• Bayern Munich imetuma ofa ya €60M na nyongeza zaidi ili kumpata Nick Woltemade.

    Stuttgart imekataa ofa hiyo na inahitaji kiasi cha €75M.

    Bayern Munich hawako tayari kutoa kiasi hicho

    (Source: Florian Plettenberg)

    #SportsElite
    🚨 Bayern Munich imetuma ofa ya €60M na nyongeza zaidi ili kumpata Nick Woltemade. Stuttgart imekataa ofa hiyo na inahitaji kiasi cha €75M. Bayern Munich hawako tayari kutoa kiasi hicho (Source: Florian Plettenberg) #SportsElite
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·314 مشاهدة
  • Crystal Palace inapanga kukamilisha usajiri kabla ya dirisha kufungwa na tayari wamegonga hodi kwa Liverpool kumpata kiungo Harvey Elliott.

    Liverpool wanahitaji karibu £40M au ifanyike mabadiilishano kati ya Marc Guehi na Harvey Elliott....

    (Source: Sun Sport)

    #SportsElite
    🚨 Crystal Palace inapanga kukamilisha usajiri kabla ya dirisha kufungwa na tayari wamegonga hodi kwa Liverpool kumpata kiungo Harvey Elliott. Liverpool wanahitaji karibu £40M au ifanyike mabadiilishano kati ya Marc Guehi na Harvey Elliott.... (Source: Sun Sport) #SportsElite
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·373 مشاهدة
  • 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Yoane Wissa huwenda akaukosa mchezo wa ufunguzi wa Premier League kati ya Brentford na Nottingham Forest after baada ya kutaka kuondoka klabuni hapo..

    (Source: BBC Sport)

    #SportsElite
    🚨 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Yoane Wissa huwenda akaukosa mchezo wa ufunguzi wa Premier League kati ya Brentford na Nottingham Forest after baada ya kutaka kuondoka klabuni hapo.. ❌ (Source: BBC Sport) #SportsElite
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·270 مشاهدة
  • Vilabu vya Aston Villa, Chelsea, Newcastle United na Tottenham vinahusishwa na kumsajili Rico Lewis lakini huwenda kaongeza mkataba mpya Manchester City.

    (Source: ManCityNews)

    #SportsElite
    🚨Vilabu vya Aston Villa, Chelsea, Newcastle United na Tottenham vinahusishwa na kumsajili Rico Lewis lakini huwenda kaongeza mkataba mpya Manchester City. (Source: ManCityNews) #SportsElite
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·398 مشاهدة
  • 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚:Huwenda Marcus Rashford asicheze kwenye mchezo wa ufunguzi wa La Liga dhidi ya Mallorcais kutokana bado hajasajiriwa kwenye mfumo unao watambua wachezaji wa timu flani..

    (Source: MARCA)

    #SportsElite
    🚨 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚:Huwenda Marcus Rashford asicheze kwenye mchezo wa ufunguzi wa La Liga dhidi ya Mallorcais kutokana bado hajasajiriwa kwenye mfumo unao watambua wachezaji wa timu flani.. (Source: MARCA) #SportsElite
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·297 مشاهدة
  • Newcastle United tayari wamefikia makubaliano ya £45M dhidi ya Aston Villa ili kumsajiri Jacob Ramsey.

    £38M na nyongeza £5M zaidi

    (Source: Sky Sports)

    #SportsElite
    🚨 Newcastle United tayari wamefikia makubaliano ya £45M dhidi ya Aston Villa ili kumsajiri Jacob Ramsey. £38M na nyongeza £5M zaidi (Source: Sky Sports) #SportsElite
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·185 مشاهدة
  • | BREAKING: Barcelona wanahaha kuhakikisha kuwa Joan Garcia na Marcus Rashford wamesajiliwa kwa wakati kabla ya mechi yao ya ufunguzi wa La Liga dhidi ya Mallorca !

    #SportsElite
    🚨🚨 | BREAKING: Barcelona wanahaha kuhakikisha kuwa Joan Garcia na Marcus Rashford wamesajiliwa kwa wakati kabla ya mechi yao ya ufunguzi wa La Liga dhidi ya Mallorca ! 🔥 #SportsElite
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·415 مشاهدة
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Manchester United imefungua mazungumzo na Brighton juu ya uwezekano wa kumpata Baleba!!

    (@JacobsBen)

    #SportsElite
    🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Manchester United imefungua mazungumzo na Brighton juu ya uwezekano wa kumpata Baleba!! (@JacobsBen) #SportsElite
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·280 مشاهدة
  • Polisi nchini Gambia wamewafungulia mashtaka wanawake watatu kufuatia kifo cha mtoto wa kike mwenye umri wa mwezi mmoja, aliyefanyiwa ukeketaji (FGM), tukio lililoibua hasira kitaifa licha ya marufuku iliyowekwa miaka kumi iliyopita.

    Kwa mujibu wa Polisi, mashtaka hayo yamewasilishwa chini ya Sheria ya Marekebisho ya Wanawake ya mwaka 2015, inayopiga marufuku ukeketaji. Mmoja wa wanawake hao anakabiliwa na kifungo cha maisha na amewekwa rumande, huku wengine wawili wakishtakiwa kama washirika na kupewa dhamana.

    Mwenyekiti wa Tume ya Kitaifa ya Haki za Binadamu (NHRC), Emmanuel Joof, amesema tukio hilo ni onyo kwa taifa, akisisitiza kuwa ukeketaji si utamaduni tu bali ni kosa la jinai, ukiukaji wa haki za binadamu, na katika visa vingine, husababisha vifo. NHRC inasisitiza kuwa hakuna sababu za kitamaduni au kiasili zinazoweza kuhalalisha madhara kwa watoto. Licha ya marufuku, ukeketaji bado umeenea nchini Gambia, na mwaka jana wabunge walikataa muswada wa kufuta marufuku hiyo
    Polisi nchini Gambia wamewafungulia mashtaka wanawake watatu kufuatia kifo cha mtoto wa kike mwenye umri wa mwezi mmoja, aliyefanyiwa ukeketaji (FGM), tukio lililoibua hasira kitaifa licha ya marufuku iliyowekwa miaka kumi iliyopita. Kwa mujibu wa Polisi, mashtaka hayo yamewasilishwa chini ya Sheria ya Marekebisho ya Wanawake ya mwaka 2015, inayopiga marufuku ukeketaji. Mmoja wa wanawake hao anakabiliwa na kifungo cha maisha na amewekwa rumande, huku wengine wawili wakishtakiwa kama washirika na kupewa dhamana. Mwenyekiti wa Tume ya Kitaifa ya Haki za Binadamu (NHRC), Emmanuel Joof, amesema tukio hilo ni onyo kwa taifa, akisisitiza kuwa ukeketaji si utamaduni tu bali ni kosa la jinai, ukiukaji wa haki za binadamu, na katika visa vingine, husababisha vifo. NHRC inasisitiza kuwa hakuna sababu za kitamaduni au kiasili zinazoweza kuhalalisha madhara kwa watoto. Licha ya marufuku, ukeketaji bado umeenea nchini Gambia, na mwaka jana wabunge walikataa muswada wa kufuta marufuku hiyo
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·664 مشاهدة
  • 0 التعليقات ·0 المشاركات ·65 مشاهدة