
-
#If you want to get financial freedom "try to invest on crypto"#If you want to get financial freedom "try to invest on crypto"😄
-
" Tujifunze kutokana na makosa ya jana" #mlowela" Tujifunze kutokana na makosa ya jana" #mlowela
-
Mdomo mdomo umeua ndoto za watu wengi sana, Mipango ya maendeleo yako ifanye kuwa siri.Mdomo mdomo umeua ndoto za watu wengi sana, Mipango ya maendeleo yako ifanye kuwa siri.
-
Dear Lord…. Asante kwa upendo wako, huruma na msamaha. Tushike mkono tuvuke salama leo! Good morningDear Lord…. Asante kwa upendo wako, huruma na msamaha. Tushike mkono tuvuke salama leo! Good morning
-
Tamaa ni kiu isio kwisha jifunze kuridhika kutosheka na ulicho nacho.Tamaa ni kiu isio kwisha jifunze kuridhika kutosheka na ulicho nacho.
-
Branding !
Mganga - Daktari
Mmbea - Mtangazaji
Muongo - Mwanasiasa
Muuza madawa - Pharmacist
Majambazi - Watoza ushuru
Branding ! Mganga - Daktari Mmbea - Mtangazaji Muongo - Mwanasiasa Muuza madawa - Pharmacist Majambazi - Watoza ushuru -
Dalili moja wapo ya kuonyesha ume kuwa akili, hisia na maamuzi ni kuto ku lazimisha kupendwa, shtuka usingizini.Dalili moja wapo ya kuonyesha ume kuwa akili, hisia na maamuzi ni kuto ku lazimisha kupendwa, shtuka usingizini.
-
-
Sali sana kuna watu kuanguka kwako ni moja ya maombi yao.!Sali sana kuna watu kuanguka kwako ni moja ya maombi yao.!