0 Commenti
0 condivisioni
2 Views
Elenco
Share your ideas, Make money with Social Pop, enjoy on our lager village
-
Effettua l'accesso per mettere mi piace, condividere e commentare!
-
Wedding Transportation Service OceansideYour wedding day deserves nothing less than perfection, and transportation plays a bigger role than most couples realize. From arriving in style to ensuring guests travel smoothly between venues, choosing the right Wedding Transportation Service Oceanside can transform your big day from stressful to seamless. At Classy Rides Limo, we specialize in premium wedding transportation designed to...0 Commenti 0 condivisioni 3 Views
-
0 Commenti 0 condivisioni 0 Views
-
Merv Lee Kwai Joins NCsoft America – MMO Strategy LeadMerv Lee Kwai has transitioned from Amazon Game Studios to a pivotal leadership role at NCsoft America. His new position as Vice President of Operations will see him steering the global strategy for major titles. A key focus will be guiding the worldwide release of Aion 2 while overseeing live service games like Aion, Blade & Soul, and Lineage II. NC America's CEO highlighted Kwai's unique...0 Commenti 0 condivisioni 0 Views
-
David Letterman Returns: New Netflix Journey BeginsTelevision Legend David Letterman Embarks on New Journey with Netflix After a brief hiatus from the spotlight, television pioneer David Letterman is making his anticipated return through a partnership with streaming giant Netflix. Letterman's illustrious career spans nearly half a century in broadcasting, beginning with humble origins as a local news anchor and weather reporter. His unique...0 Commenti 0 condivisioni 1 Views
-
WAKAZI WA PAKADJUMA WAKATAA KUONDOKA ENEO LILILOBOMOLEWA, WAKABILIA POLISI LIMETE.
Hali ya wasiwasi na taharuki imetanda katika eneo la Pakadjuma, Wilaya ya Limete, Jijini Kinshasa, DR Congo, baada ya Wakazi wa eneo hilo kukataa kuondoka katika sehemu iliyobomolewa na mamlaka za Jiji. Hatua hiyo imesababisha makabiliano kati ya Wakazi na vikosi vya polisi vilivyotumwa kutekeleza agizo la kusafisha eneo hilo.
Kwa mujibu wa mamlaka za Jiji la Kinshasa, Wakazi wa Pakadjuma waliondolewa katika eneo hilo kwa sababu kadhaa, ikiwemo madai kuwa makazi hayo yalijengwa bila kufuata mipango rasmi ya Mji, hali inayoyafanya kutambuliwa kama makazi yasiyo halali. Vilevile, eneo hilo limekuwa likitajwa kuwa hatarishi kiafya kutokana na uchafuzi wa mazingira, taka na mafuriko ya mara kwa mara, hali inayodaiwa kuhatarisha maisha ya Wakazi.
Hatua ya ubomoaji pia inaelezwa kuwa ni sehemu ya mpango wa upangaji na usafi wa Jiji la Kinshasa, unaolenga kuondoa makazi yaliyojengwa kinyume cha sheria, kurejesha maeneo ya hifadhi na kuboresha miundombinu ya jiji pamoja na usalama wa Wakazi.
Hata hivyo, Wakazi wa Pakadjuma wamepinga vikali uamuzi huo, wakisema hawajapewa makazi mbadala wala fidia ya kuridhisha. Wengi wao wameendelea kubaki katika eneo hilo licha ya ubomoaji, wakidai hawana sehemu nyingine ya kwenda.
Mmoja wa wakazi hao amenukuliwa akisema, “Hatuwezi kuondoka hapa bila kupata uhakika wa mahali pa kuishi. Nyumba zetu zimebomolewa na hatujapewa suluhisho lolote.”
Mvutano uliongezeka pale Polisi walipojaribu kuwasukuma Wakazi kuondoka katika eneo hilo, hali iliyopelekea makabiliano ya moja kwa moja kati ya pande hizo mbili. Mashuhuda wanasema hali ilikuwa ya vurugu kwa nyakati tofauti huku Wakazi wakionyesha hasira zao dhidi ya hatua za mamlaka.
Kwa upande wake, Afisa mmoja wa usalama aliyekuwepo eneo la tukio amesema, “Tupo hapa kutekeleza maagizo ya kisheria na kuhakikisha usalama wa Raia wote. Tunawahimiza Wakazi kushirikiana na mamlaka ili kuepuka madhara.”
Hadi sasa, hali bado ni tete katika eneo la Pakadjuma, huku Wakazi wakiendelea kushikilia msimamo wao na mamlaka za Jiji la Kinshasa zikiwa bado hazijatoa tamko rasmi kuhusu mpango wa makazi mbadala au fidia kwa Waathirika wa zoezi hilo.
Toa maoni yako
#HabariWAKAZI WA PAKADJUMA WAKATAA KUONDOKA ENEO LILILOBOMOLEWA, WAKABILIA POLISI LIMETE. Hali ya wasiwasi na taharuki imetanda katika eneo la Pakadjuma, Wilaya ya Limete, Jijini Kinshasa, DR Congo, baada ya Wakazi wa eneo hilo kukataa kuondoka katika sehemu iliyobomolewa na mamlaka za Jiji. Hatua hiyo imesababisha makabiliano kati ya Wakazi na vikosi vya polisi vilivyotumwa kutekeleza agizo la kusafisha eneo hilo. Kwa mujibu wa mamlaka za Jiji la Kinshasa, Wakazi wa Pakadjuma waliondolewa katika eneo hilo kwa sababu kadhaa, ikiwemo madai kuwa makazi hayo yalijengwa bila kufuata mipango rasmi ya Mji, hali inayoyafanya kutambuliwa kama makazi yasiyo halali. Vilevile, eneo hilo limekuwa likitajwa kuwa hatarishi kiafya kutokana na uchafuzi wa mazingira, taka na mafuriko ya mara kwa mara, hali inayodaiwa kuhatarisha maisha ya Wakazi. Hatua ya ubomoaji pia inaelezwa kuwa ni sehemu ya mpango wa upangaji na usafi wa Jiji la Kinshasa, unaolenga kuondoa makazi yaliyojengwa kinyume cha sheria, kurejesha maeneo ya hifadhi na kuboresha miundombinu ya jiji pamoja na usalama wa Wakazi. Hata hivyo, Wakazi wa Pakadjuma wamepinga vikali uamuzi huo, wakisema hawajapewa makazi mbadala wala fidia ya kuridhisha. Wengi wao wameendelea kubaki katika eneo hilo licha ya ubomoaji, wakidai hawana sehemu nyingine ya kwenda. Mmoja wa wakazi hao amenukuliwa akisema, “Hatuwezi kuondoka hapa bila kupata uhakika wa mahali pa kuishi. Nyumba zetu zimebomolewa na hatujapewa suluhisho lolote.” Mvutano uliongezeka pale Polisi walipojaribu kuwasukuma Wakazi kuondoka katika eneo hilo, hali iliyopelekea makabiliano ya moja kwa moja kati ya pande hizo mbili. Mashuhuda wanasema hali ilikuwa ya vurugu kwa nyakati tofauti huku Wakazi wakionyesha hasira zao dhidi ya hatua za mamlaka. Kwa upande wake, Afisa mmoja wa usalama aliyekuwepo eneo la tukio amesema, “Tupo hapa kutekeleza maagizo ya kisheria na kuhakikisha usalama wa Raia wote. Tunawahimiza Wakazi kushirikiana na mamlaka ili kuepuka madhara.” Hadi sasa, hali bado ni tete katika eneo la Pakadjuma, huku Wakazi wakiendelea kushikilia msimamo wao na mamlaka za Jiji la Kinshasa zikiwa bado hazijatoa tamko rasmi kuhusu mpango wa makazi mbadala au fidia kwa Waathirika wa zoezi hilo. Toa maoni yako #Habari0 Commenti 0 condivisioni 5 Views -
Waziri wa Habari Uganda akemea shambulio la kijeshi nyumbani kwa Bobi Wine.
Waziri wa Habari nchini Uganda, Chris Baryomunsi, amelaani vikali madai ya shambulio la kijeshi lililofanyika katika makazi ya Mwanasiasa wa upinzani Bobi Wine, akisisitiza kuwa hakuna sababu ya kisheria ya kumzuia kurejea nyumbani kwake.
Akizungumza na shirika la habari la Reuters, Baryomunsi alisema kuwa Bobi Wine hakufanya kosa lolote na anastahili kulindwa kama raia mwingine yeyote wa Uganda. Alieleza wazi kuwa hatua zozote za vitisho au uvamizi dhidi ya makazi ya raia hazikubaliki. Alisema, “Bobi Wine hana kosa lolote alilofanya, na ana haki kamili ya kurejea nyumbani kwake bila hofu.”
Kwa upande wake, Bobi Wine amekuwa akidai kwa muda mrefu kuwa yuko mafichoni akihofia usalama wake, baada ya kudai kuwa jeshi la Uganda lilipewa maagizo ya kumtafuta na kumkamata. Kiongozi huyo wa upinzani pia amedai kuwa baadhi ya Wanafamilia wake waliwahi kukamatwa kwa nguvu, jambo lililoongeza hofu juu ya usalama wake binafsi.
Katika mazingira hayo ya mvutano, Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi ya Uganda, Jenerali Muhoozi Kainerugaba, amekuwa akitoa kauli kupitia mtandao wa X (Zamani Twitter), akidokeza kuwa kumkamata Bobi Wine si jambo gumu kwani wanajua alipojificha. Kauli hizo zimeibua mjadala mkubwa ndani na nje ya Uganda kuhusu heshima ya haki za binadamu na uhuru wa kisiasa.
Tukio hili linaendelea kufuatiliwa kwa karibu na wadau wa siasa pamoja na mashirika ya haki za binadamu, huku wito ukitolewa kwa mamlaka za Uganda kuheshimu sheria, kulinda raia wao, na kuhakikisha kuwa tofauti za kisiasa hazigeuki kuwa vitisho vya usalama kwa watu binafsi.
Toa maoni yako
#HabariWaziri wa Habari Uganda akemea shambulio la kijeshi nyumbani kwa Bobi Wine. Waziri wa Habari nchini Uganda, Chris Baryomunsi, amelaani vikali madai ya shambulio la kijeshi lililofanyika katika makazi ya Mwanasiasa wa upinzani Bobi Wine, akisisitiza kuwa hakuna sababu ya kisheria ya kumzuia kurejea nyumbani kwake. Akizungumza na shirika la habari la Reuters, Baryomunsi alisema kuwa Bobi Wine hakufanya kosa lolote na anastahili kulindwa kama raia mwingine yeyote wa Uganda. Alieleza wazi kuwa hatua zozote za vitisho au uvamizi dhidi ya makazi ya raia hazikubaliki. Alisema, “Bobi Wine hana kosa lolote alilofanya, na ana haki kamili ya kurejea nyumbani kwake bila hofu.” Kwa upande wake, Bobi Wine amekuwa akidai kwa muda mrefu kuwa yuko mafichoni akihofia usalama wake, baada ya kudai kuwa jeshi la Uganda lilipewa maagizo ya kumtafuta na kumkamata. Kiongozi huyo wa upinzani pia amedai kuwa baadhi ya Wanafamilia wake waliwahi kukamatwa kwa nguvu, jambo lililoongeza hofu juu ya usalama wake binafsi. Katika mazingira hayo ya mvutano, Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi ya Uganda, Jenerali Muhoozi Kainerugaba, amekuwa akitoa kauli kupitia mtandao wa X (Zamani Twitter), akidokeza kuwa kumkamata Bobi Wine si jambo gumu kwani wanajua alipojificha. Kauli hizo zimeibua mjadala mkubwa ndani na nje ya Uganda kuhusu heshima ya haki za binadamu na uhuru wa kisiasa. Tukio hili linaendelea kufuatiliwa kwa karibu na wadau wa siasa pamoja na mashirika ya haki za binadamu, huku wito ukitolewa kwa mamlaka za Uganda kuheshimu sheria, kulinda raia wao, na kuhakikisha kuwa tofauti za kisiasa hazigeuki kuwa vitisho vya usalama kwa watu binafsi. Toa maoni yako #Habari0 Commenti 0 condivisioni 5 Views -
“Sisi ni watu wa diplomasia lakini tunaijua vita kupita maelezo. Siyo kwamba tunawachokoza watu na kuvitafuta vita, hapana. Bali tupo tayari kupigana vita kiasi ambacho hakuna mtu atathubutu kupigana na sisi”
- Abbas Araghchi, Waziri wa mambo ya nje wa Iran.
Toa maoni yako
#Habari
“Sisi ni watu wa diplomasia lakini tunaijua vita kupita maelezo. Siyo kwamba tunawachokoza watu na kuvitafuta vita, hapana. Bali tupo tayari kupigana vita kiasi ambacho hakuna mtu atathubutu kupigana na sisi” - Abbas Araghchi, Waziri wa mambo ya nje wa Iran. Toa maoni yako #Habari0 Commenti 0 condivisioni 5 Views -
“Kipaumbele cha kwanza cha Netanyahu ni yeye mwenyewe, kisha serikali yake, na mwisho ni nchi. Tuna Waziri Mkuu muongo. Waziri mkuu wetu ni Muongo”
- Yoav Gallant, Waziri wa zamani wa Ulinzi wa Israel.
Toa maoni yako
#Habari“Kipaumbele cha kwanza cha Netanyahu ni yeye mwenyewe, kisha serikali yake, na mwisho ni nchi. Tuna Waziri Mkuu muongo. Waziri mkuu wetu ni Muongo” - Yoav Gallant, Waziri wa zamani wa Ulinzi wa Israel. Toa maoni yako #Habari0 Commenti 0 condivisioni 3 Views -