• How can we explain this
    How can we explain this😁
    Like
    Love
    Haha
    19
    5 Comentários 0 Compartilhamentos 362 Visualizações
  • Mpk sasa matokeo EURO ni Spain 3-0 Croatia dkk 82
    Mpk sasa matokeo EURO ni Spain 🇪🇸 3-0 Croatia 🇭🇷 dkk 82
    Like
    Love
    2
    0 Comentários 0 Compartilhamentos 768 Visualizações
  • Mnyamaaa
    Mnyamaaa
    Like
    Love
    2
    0 Comentários 0 Compartilhamentos 766 Visualizações
  • Mpk hapo al ahly 1 yanga 0 kabla ya uwanjan
    Mpk hapo al ahly 1 yanga 0 kabla ya uwanjan
    Like
    Love
    2
    1 Comentários 0 Compartilhamentos 779 Visualizações
  • Sis hatuhtaj pesa km mahar ya dogo, ngombe 100 tu mchukue
    Sis hatuhtaj pesa km mahar ya dogo, ngombe 100 tu mchukue
    Like
    Love
    2
    0 Comentários 0 Compartilhamentos 840 Visualizações
  • YAJUE HAYA KUHUSU MISITU YA AMAZON.
    1: Msitu wa Amazon ndio msitu mkubwa zaidi duniani unaopatikana huko America kusini.

    2: kama ulifikiri msitu huu unapatikana Brazil pekee jibu ni hapana msitu huu umegawanyika katika nchi tisa nchi hizo ni Blazil 60% peru 13% colombia 10% na mataifa mengine kama Venezuela, Ecuador, bolvia, guyana, suriname na France guiana.

    3: Msitu huu una eneo lenye ukubwa wa kilomita za mraba 5,500,000 ( Milioni 5) yani kwa ukubwa huu nchi ya TANZANIA iingie mara 6 kwenye msitu huo.

    4: kwa mujibu wa wanasayansi wa mimea msitu wa Amazon una umri wa miaka zaidi ya million 55

    5: Msitu wa Amazon unakadiriwa kuwa na miti billion 400 na aina mbalimbali za miti zaidi ya 160,000 pia kuna miti ya matunda tofauti tofauti elfu tatu katika msitu huo.

    6: Mchanga wa jangwa la sahara hupeperushwa na upepo hupita juu ya bahari Atlantic hadi katika msitu wa amazon ambako hurutubisha katika msitu huo.

    7: katika msitu wa amazon kuna mto umekatisha mto huo unaitwa mto amazon huu ndio mtu mkubwa zaidi duniani na unaingiza maji baharini mara 5 ya mito mingine maajabu ya mto huu kuna muda haueleweki kuna kipindi unapeleka maji kinyume badala ya maji kwenda mashariki yana kuwa yana toka mashariki kwenda magharibi.

    8: Asilimia 20% ya oxygen iliyopo dunia inatengenezwa katika msitu wa amazon acha hili pia zaidi ya asilimia 70% ya madawa ya kisasa yana tengenezwa kwa kutumia miti inayo patikana ndani ya msitu wa amazon. Ndio maana unaitwa mapafu ya dunia.

    9: katika msitu wa amazon kuna makabila zaidi ya 50 yana ishi hapo watu wameishi kwa maelfu ya miaka iliyo pita lakini watu hao wamekuja kuonekana miaka ya hivi karibuni.

    10: Green anaconda
    Hawa ndio nyoka wakubwa zaidi duniani kwa sasa ni aina ya nyoka wanao patikana msitu wa amazon pekee wana rangi ya kijani na madoa meusi.

    11: poison dork frog
    Ni aina ya vyura wanaopatikana msitu wa amazon pekee wana sumu kali katika migongo yao ..
    YAJUE HAYA KUHUSU MISITU YA AMAZON. 1: Msitu wa Amazon ndio msitu mkubwa zaidi duniani unaopatikana huko America kusini. 2: kama ulifikiri msitu huu unapatikana Brazil pekee jibu ni hapana msitu huu umegawanyika katika nchi tisa nchi hizo ni Blazil 60% peru 13% colombia 10% na mataifa mengine kama Venezuela, Ecuador, bolvia, guyana, suriname na France guiana. 3: Msitu huu una eneo lenye ukubwa wa kilomita za mraba 5,500,000 ( Milioni 5) yani kwa ukubwa huu nchi ya TANZANIA iingie mara 6 kwenye msitu huo. 4: kwa mujibu wa wanasayansi wa mimea msitu wa Amazon una umri wa miaka zaidi ya million 55 5: Msitu wa Amazon unakadiriwa kuwa na miti billion 400 na aina mbalimbali za miti zaidi ya 160,000 pia kuna miti ya matunda tofauti tofauti elfu tatu katika msitu huo. 6: Mchanga wa jangwa la sahara hupeperushwa na upepo hupita juu ya bahari Atlantic hadi katika msitu wa amazon ambako hurutubisha katika msitu huo. 7: katika msitu wa amazon kuna mto umekatisha mto huo unaitwa mto amazon huu ndio mtu mkubwa zaidi duniani na unaingiza maji baharini mara 5 ya mito mingine maajabu ya mto huu kuna muda haueleweki kuna kipindi unapeleka maji kinyume badala ya maji kwenda mashariki yana kuwa yana toka mashariki kwenda magharibi. 8: Asilimia 20% ya oxygen iliyopo dunia inatengenezwa katika msitu wa amazon👏 acha hili pia zaidi ya asilimia 70% ya madawa ya kisasa yana tengenezwa kwa kutumia miti inayo patikana ndani ya msitu wa amazon. Ndio maana unaitwa mapafu ya dunia. 9: katika msitu wa amazon kuna makabila zaidi ya 50 yana ishi hapo watu wameishi kwa maelfu ya miaka iliyo pita lakini watu hao wamekuja kuonekana miaka ya hivi karibuni. 10: Green anaconda Hawa ndio nyoka wakubwa zaidi duniani kwa sasa ni aina ya nyoka wanao patikana msitu wa amazon pekee wana rangi ya kijani na madoa meusi. 11: poison dork frog Ni aina ya vyura wanaopatikana msitu wa amazon pekee wana sumu kali katika migongo yao ..
    Love
    1
    0 Comentários 0 Compartilhamentos 1KB Visualizações
  • Like
    Love
    4
    1 Comentários 0 Compartilhamentos 55 Visualizações
  • Like
    4
    1 Comentários 0 Compartilhamentos 56 Visualizações
  • Like
    4
    1 Comentários 0 Compartilhamentos 56 Visualizações
  • Like
    5
    1 Comentários 0 Compartilhamentos 61 Visualizações