• HEBU LEO TUJIFUNZE KITU KWANZA Mwanamke mmoja mrembo aliyachoka maisha ya ndoa na alitaka kumuua mume wake.

    Asubuhi moja alimkimbilia mama yake na kumwambia "mama nimemchoka mume wangu siwezi tena kuvumilia upuuzi wake nataka kumuua lakini naogopa Sheria ya nchi itanifunga, tafadhali unaweza kunisaidia?"

    Mama yake akajibu:

    - Ndio binti yangu naweza kukusaidia, lakini, kuna kazi ndogo utatakiwa kufanya.

    Binti akauliza "kazi gani? Niko tayari na niko tayari kufanya kazi yoyote ili tu huyu mwanaume aondoke kwenye maishayangu"

    Sawa, mama yake akakubali,

    1..Itabidi urejeshe amani kwanza, ili mtu asije akakushuku siku akikutwa amekufa.

    2.. Itabidi ujirembe ili uonekane binti na wa kuvutia kwake

    3.. Unatakiwa kumtunza vizuri na kuwa mwenye shukrani kwake

    4.. Unatakiwa kuwa mvumilivu, mwenye upendo na usiwe na wivu sana, uwe na masikio zaidi ya kusikiliza, kuwa na heshima na utii zaidi.

    5. Tumia pesa yako kumuhudumia na usikasirike hata anapokosa pesa ya kununua chochote nyumbani..

    6. Usipaze sauti yako dhidi yake bali penda Amani na upendo vitawale ili siku atakapokufa, watu wasikufikirie vibaya waone jinsi gani umempoteza mtu uliyekuwa unampenda...

    " Je, unaweza kufanya yote hayo?". Mama yake aliuliza.

    "Ndiyo naweza." Alijibu

    "Sawa"

    "Chukua unga huu na uwe unamwekea kila siku kwenye chakula chake, utakuwa unamuua polepole."

    Baada ya siku 30 yule mwanamke alirudi kwa mama yake na kusema.

    "Mama sina nia ya kumuua mume wangu tena. Kwa sasa ninampenda kwa sababu amebadilika kabisa, sasa ni mume mtamu sana kuliko nilivyofikiria.Je! nifanye nini kuzuia sumu isimuue? Tafadhali nisaidie mama." Aliomba kwa sauti ya huzuni.

    Mama akajibu;

    "Usijali binti yangu. Nilichokupa ni Unga wa kawaida tu. Hautamuua. Wewe ndiye ulikuwa sumu ambayo ilikuwa inamuua mumeo polepole kwa mikwaruzano na chuki uliyokuwa umeibeba. Ulipoanza kumpenda, kumuheshimu na kumthamini, ulimwokoa"
    HEBU LEO TUJIFUNZE KITU KWANZA Mwanamke mmoja mrembo aliyachoka maisha ya ndoa na alitaka kumuua mume wake. Asubuhi moja alimkimbilia mama yake na kumwambia "mama nimemchoka mume wangu siwezi tena kuvumilia upuuzi wake nataka kumuua lakini naogopa Sheria ya nchi itanifunga, tafadhali unaweza kunisaidia?" Mama yake akajibu: - Ndio binti yangu naweza kukusaidia, lakini, kuna kazi ndogo utatakiwa kufanya. Binti akauliza "kazi gani? Niko tayari na niko tayari kufanya kazi yoyote ili tu huyu mwanaume aondoke kwenye maishayangu" Sawa, mama yake akakubali, 1..Itabidi urejeshe amani kwanza, ili mtu asije akakushuku siku akikutwa amekufa. 2.. Itabidi ujirembe ili uonekane binti na wa kuvutia kwake 3.. Unatakiwa kumtunza vizuri na kuwa mwenye shukrani kwake 4.. Unatakiwa kuwa mvumilivu, mwenye upendo na usiwe na wivu sana, uwe na masikio zaidi ya kusikiliza, kuwa na heshima na utii zaidi. 5. Tumia pesa yako kumuhudumia na usikasirike hata anapokosa pesa ya kununua chochote nyumbani.. 6. Usipaze sauti yako dhidi yake bali penda Amani na upendo vitawale ili siku atakapokufa, watu wasikufikirie vibaya waone jinsi gani umempoteza mtu uliyekuwa unampenda... " Je, unaweza kufanya yote hayo?". Mama yake aliuliza. "Ndiyo naweza." Alijibu "Sawa" "Chukua unga huu na uwe unamwekea kila siku kwenye chakula chake, utakuwa unamuua polepole." Baada ya siku 30 yule mwanamke alirudi kwa mama yake na kusema. "Mama sina nia ya kumuua mume wangu tena. Kwa sasa ninampenda kwa sababu amebadilika kabisa, sasa ni mume mtamu sana kuliko nilivyofikiria.Je! nifanye nini kuzuia sumu isimuue? Tafadhali nisaidie mama." Aliomba kwa sauti ya huzuni. Mama akajibu; "Usijali binti yangu. Nilichokupa ni Unga wa kawaida tu. Hautamuua. Wewe ndiye ulikuwa sumu ambayo ilikuwa inamuua mumeo polepole kwa mikwaruzano na chuki uliyokuwa umeibeba. Ulipoanza kumpenda, kumuheshimu na kumthamini, ulimwokoa"
    Like
    Love
    Sad
    17
    7 Commenti 0 condivisioni 780 Views
  • Love
    1
    0 Commenti 0 condivisioni 60 Views
  • Love
    1
    0 Commenti 0 condivisioni 62 Views
  • Jamn habari za jioni, hii ni tatzo langu pekeangu ama ni hakuna huduma ya inbox kweny app hii maana nmejaribu sana kuwaendea watu inbox (message direct) lakin naletewa hvo km mnavyoona kwenye picha [Neemadish]
    Jamn habari za jioni, hii ni tatzo langu pekeangu ama ni hakuna huduma ya inbox kweny app hii maana nmejaribu sana kuwaendea watu inbox (message direct) lakin naletewa hvo km mnavyoona kwenye picha [Neemadish]
    Love
    1
    0 Commenti 0 condivisioni 63 Views
  • Picha hii ilipigwa msimu uliopita nchini Uholanzi,ambapo mchezaji wa klabu ya Spart Rotterdam akimkaba mchezaji wa klabu ya Ajax Amsterdam kwenye ligi ya watoto chini ya umri wa miaka 15 nchini Uholanzi.

    MWAMBA huyo pichani Kwa mujibu wa nyaraka Zake za kuzaliwa zinaeleza kuwa ana umri wa miaka 14 na siku 288 hajafikisha miaka 25 Bado.

    Follow me every where @Baraka lopoi
    Picha hii ilipigwa msimu uliopita nchini Uholanzi,ambapo mchezaji wa klabu ya Spart Rotterdam akimkaba mchezaji wa klabu ya Ajax Amsterdam kwenye ligi ya watoto chini ya umri wa miaka 15 nchini Uholanzi. MWAMBA huyo pichani Kwa mujibu wa nyaraka Zake za kuzaliwa zinaeleza kuwa ana umri wa miaka 14 na siku 288 hajafikisha miaka 25 Bado. Follow me every where @Baraka lopoi
    Love
    1
    1 Commenti 0 condivisioni 170 Views
  • Like
    Love
    2
    1 Commenti 0 condivisioni 63 Views
  • Simuombi Mungu anipe mzigo mwepesi, Bali namuomba Mungu anipe Mabega makubwa yakuweza kubeba Mzigo wowote ule.
    Simuombi Mungu anipe mzigo mwepesi, Bali namuomba Mungu anipe Mabega makubwa yakuweza kubeba Mzigo wowote ule.
    Like
    Love
    5
    1 Commenti 0 condivisioni 112 Views
  • Like
    Love
    6
    2 Commenti 0 condivisioni 88 Views
  • 😪
    Like
    2
    3 Commenti 0 condivisioni 65 Views
  • Like
    2
    0 Commenti 0 condivisioni 95 Views