• Ukiona kama gari la mizigo. Kumbe ni BUS
    Ukiona kama gari la mizigo. Kumbe ni BUS
    Like
    1
    1 Commentaires 0 Parts 184 Vue
  • Utadhani ni mabomba, kumbe watu
    Utadhani ni mabomba, kumbe watu
    Like
    1
    1 Commentaires 0 Parts 194 Vue
  • Like
    1
    1 Commentaires 0 Parts 191 Vue
  • Kuna kitu wanashangaa au wanasubiri kengele ya chakula?
    Kuna kitu wanashangaa au wanasubiri kengele ya chakula?
    0 Commentaires 0 Parts 177 Vue
  • Wapambe ni balaa
    Wapambe ni balaa
    Like
    2
    1 Commentaires 0 Parts 184 Vue
  • Hii kitu tuiteje, ni midadi au hangover?
    Hii kitu tuiteje, ni midadi au hangover?
    Like
    2
    1 Commentaires 0 Parts 171 Vue 33
  • .NANI ALIYEMLETA MZIZE YANGA?

    Watu wengi wamekuwa na swali la nani Aliyemleta clement mzinze katika familia ya Yanga, Apa unamzungumzia mchezaji kinda anayeumiza vichwa vya club nyingi Barani Africa na ulaya vikitaka kufanya kazi nayeye baada yakuona Ana kitu ktk miguu yake

    Dr Mshindo Msola Alitembelea Tawi la yanga KILOLO Iringa na vijana kutoka Tawi ilo walipiga magoti nakumuomba dr msolwa Aondoke na clement mzinze wakiamin Dogo Anaubonda sana but Ana conection pale kilolo hivyo kutoboa ni ngumu, ,

    Dr msola Alikubali nakufanya Taratibu mzinze alipanda gali hadi jangwani na Baadae akapelekwa yanga B aliupiga mwingi kiasi chakumshtua mwinyi zahera, Ambaye Alibahatika kumuona live clement mzinze akicheza mpira ndani ya Yanga B, Mwinyi zahera Aliuomba uongozi wa Yanga umpige mkopo katika timu ya ligi kuu clement mzinze ili Aweze kuimalika zaidi,hali hii iliushtua uongozi wa Yanga Nakuanza kufatilia mazoezi ya Yanga B, kuna mtu maalum Alitumwa kufatilia kwaumakin, Ripoti ya mzinze iliposomwa na jopo la wataalamu ndani ya Yanga Africa, jibu likawa moja Mzinze asipigwe mkopo Apandishwe timu kubwa, ,

    Asante Dr mshindo msola kwa busala zako ktk kuibua vipaji,
    .NANI ALIYEMLETA MZIZE YANGA? Watu wengi wamekuwa na swali la nani Aliyemleta clement mzinze katika familia ya Yanga, Apa unamzungumzia mchezaji kinda anayeumiza vichwa vya club nyingi Barani Africa na ulaya vikitaka kufanya kazi nayeye baada yakuona Ana kitu ktk miguu yake Dr Mshindo Msola Alitembelea Tawi la yanga KILOLO Iringa na vijana kutoka Tawi ilo walipiga magoti nakumuomba dr msolwa Aondoke na clement mzinze wakiamin Dogo Anaubonda sana but Ana conection pale kilolo hivyo kutoboa ni ngumu, , Dr msola Alikubali nakufanya Taratibu mzinze alipanda gali hadi jangwani na Baadae akapelekwa yanga B aliupiga mwingi kiasi chakumshtua mwinyi zahera, Ambaye Alibahatika kumuona live clement mzinze akicheza mpira ndani ya Yanga B, Mwinyi zahera Aliuomba uongozi wa Yanga umpige mkopo katika timu ya ligi kuu clement mzinze ili Aweze kuimalika zaidi,hali hii iliushtua uongozi wa Yanga Nakuanza kufatilia mazoezi ya Yanga B, kuna mtu maalum Alitumwa kufatilia kwaumakin, Ripoti ya mzinze iliposomwa na jopo la wataalamu ndani ya Yanga Africa, jibu likawa moja Mzinze asipigwe mkopo Apandishwe timu kubwa, , Asante Dr mshindo msola kwa busala zako ktk kuibua vipaji,
    Like
    2
    0 Commentaires 0 Parts 831 Vue
  • Like
    Love
    2
    1 Commentaires 0 Parts 173 Vue
  • Like
    2
    1 Commentaires 0 Parts 177 Vue
  • Like
    1
    0 Commentaires 0 Parts 172 Vue