• 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Manchester City bado wanavutiwa na Rodrygo kutoka Real Madrid, na mazungumzo yamefikia pazuri.

    City wako tayari kutoa ofa ya kimkataba hadi 2030, na Rodrygo kama anahitaji kuondoka Madrid basin City watalipa kiasi cha €100 million.

    photo credit Madridista

    #SportsElite
    🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Manchester City bado wanavutiwa na Rodrygo kutoka Real Madrid, na mazungumzo yamefikia pazuri. City wako tayari kutoa ofa ya kimkataba hadi 2030, na Rodrygo kama anahitaji kuondoka Madrid basin City watalipa kiasi cha €100 million. 📷 photo credit Madridista 🙏 #SportsElite
    0 Commentarios ·0 Acciones ·17 Views
  • Nottingham Forest wako kwenye majadiliano na Rennes juu ya uwezekano wa kumsajili mshambuliaji Arnaud Kalimuendo

    #SportsElite
    Nottingham Forest wako kwenye majadiliano na Rennes juu ya uwezekano wa kumsajili mshambuliaji Arnaud Kalimuendo 🚨 #SportsElite
    0 Commentarios ·0 Acciones ·29 Views
  • Uzi mpya wa Manchester City 25/26
    Uzi mpya wa Manchester City 25/26
    0 Commentarios ·0 Acciones ·4 Views
  • Klabu ya Chelsea inayoshiriki ligi kuu nchini Uingereza ,imetoa Posho za wachezaji walizozipata baada ya kutwaa ubingwa wa kombe la dunia la vilabu kwa familia ya aliyekuwa mchezaji wa Liverpool marehemu Diogo Jota aliyefariki kwa ajali ya gari mwezi June mwaka huu.

    Chelsea wametoa kiasi cha dola milioni 15.5 ambazo ni zaidi ya bilioni 39 kwa pesa za Tanzania,jambo ambalo limewafurahisha mashabiki wengi wa soka ulimwenguni.

    #SportsElite
    🚨🚨Klabu ya Chelsea inayoshiriki ligi kuu nchini Uingereza ,imetoa Posho za wachezaji walizozipata baada ya kutwaa ubingwa wa kombe la dunia la vilabu kwa familia ya aliyekuwa mchezaji wa Liverpool marehemu Diogo Jota aliyefariki kwa ajali ya gari mwezi June mwaka huu. Chelsea wametoa kiasi cha dola milioni 15.5 ambazo ni zaidi ya bilioni 39 kwa pesa za Tanzania,jambo ambalo limewafurahisha mashabiki wengi wa soka ulimwenguni. #SportsElite
    0 Commentarios ·0 Acciones ·62 Views
  • 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Rayan Cherki (21) ndie atakae vaa jezi namba 10 Manchester City
    🇫🇷👕 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Rayan Cherki (21) ndie atakae vaa jezi namba 10 Manchester City ✨🪄
    0 Commentarios ·0 Acciones ·10 Views
  • Games Fans

    Richarlison amebadilisha maisha ya familia ya mtangazaji wa mitandaoni Lalau, mkazi wa Serra do Mel, eneo la ndani la Rio Grande do Norte.

    Richarlison aliguswa na chapisho la Lalau mwaka 2024, ambapo aliwaomba wafuasi wake kusaidia kukarabati chumba cha nyumba kwa ajili ya ujio wa binti yake mdogo, aliyezaliwa kabla ya wakati.

    Nyumba hiyo ilikuwa katika hali mbaya, bila plasta, ilikuwa inavuja na nyaya zilizo wazi, kuta zenye nyufa, na bila bafu au choo cha maji.

    Mchezaji huyo alimtafuta ili kumsaidia na akaamua kugharamia ukarabati wa nyumba nzima, ambao umekamilika wiki hii.


    #SportsElite
    Games Fans Richarlison amebadilisha maisha ya familia ya mtangazaji wa mitandaoni Lalau, mkazi wa Serra do Mel, eneo la ndani la Rio Grande do Norte. Richarlison aliguswa na chapisho la Lalau mwaka 2024, ambapo aliwaomba wafuasi wake kusaidia kukarabati chumba cha nyumba kwa ajili ya ujio wa binti yake mdogo, aliyezaliwa kabla ya wakati. Nyumba hiyo ilikuwa katika hali mbaya, bila plasta, ilikuwa inavuja na nyaya zilizo wazi, kuta zenye nyufa, na bila bafu au choo cha maji. Mchezaji huyo alimtafuta ili kumsaidia na akaamua kugharamia ukarabati wa nyumba nzima, ambao umekamilika wiki hii. #SportsElite
    0 Commentarios ·0 Acciones ·44 Views
  • 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎! Newcastle imekamilisha usajili wa Jacob Ramsey kutoka Aston Villa,

    Uhamisho huo umegharimu £40m na Ramsey atasafiri kuelekea Newcastle kwaajili ya vipimo vya afya

    #SportsElite
    🚨 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎! Newcastle imekamilisha usajili wa Jacob Ramsey kutoka Aston Villa, 🤍🖤 Uhamisho huo umegharimu £40m na Ramsey atasafiri kuelekea Newcastle kwaajili ya vipimo vya afya 🔜 #SportsElite
    0 Commentarios ·0 Acciones ·39 Views
  • Brighton wanahitaji £120M ili kumuachia Carlos Baleba.


    (Source: The Independent)

    #SportsElite
    🚨 Brighton wanahitaji £120M ili kumuachia Carlos Baleba. (Source: The Independent) #SportsElite
    0 Commentarios ·0 Acciones ·49 Views
  • Real Madrid wanaangalia uwezekano wa kuongeza kiungo zaidi kikosini na jina la Adam Wharton liko kwenye rada
    Real Madrid wanaangalia uwezekano wa kuongeza kiungo zaidi kikosini na jina la Adam Wharton liko kwenye rada 👀
    0 Commentarios ·0 Acciones ·26 Views
  • Bayern Munich imetuma ofa ya €60M na nyongeza zaidi ili kumpata Nick Woltemade.

    Stuttgart imekataa ofa hiyo na inahitaji kiasi cha €75M.

    Bayern Munich hawako tayari kutoa kiasi hicho

    (Source: Florian Plettenberg)

    #SportsElite
    🚨 Bayern Munich imetuma ofa ya €60M na nyongeza zaidi ili kumpata Nick Woltemade. Stuttgart imekataa ofa hiyo na inahitaji kiasi cha €75M. Bayern Munich hawako tayari kutoa kiasi hicho (Source: Florian Plettenberg) #SportsElite
    0 Commentarios ·0 Acciones ·77 Views