• “Nimemsikia Rais wa Marekani akisema, kwa zaidi ya miaka 47, Marekani imeshindwa kuivunja Jamhuri ya Kiislamu ya Iran. Sasa namuambia kwamba: hamtokuja kufanikiwa kamwe”

    - Ayatollah Sayeed Ali Khamenei, Kiongozi Mkuu wa Iran.

    Toa maoni yako
    #Habari
    #Habari
    “Nimemsikia Rais wa Marekani akisema, kwa zaidi ya miaka 47, Marekani imeshindwa kuivunja Jamhuri ya Kiislamu ya Iran. Sasa namuambia kwamba: hamtokuja kufanikiwa kamwe” - Ayatollah Sayeed Ali Khamenei, Kiongozi Mkuu wa Iran. Toa maoni yako #Habari #Habari
    0 Commentarii 0 Distribuiri 27 Views
  • Cooling Fabrics Market Size, Share, Industry Trends & Forecast to 2033
    In-Depth Study on Executive Summary Cooling Fabrics Market Size and Share The cooling fabrics market is expected to gain market growth in the forecast period of 2022 to 2029. Data Bridge Market Research analyses the market to grow at a CAGR of 9.95% in the above-mentioned forecast period. This Cooling Fabrics Market report is structured with the thorough market analysis carried...
    0 Commentarii 0 Distribuiri 5 Views
  • COVID-19 Vaccine Packaging Market Size, Share, Industry Analysis & Forecast to 2033
    Key Drivers Impacting Executive Summary COVID-19 Vaccine Packaging Market Size and Share The global COVID-19 vaccine packaging market size was valued at USD 1.68 billion in 2025 and is expected to reach USD 4.81 billion by 2033, at a CAGR of 14.00% during the forecast period. A few of the most important objectives of the COVID-19 Vaccine Packaging report...
    0 Commentarii 0 Distribuiri 5 Views
  • Mobile Legends: инфраструктура серверов
    Техническая инфраструктура игры Для победы в Mobile Legends: Bang Bang важна не только стратегия, но и техническая составляющая. Каждый матч зависит от мгновенной связи между вашим устройством и игровым сервером. Даже незначительный скачок пинга способен сорвать комбинацию или привести к поражению в командной схватке. Различия в игровых ощущениях между регионами напрямую связаны с архитектурой...
    0 Commentarii 0 Distribuiri 4 Views
  • Cross-Linking Coating Agents Market Size, Share, Industry Trends & Forecast to 2033
    Regional Overview of Executive Summary Cross-Linking Coating Agents Market by Size and Share Data Bridge Market Research analyses that the cross-linking coating agents market was valued at USD 631.20 million in 2021 and is expected to reach USD 946.88 million by 2029, registering a CAGR of 5.20 % during the forecast period of 2022 to 2029.  The strategies encompassed in the...
    0 Commentarii 0 Distribuiri 4 Views
  • Umoja wa Ulaya wafadhili euro milioni 81 kwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

    Umoja wa Ulaya (EU) umethibitisha kutoa ufadhili wa Euro milioni 81 kwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (RDC), kwa ajili ya kusaidia mpango wa msaada wa kibinadamu katika maeneo ya mashariki ambako mizozo inazidi kuathiri Wananchi.

    Akizungumza kuhusu hatua hii, Msemaji wa Umoja wa Ulaya amesema, “Hii ni hatua yetu ya dhati ya kuhakikisha kwamba jamii zilizo hatarini zinapata msaada wa dharura na huduma za msingi zinazohitajika, hususan kwa wakimbizi na watu waliokumbwa na mizozo.”

    Aidha, Umoja wa Ulaya umesisitiza umuhimu wa kushirikiana na mamlaka za RDC pamoja na mashirika ya misaada ya kibinadamu ili kuhakikisha fedha hizi zinatumika kwa ufanisi na kufikia jamii zinazohitaji zaidi.

    Msemaji huyo aliongeza, “Tutaendelea kushirikiana na washirika wetu wa ndani na kimataifa kuhakikisha kwamba msaada unawafikia walengwa haraka na kwa uwazi, ili kupunguza madhara yanayosababishwa na mapigano yanayoendelea mashariki mwa nchi.”

    Hii ni sehemu ya jitihada kubwa za kimataifa zinazolenga kupunguza mateso ya kibinadamu na kuboresha hali ya maisha kwa familia zinazokabiliwa na mizozo, haswa katika kanda zenye migogoro ya muda mrefu.

    Toa maoni yako
    #Habari
    Umoja wa Ulaya wafadhili euro milioni 81 kwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. Umoja wa Ulaya (EU) umethibitisha kutoa ufadhili wa Euro milioni 81 kwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (RDC), kwa ajili ya kusaidia mpango wa msaada wa kibinadamu katika maeneo ya mashariki ambako mizozo inazidi kuathiri Wananchi. Akizungumza kuhusu hatua hii, Msemaji wa Umoja wa Ulaya amesema, “Hii ni hatua yetu ya dhati ya kuhakikisha kwamba jamii zilizo hatarini zinapata msaada wa dharura na huduma za msingi zinazohitajika, hususan kwa wakimbizi na watu waliokumbwa na mizozo.” Aidha, Umoja wa Ulaya umesisitiza umuhimu wa kushirikiana na mamlaka za RDC pamoja na mashirika ya misaada ya kibinadamu ili kuhakikisha fedha hizi zinatumika kwa ufanisi na kufikia jamii zinazohitaji zaidi. Msemaji huyo aliongeza, “Tutaendelea kushirikiana na washirika wetu wa ndani na kimataifa kuhakikisha kwamba msaada unawafikia walengwa haraka na kwa uwazi, ili kupunguza madhara yanayosababishwa na mapigano yanayoendelea mashariki mwa nchi.” Hii ni sehemu ya jitihada kubwa za kimataifa zinazolenga kupunguza mateso ya kibinadamu na kuboresha hali ya maisha kwa familia zinazokabiliwa na mizozo, haswa katika kanda zenye migogoro ya muda mrefu. Toa maoni yako #Habari
    0 Commentarii 0 Distribuiri 26 Views
  • Ushirikiano wa RDC – Monaco unakabiliwa na changamoto?

    Ushirikiano kati ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na klabu ya AS Monaco unaweza kuwa kwenye hatari, ikizingatiwa taarifa zilizotolewa na Gazeti la L’Équipe la Nchini Ufaransa.

    Taarifa hizo zinaonyesha kwamba malalamiko ya "kuficha fedha", "kufurushwa fedha za umma" (Wizi) na "ufisadi" yamewasilishwa katika Tume ya Ufilisi wa Kifedha ya Taifa (PNF) mnamo Septemba 2025.

    Malalamiko haya yanahusu mkataba uliosainiwa kati ya Wizara ya Michezo ya RDC na AS Monaco mwezi Juni mwaka jana.

    Baada ya miezi kadhaa ya uchambuzi, PNF imetuma ripoti rasmi kwa mamlaka za Monaco. Hivyo, sasa kesi hiyo ipo mikononi mwa Mahakama ya Dola la Nchi ya Monaco.

    Hali hii inachukua sura mpya katika uhusiano wa michezo na uwekezaji kati ya RDC na Monaco, huku mashabiki na wanasiasa wakilenga kuona matokeo ya kesi hii.

    Toa maoni yako
    #Habari
    Ushirikiano wa RDC – Monaco unakabiliwa na changamoto? Ushirikiano kati ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na klabu ya AS Monaco unaweza kuwa kwenye hatari, ikizingatiwa taarifa zilizotolewa na Gazeti la L’Équipe la Nchini Ufaransa. Taarifa hizo zinaonyesha kwamba malalamiko ya "kuficha fedha", "kufurushwa fedha za umma" (Wizi) na "ufisadi" yamewasilishwa katika Tume ya Ufilisi wa Kifedha ya Taifa (PNF) mnamo Septemba 2025. Malalamiko haya yanahusu mkataba uliosainiwa kati ya Wizara ya Michezo ya RDC na AS Monaco mwezi Juni mwaka jana. Baada ya miezi kadhaa ya uchambuzi, PNF imetuma ripoti rasmi kwa mamlaka za Monaco. Hivyo, sasa kesi hiyo ipo mikononi mwa Mahakama ya Dola la Nchi ya Monaco. Hali hii inachukua sura mpya katika uhusiano wa michezo na uwekezaji kati ya RDC na Monaco, huku mashabiki na wanasiasa wakilenga kuona matokeo ya kesi hii. Toa maoni yako #Habari
    0 Commentarii 0 Distribuiri 25 Views
  • Cutting Equipment, Accessories and Consumables Market Size, Share, Industry Outlook & Forecast to 2033
    Executive Summary Cutting Equipment, Accessories and Consumables Market Research: Share and Size Intelligence Global cutting equipment, accessories and consumables market size was valued at USD 9.55 billion in 2024 and is projected to reach USD 14.00 billion by 2032, with a CAGR of 4.90% during the forecast period of 2025 to 2032. The all-inclusive Cutting Equipment, Accessories and...
    0 Commentarii 0 Distribuiri 4 Views
  • Брендан Грин: создатель PUBG и жанра королевской битвы
    За последние годы игровая индустрия увидела стремительный взлёт жанра королевской битвы, и одним из ключевых имён в этом процессе стал Брендан Грин. Изначально он привлёк внимание, создав популярные модификации для таких проектов, как Arma 3 и H1Z1, которые внедряли этот уникальный соревновательный режим. Его опыт и видение в конечном итоге воплотились в самостоятельную игру, которая вышла под...
    0 Commentarii 0 Distribuiri 4 Views
  • same day carpet cleaning Barnsley: Fast Service Guide
    Introduction Unexpected carpet messes can disrupt your routine and affect the comfort of your home or workplace. Whether it’s a sudden spill, pet accident, or last-minute cleaning need, quick solutions make all the difference. That’s why same day carpet cleaning Barnsley services are designed to provide fast, reliable results when you need them most. With advanced equipment, skilled...
    0 Commentarii 0 Distribuiri 11 Views