0 Comments
0 Shares
3 Views
Directory
Share your ideas, Make money with Social Pop, enjoy on our lager village
-
Please log in to like, share and comment!
-
-
Doordash Cybersecurity Event: Data Breach DetailsThe food delivery service Doordash has notified customers of a cybersecurity event. This incident, detected on October 25, 2025, involved unauthorized access by a third party. The compromised data varies per individual but may encompass personal contact details. Affected information could include a user's full name and email address. It may also involve a physical home address and telephone...0 Comments 0 Shares 3 Views
-
The Pet Owner’s Secret Weapon: The Ultimate Portable Pet Hair Remover GuideFor those of us who share our hearts and homes with furry companions, shedding isn't just a seasonal event—it’s a daily reality. Whether you are heading into a high-stakes board meeting, a first date, or a dinner with friends, discovering a layer of golden retriever glitter on your navy blazer can be a frustrating hurdle. Traditional sticky rollers are bulky, often run out of sheets...0 Comments 0 Shares 6 Views
-
Mvua zafichua makaburi ya pamoja yenye miili kadhaa Uvira, Sud-Kivu.
Mvua kubwa zilizonyesha katika Mji wa Uvira, Mkoani Sud-Kivu mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, zimesababisha kugunduliwa kwa angalau makaburi matatu ya pamoja yaliyokuwa yamefukiwa kwa siri.
Kaburi la kwanza liligunduliwa karibu na ofisi ya Mpango wa Chakula Duniani (WFP) kwenye barabara ya Kavinvira, ambapo miili takriban 35 ilipatikana. Mvua hizo zilifichua baadhi ya maiti zilizokuwa zimefunikwa kwa udongo, hali iliyosababisha harufu kali iliyowatahadharisha wakazi wa eneo hilo.
Mbali na eneo hilo, kaburi lingine la pamoja limeripotiwa kupatikana katika kitongoji cha Kilomoni ndani ya Mji huo huo.
Aidha, katika makaburi ya Mji, Wanaharakati wa kiraia wanasema pia kuna uwezekano wa kuwepo kwa miili kadhaa zaidi. Takriban kilomita 30 kutoka hapo, katika Mji wa Sange, kaburi jingine linadaiwa kuwa na takriban waathiriwa kumi.
Katika muktadha wa vita vinavyoendelea mashariki mwa nchi, baadhi ya vyanzo vya ndani vinayahusisha makaburi hayo na Waasi wa M23, wanaodaiwa kuungwa mkono na Rwanda, tuhuma ambazo zimekuwa zikijirudia mara kwa mara katika mgogoro huo. Hata hivyo, wengine wanawalaumu wanamgambo wa kujilinda wanaojulikana kama Wazalendo.
Afisa mmoja wa ngazi ya juu ndani ya M23 alikiri kupitia chapisho kwamba baadhi ya makaburi ya pamoja yaliyopo Mikoa ya Sud-Kivu na Nord-Kivu yanahusishwa na operesheni za Afisa mmoja wa Waasi.
Wakazi tayari wamewasiliana na mamlaka za Mkoa kuhusu tukio hilo. Timu maalum zimefika katika maeneo husika ili kuyahifadhi na kufunika miili, ingawa hadi sasa hakuna uchimbaji rasmi uliofanyika.
Hali hiyo imeibua wasiwasi mkubwa kuhusu uhifadhi wa ushahidi muhimu.
Mashirika kadhaa yanataka kufanyika kwa uchimbaji wa miili kwa utaratibu rasmi, kufunguliwa kwa uchunguzi wa kisheria usioegemea upande wowote, pamoja na kutambuliwa kwa waathiriwa. Pia wanasisitiza umuhimu wa mazishi ya heshima na kuwafikisha mahakamani wanaodaiwa kuhusika.
Wito huo unaangazia umuhimu wa haki ya mpito na mapambano dhidi ya utamaduni wa kutoadhibiwa katika eneo hilo linalokumbwa na mzozo wa muda mrefu.Mvua zafichua makaburi ya pamoja yenye miili kadhaa Uvira, Sud-Kivu. Mvua kubwa zilizonyesha katika Mji wa Uvira, Mkoani Sud-Kivu mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, zimesababisha kugunduliwa kwa angalau makaburi matatu ya pamoja yaliyokuwa yamefukiwa kwa siri. Kaburi la kwanza liligunduliwa karibu na ofisi ya Mpango wa Chakula Duniani (WFP) kwenye barabara ya Kavinvira, ambapo miili takriban 35 ilipatikana. Mvua hizo zilifichua baadhi ya maiti zilizokuwa zimefunikwa kwa udongo, hali iliyosababisha harufu kali iliyowatahadharisha wakazi wa eneo hilo. Mbali na eneo hilo, kaburi lingine la pamoja limeripotiwa kupatikana katika kitongoji cha Kilomoni ndani ya Mji huo huo. Aidha, katika makaburi ya Mji, Wanaharakati wa kiraia wanasema pia kuna uwezekano wa kuwepo kwa miili kadhaa zaidi. Takriban kilomita 30 kutoka hapo, katika Mji wa Sange, kaburi jingine linadaiwa kuwa na takriban waathiriwa kumi. Katika muktadha wa vita vinavyoendelea mashariki mwa nchi, baadhi ya vyanzo vya ndani vinayahusisha makaburi hayo na Waasi wa M23, wanaodaiwa kuungwa mkono na Rwanda, tuhuma ambazo zimekuwa zikijirudia mara kwa mara katika mgogoro huo. Hata hivyo, wengine wanawalaumu wanamgambo wa kujilinda wanaojulikana kama Wazalendo. Afisa mmoja wa ngazi ya juu ndani ya M23 alikiri kupitia chapisho kwamba baadhi ya makaburi ya pamoja yaliyopo Mikoa ya Sud-Kivu na Nord-Kivu yanahusishwa na operesheni za Afisa mmoja wa Waasi. Wakazi tayari wamewasiliana na mamlaka za Mkoa kuhusu tukio hilo. Timu maalum zimefika katika maeneo husika ili kuyahifadhi na kufunika miili, ingawa hadi sasa hakuna uchimbaji rasmi uliofanyika. Hali hiyo imeibua wasiwasi mkubwa kuhusu uhifadhi wa ushahidi muhimu. Mashirika kadhaa yanataka kufanyika kwa uchimbaji wa miili kwa utaratibu rasmi, kufunguliwa kwa uchunguzi wa kisheria usioegemea upande wowote, pamoja na kutambuliwa kwa waathiriwa. Pia wanasisitiza umuhimu wa mazishi ya heshima na kuwafikisha mahakamani wanaodaiwa kuhusika. Wito huo unaangazia umuhimu wa haki ya mpito na mapambano dhidi ya utamaduni wa kutoadhibiwa katika eneo hilo linalokumbwa na mzozo wa muda mrefu.0 Comments 0 Shares 8 Views -
“Kwenye ile vita ya siku 12; ilipofika siku ya 3, walianza kuandika pale Twitter: kubaliani masharti yetu. Ilipofika siku ya 12, wenyewe waliomba kusitisha mapigano bila ya uwepo wa masharti yoyote. Nawakumbusha kwamba, iwapo watathubutu kufanya makosa, tutawapa somo litakalowaumiza kwa maisha yao yote”
- Abbas Araghchi, Waziri wa mambo ya nje wa Iran.“Kwenye ile vita ya siku 12; ilipofika siku ya 3, walianza kuandika pale Twitter: kubaliani masharti yetu. Ilipofika siku ya 12, wenyewe waliomba kusitisha mapigano bila ya uwepo wa masharti yoyote. Nawakumbusha kwamba, iwapo watathubutu kufanya makosa, tutawapa somo litakalowaumiza kwa maisha yao yote” - Abbas Araghchi, Waziri wa mambo ya nje wa Iran.0 Comments 0 Shares 8 Views -
Mapigano Kaskazini na Kusini mwa Kivu yazidi kupamba moto.
Katika hali ya mzozo unaoendelea Kivu, Waasi wa M23 ARC/AFC-Alliance Fleuve Congo wamezindua operesheni ya kulipiza kisasi dhidi ya nafasi za FARDC na washirika wake wa Wazalendo. Ripoti zinaonyesha kuwa Waasi hao wamefanikiwa kuchukua udhibiti wa baadhi ya maeneo, ikiwemo Luke, Katobotobo na Kasenyi, huku mapigano yakiendelea huko Kasinga, Mkoani Sud-Kivu.
Taarifa rasmi kutoka vyanzo vya ulinzi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo zinaeleza kwamba, “Wanajeshi wetu wanatumia drones kushambulia Rugezi, eneo lililopo kwenye milima ya Minembwe, Kusini mwa Kivu.” Hii inathibitisha kuwa jeshi linajitahidi kudhibiti hali ya usalama katika maeneo tofauti, hasa kusini mwa mkoa wa Kivu, huku mashambulizi ya drone yakiendelea.
Hali hii inaashiria ongezeko la ukali wa mapigano Kivu, ambapo pande zote zinajaribu kupata udhibiti wa maeneo muhimu, huku wananchi wakikabiliwa na hatari ya usalama wa maisha na mali zao.
Mapigano Kaskazini na Kusini mwa Kivu yazidi kupamba moto. Katika hali ya mzozo unaoendelea Kivu, Waasi wa M23 ARC/AFC-Alliance Fleuve Congo wamezindua operesheni ya kulipiza kisasi dhidi ya nafasi za FARDC na washirika wake wa Wazalendo. Ripoti zinaonyesha kuwa Waasi hao wamefanikiwa kuchukua udhibiti wa baadhi ya maeneo, ikiwemo Luke, Katobotobo na Kasenyi, huku mapigano yakiendelea huko Kasinga, Mkoani Sud-Kivu. Taarifa rasmi kutoka vyanzo vya ulinzi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo zinaeleza kwamba, “Wanajeshi wetu wanatumia drones kushambulia Rugezi, eneo lililopo kwenye milima ya Minembwe, Kusini mwa Kivu.” Hii inathibitisha kuwa jeshi linajitahidi kudhibiti hali ya usalama katika maeneo tofauti, hasa kusini mwa mkoa wa Kivu, huku mashambulizi ya drone yakiendelea. Hali hii inaashiria ongezeko la ukali wa mapigano Kivu, ambapo pande zote zinajaribu kupata udhibiti wa maeneo muhimu, huku wananchi wakikabiliwa na hatari ya usalama wa maisha na mali zao.0 Comments 0 Shares 7 Views -
Binti wa Kim Jong Un aonekana kwenye Gwaride la Kijeshi, azua maswali kuhusu uongozi wa baadaye.
Binti wa Kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong Un, ameonekana hadharani wakati wa gwaride la kijeshi lililofanyika katika Mji Mkuu wa Pyongyang, jambo ambalo limeongeza uvumi kuwa huenda anaandaliwa kuwa Mrithi wa baadaye wa uongozi wa taifa hilo.
Msichana huyo kijana anayejulikana kwa jina la Ju Ae alihudhuria tukio hilo kubwa lililofanyika kuhitimisha Kongamano la Tisa la Chama Tawala cha Workers' Party of Korea, tukio ambalo ni mojawapo ya muhimu zaidi katika ratiba ya kisiasa ya North Korea.
Wachambuzi wa siasa wamekuwa wakifuatilia kwa karibu mkutano huo wakitarajia kuona mabadiliko ya sera au ishara za mwelekeo wa uongozi wa baadaye.
Picha iliyochapishwa na shirika la habari la serikali, KCNA, ilimuonesha Ju Ae akiwa amesimama karibu na Baba yake pamoja na viongozi waandamizi wa kijeshi huku wakipongeza gwaride hilo.
Ingawa KCNA haikutoa maelezo ya wazi kuhusu jukumu la Binti huyo katika shughuli za gwaride, uwepo wake unaonekana kuongeza mjadala kuhusu suala la urithi wa uongozi katika mfumo wa kisiasa unaotegemea uhalali wa kifamilia wa nasaba ya Kim.
Kwa sasa, hakuna tamko rasmi lililotolewa kuhusu nafasi yake ya baadaye, lakini kuonekana kwake mara kwa mara katika matukio ya kitaifa kunaendelea kuchukuliwa na wengi kama ishara yenye uzito wa kisiasa.
Binti wa Kim Jong Un aonekana kwenye Gwaride la Kijeshi, azua maswali kuhusu uongozi wa baadaye. Binti wa Kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong Un, ameonekana hadharani wakati wa gwaride la kijeshi lililofanyika katika Mji Mkuu wa Pyongyang, jambo ambalo limeongeza uvumi kuwa huenda anaandaliwa kuwa Mrithi wa baadaye wa uongozi wa taifa hilo. Msichana huyo kijana anayejulikana kwa jina la Ju Ae alihudhuria tukio hilo kubwa lililofanyika kuhitimisha Kongamano la Tisa la Chama Tawala cha Workers' Party of Korea, tukio ambalo ni mojawapo ya muhimu zaidi katika ratiba ya kisiasa ya North Korea. Wachambuzi wa siasa wamekuwa wakifuatilia kwa karibu mkutano huo wakitarajia kuona mabadiliko ya sera au ishara za mwelekeo wa uongozi wa baadaye. Picha iliyochapishwa na shirika la habari la serikali, KCNA, ilimuonesha Ju Ae akiwa amesimama karibu na Baba yake pamoja na viongozi waandamizi wa kijeshi huku wakipongeza gwaride hilo. Ingawa KCNA haikutoa maelezo ya wazi kuhusu jukumu la Binti huyo katika shughuli za gwaride, uwepo wake unaonekana kuongeza mjadala kuhusu suala la urithi wa uongozi katika mfumo wa kisiasa unaotegemea uhalali wa kifamilia wa nasaba ya Kim. Kwa sasa, hakuna tamko rasmi lililotolewa kuhusu nafasi yake ya baadaye, lakini kuonekana kwake mara kwa mara katika matukio ya kitaifa kunaendelea kuchukuliwa na wengi kama ishara yenye uzito wa kisiasa.0 Comments 0 Shares 7 Views -
Binti wa Kim Jong Un aonekana kwenye Gwaride la Kijeshi, azua maswali kuhusu uongozi wa baadaye.
Binti wa Kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong Un, ameonekana hadharani wakati wa gwaride la kijeshi lililofanyika katika Mji Mkuu wa Pyongyang, jambo ambalo limeongeza uvumi kuwa huenda anaandaliwa kuwa Mrithi wa baadaye wa uongozi wa taifa hilo.
Msichana huyo kijana anayejulikana kwa jina la Ju Ae alihudhuria tukio hilo kubwa lililofanyika kuhitimisha Kongamano la Tisa la Chama Tawala cha Workers' Party of Korea, tukio ambalo ni mojawapo ya muhimu zaidi katika ratiba ya kisiasa ya North Korea.
Wachambuzi wa siasa wamekuwa wakifuatilia kwa karibu mkutano huo wakitarajia kuona mabadiliko ya sera au ishara za mwelekeo wa uongozi wa baadaye.
Picha iliyochapishwa na shirika la habari la serikali, KCNA, ilimuonesha Ju Ae akiwa amesimama karibu na Baba yake pamoja na viongozi waandamizi wa kijeshi huku wakipongeza gwaride hilo.
Ingawa KCNA haikutoa maelezo ya wazi kuhusu jukumu la Binti huyo katika shughuli za gwaride, uwepo wake unaonekana kuongeza mjadala kuhusu suala la urithi wa uongozi katika mfumo wa kisiasa unaotegemea uhalali wa kifamilia wa nasaba ya Kim.
Kwa sasa, hakuna tamko rasmi lililotolewa kuhusu nafasi yake ya baadaye, lakini kuonekana kwake mara kwa mara katika matukio ya kitaifa kunaendelea kuchukuliwa na wengi kama ishara yenye uzito wa kisiasa.
Toa maoni yako
#HabariBinti wa Kim Jong Un aonekana kwenye Gwaride la Kijeshi, azua maswali kuhusu uongozi wa baadaye. Binti wa Kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong Un, ameonekana hadharani wakati wa gwaride la kijeshi lililofanyika katika Mji Mkuu wa Pyongyang, jambo ambalo limeongeza uvumi kuwa huenda anaandaliwa kuwa Mrithi wa baadaye wa uongozi wa taifa hilo. Msichana huyo kijana anayejulikana kwa jina la Ju Ae alihudhuria tukio hilo kubwa lililofanyika kuhitimisha Kongamano la Tisa la Chama Tawala cha Workers' Party of Korea, tukio ambalo ni mojawapo ya muhimu zaidi katika ratiba ya kisiasa ya North Korea. Wachambuzi wa siasa wamekuwa wakifuatilia kwa karibu mkutano huo wakitarajia kuona mabadiliko ya sera au ishara za mwelekeo wa uongozi wa baadaye. Picha iliyochapishwa na shirika la habari la serikali, KCNA, ilimuonesha Ju Ae akiwa amesimama karibu na Baba yake pamoja na viongozi waandamizi wa kijeshi huku wakipongeza gwaride hilo. Ingawa KCNA haikutoa maelezo ya wazi kuhusu jukumu la Binti huyo katika shughuli za gwaride, uwepo wake unaonekana kuongeza mjadala kuhusu suala la urithi wa uongozi katika mfumo wa kisiasa unaotegemea uhalali wa kifamilia wa nasaba ya Kim. Kwa sasa, hakuna tamko rasmi lililotolewa kuhusu nafasi yake ya baadaye, lakini kuonekana kwake mara kwa mara katika matukio ya kitaifa kunaendelea kuchukuliwa na wengi kama ishara yenye uzito wa kisiasa. Toa maoni yako #Habari0 Comments 0 Shares 7 Views -