• Manchester United iko tayari kutoa kiasi cha £56M kama ada ya uhamisho wa Harry Kane..


    (Source: Football Insider)

    #SportsElite
    馃毃 Manchester United iko tayari kutoa kiasi cha £56M kama ada ya uhamisho wa Harry Kane.. (Source: Football Insider) #SportsElite
    0 Commentarii 0 Distribuiri 39 Views
  • 饾悂饾悜饾悇饾悁饾悐饾悎饾悕饾悊: Fainali za UEFA Super Cup sasa zitakuwa zinahusisha klabu 饾煉
    馃毃 饾悂饾悜饾悇饾悁饾悐饾悎饾悕饾悊: Fainali za UEFA Super Cup sasa zitakuwa zinahusisha klabu 饾煉 馃弳馃憖
    0 Commentarii 0 Distribuiri 23 Views
  • Iñigo Martínez ataweza kuondoka Barcelona baada ya Al Nassr kukamilisha usajiri wake
    馃毃馃挋鉂わ笍 Iñigo Martínez ataweza kuondoka Barcelona baada ya Al Nassr kukamilisha usajiri wake馃嚫馃嚘
    0 Commentarii 0 Distribuiri 29 Views
  • Manchester City imekataa ofa ya €25M na nyongeza €5M kutoka kwa Nottingham Forest kumuhitaji Rico Lewis.

    (Source: Foot Mercato)

    #SportsElite
    馃毃 Manchester City imekataa ofa ya €25M na nyongeza €5M kutoka kwa Nottingham Forest kumuhitaji Rico Lewis. (Source: Foot Mercato) #SportsElite
    0 Commentarii 0 Distribuiri 25 Views
  • AS Roma iko kwenye mazungumzo na Aston Villa ili kuipata huduma ya winga Leon Bailey lakini bado Roma haijatuma ofa rasmi..

    (Source: David Ornstein)

    #SportsElite
    馃毃 AS Roma iko kwenye mazungumzo na Aston Villa ili kuipata huduma ya winga Leon Bailey lakini bado Roma haijatuma ofa rasmi.. (Source: David Ornstein) #SportsElite
    0 Commentarii 0 Distribuiri 40 Views
  • Wachezaji wa FC Barcelona ambao wanahitaji kuingizwa kwenye mfumo wa La Liga

    Rashford
    Joan Garcia
    Roony Bardghji
    Szczesny
    Gerrard Martin
    馃毃馃毃Wachezaji wa FC Barcelona ambao wanahitaji kuingizwa kwenye mfumo wa La Liga 馃數馃敶 Rashford 馃彺鬆仹鬆仮鬆仴鬆伄鬆仹鬆伩 Joan Garcia 馃嚜馃嚫 Roony Bardghji 馃嚫馃嚜 Szczesny 馃嚨馃嚤 Gerrard Martin 馃嚜馃嚫
    0 Commentarii 0 Distribuiri 24 Views
  • 饾悗饾悈饾悈饾悎饾悅饾悎饾悁饾悑: Nottingham Forest imemrudisha mchezaji wake wa zamani kwenye Timu ya wa awake Chantelle Boye-Hlorkah kwa mkataba hadi Juni 2027.

    Amejiunga na klabu baada ya mkataba wake kutamatika London City Lionesses..

    #SportsElite
    馃毃馃嚞馃嚟 饾悗饾悈饾悈饾悎饾悅饾悎饾悁饾悑: Nottingham Forest imemrudisha mchezaji wake wa zamani kwenye Timu ya wa awake Chantelle Boye-Hlorkah kwa mkataba hadi Juni 2027. Amejiunga na klabu baada ya mkataba wake kutamatika London City Lionesses.. #SportsElite
    0 Commentarii 0 Distribuiri 32 Views
  • Klabu ya Singida Black Stars imekamilisha usajili wa mshambuliaji raia wa Congo DR Malanga Horso Mwaku (21).

    Tayari ameshawaaga FC Lupopo , Mkataba wa miaka 3 umesainiwa tayari .

    Muda wowote kuanzia sasa kuwasili Tanzania ili kujiunga na waajiri wake hao wapya .

    #SportsElite
    馃毃馃毃Klabu ya Singida Black Stars imekamilisha usajili wa mshambuliaji raia wa Congo DR Malanga Horso Mwaku (21). Tayari ameshawaaga FC Lupopo , Mkataba wa miaka 3 umesainiwa tayari . Muda wowote kuanzia sasa kuwasili Tanzania ili kujiunga na waajiri wake hao wapya . #SportsElite
    0 Commentarii 0 Distribuiri 74 Views
  • Hizi ndizo sheria mpya za Ligi Kuu Uingereza(EPL);

    Waamuzi sasa wanaweza kueleza maamuzi yao ya VAR kupitia mfumo wa sauti wa uwanjani.

    Ni nahodha pekee anayeruhusiwa kumkaribia mwamuzi wakati wa kujadili uamuzi.

    Mchezaji akipiga penalti mara mbili mfululizo(double-kick), penalti hiyo itarudiwa.

    Kipa haruhusiwi kushikilia mpira kwa zaidi ya sekunde nane; akifanya hivyo, kona itapewa kwa timu pinzani.

    Kocha anaruhusiwa kuzungumza na wachezaji wakati wa mapumziko ikiwa timu yake inaongoza.

    Kamera zinaruhusiwa kuingia katika chumba cha kubadilishia nguo (dressing room).

    Mchezaji aliyetolewa uwanjani anaweza kuhojiwa wakati mechi bado inaendelea.

    #SportsElite
    馃懆‍鈿栵笍馃彺鬆仹鬆仮鬆仴鬆伄鬆仹鬆伩Hizi ndizo sheria mpya za Ligi Kuu Uingereza(EPL); 鉁匴aamuzi sasa wanaweza kueleza maamuzi yao ya VAR kupitia mfumo wa sauti wa uwanjani. 鉁匩i nahodha pekee anayeruhusiwa kumkaribia mwamuzi wakati wa kujadili uamuzi. 鉁匨chezaji akipiga penalti mara mbili mfululizo(double-kick), penalti hiyo itarudiwa. 鉁匥ipa haruhusiwi kushikilia mpira kwa zaidi ya sekunde nane; akifanya hivyo, kona itapewa kwa timu pinzani. 鉁匥ocha anaruhusiwa kuzungumza na wachezaji wakati wa mapumziko ikiwa timu yake inaongoza. 鉁匥amera zinaruhusiwa kuingia katika chumba cha kubadilishia nguo (dressing room). 鉁匨chezaji aliyetolewa uwanjani anaweza kuhojiwa wakati mechi bado inaendelea. #SportsElite
    0 Commentarii 0 Distribuiri 86 Views
  • RWANDA,

    #EXCLUSIVE;Beki Frank Assinki amejumuishwa kwenye msafara wa Wachezaji ambao wameondoka leo kwenda nchini Rwanda.

    #SportsElite
    RWANDA,馃嚪馃嚰 馃毃#EXCLUSIVE;Beki Frank Assinki amejumuishwa kwenye msafara wa Wachezaji ambao wameondoka leo kwenda nchini Rwanda. #SportsElite
    0 Commentarii 0 Distribuiri 73 Views