• Bournemouth ipo karibu kukamilisha uhamisho wa Amine Adli baada ya kufikia makubaliano binafsi ya mkataba na mchezaji..

    Majadiliano yanaendelea baina ya Bournemouth na Bayer Leverkusen,

    (Source: Foot Mercato)

    #SportsElite
    馃毃 Bournemouth ipo karibu kukamilisha uhamisho wa Amine Adli baada ya kufikia makubaliano binafsi ya mkataba na mchezaji.. Majadiliano yanaendelea baina ya Bournemouth na Bayer Leverkusen, (Source: Foot Mercato) #SportsElite
    0 Comments 0 Shares 180 Views
  • Newcastle tayari imeanza mawindo ya kumsaka mshambuliaji wa Crystal Palace Jean-Philippe Mateta kama mbadala wa Alexander Isak iwapo ataondoka klabuni hapo.

    Crystal Palace wanahitaji £40M ili kumuachia mshambuliaji huyo.

    (Source: Rudy Galetti)

    #SportsElite
    馃毃 Newcastle tayari imeanza mawindo ya kumsaka mshambuliaji wa Crystal Palace Jean-Philippe Mateta kama mbadala wa Alexander Isak iwapo ataondoka klabuni hapo. Crystal Palace wanahitaji £40M ili kumuachia mshambuliaji huyo. (Source: Rudy Galetti) #SportsElite
    0 Comments 0 Shares 64 Views
  • Ferran Torres ameikataa ofa kutoka Saudi Arabia.

    Anahitaji kusalia Barcelona.

    (Source: x/santiovalle)

    #SportsElite
    馃毃 Ferran Torres ameikataa ofa kutoka Saudi Arabia. Anahitaji kusalia Barcelona. (Source: x/santiovalle) #SportsElite
    0 Comments 0 Shares 111 Views
  • 饾棗饾棙饾棓饾棢 饾棗饾棦饾棥饾棙: Newcastle United imekamilisha usajili wa Thiaw kutoka AC Milan kwa ada ya €35M na nyongeza ya €5M


    ( Newcastle United)

    #SportsElite
    馃摑 饾棗饾棙饾棓饾棢 饾棗饾棦饾棥饾棙: Newcastle United imekamilisha usajili wa Thiaw kutoka AC Milan kwa ada ya €35M na nyongeza ya €5M (馃摳 Newcastle United) #SportsElite
    0 Comments 0 Shares 93 Views
  • 饾棗饾棙饾棓饾棢 饾棗饾棦饾棥饾棙: Girona imekamilisha usajili wa Axel Witsel..

    (Source: Girona FC)

    #SportsElite
    馃摑 饾棗饾棙饾棓饾棢 饾棗饾棦饾棥饾棙: Girona imekamilisha usajili wa Axel Witsel.. (Source: Girona FC) #SportsElite
    0 Comments 0 Shares 83 Views
  • Robert Lewandowski ameifungulia milango Barcelona baada ya kupokea ofa kutoka Saudi Arabia yenye thamani ya €100M.

    (Source: El Nacional)

    #SportsElite
    馃毃 Robert Lewandowski ameifungulia milango Barcelona baada ya kupokea ofa kutoka Saudi Arabia yenye thamani ya €100M. (Source: El Nacional) #SportsElite
    0 Comments 0 Shares 199 Views
  • Savinho Kutimkia Spurs *

    Tottenham wapo kwenye mazungumzo na Manchester City juu ya kutaka kumsajili Winga wa Brazil Savinho.

    Majadiliano yamefanyika kati ya klabu hizo mbili katika siku za hivi karibuni kuhusu uwezekano wa kumnunua mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 21 lakini itachukua ofa ya zaidi ya pauni milioni 50 kuwashawishi City kumuuza Staa huyo.

    #SportsElite
    馃毃Savinho Kutimkia Spurs 馃* Tottenham wapo kwenye mazungumzo na Manchester City juu ya kutaka kumsajili Winga wa Brazil Savinho. Majadiliano yamefanyika kati ya klabu hizo mbili katika siku za hivi karibuni kuhusu uwezekano wa kumnunua mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 21 lakini itachukua ofa ya zaidi ya pauni milioni 50 kuwashawishi City kumuuza Staa huyo. #SportsElite
    0 Comments 0 Shares 330 Views
  • Female Viagra: What Medications Are Available?
    Female Viagra: What Medications Are Available?
    0 Comments 0 Shares 222 Views
  • 7 Side Effects of Viagra You Should Know About
    7 Side Effects of Viagra You Should Know About
    0 Comments 0 Shares 256 Views
  • What You Need to Know Before Taking Viagra?
    What You Need to Know Before Taking Viagra?
    0 Comments 0 Shares 178 Views