Asensio baada ya kumpata kwa mkopo kutoka Paris Saint-Germain.. . (Source: Telegraph)
    0 Comments 0 Shares 11 Views
  • Bayer 04 Leverkusen imeonesha nia ya kumuhitaji Facundo Buonanotte.

    Brighton wanahitaji £39M.

    (Source: Kicker)

    #SportsElite
    馃毃 Bayer 04 Leverkusen imeonesha nia ya kumuhitaji Facundo Buonanotte. Brighton wanahitaji £39M. (Source: Kicker) #SportsElite
    0 Comments 0 Shares 9 Views
  • Manchester Utd imetupia jicho kwa Dayot Upamecano, ambae amebakisha mkataba wa mwaka 1 Bayern...

    (Source: CFBayern)

    #SportsElite
    馃毃 Manchester Utd imetupia jicho kwa Dayot Upamecano, ambae amebakisha mkataba wa mwaka 1 Bayern... (Source: CFBayern) #SportsElite
    0 Comments 0 Shares 34 Views
  • Bournemouth ipo karibu kukamilisha uhamisho wa Amine Adli baada ya kufikia makubaliano binafsi ya mkataba na mchezaji..

    Majadiliano yanaendelea baina ya Bournemouth na Bayer Leverkusen,

    (Source: Foot Mercato)

    #SportsElite
    馃毃 Bournemouth ipo karibu kukamilisha uhamisho wa Amine Adli baada ya kufikia makubaliano binafsi ya mkataba na mchezaji.. Majadiliano yanaendelea baina ya Bournemouth na Bayer Leverkusen, (Source: Foot Mercato) #SportsElite
    0 Comments 0 Shares 21 Views