Kocha wa magolikipa Simba Daniel Cadena anasema Kwa sasa Simba Kwa upande wake anaona wanapaswa kuondosha watu wote ndani ya klabu na kuanza upya
.
Kocha huyo anasema kuwa Simba Kwa sasa inahitaji "PROFESSIONAL PEOPLE" watu wenye Ueledi , wasipewe nafasi sababu wanajuana na watu au Sababu wanaijua Sana Simba bali wanahitaji watu wenye Ueledi na taaluma
.
Daniel Cadena ambaye alikuwa kocha wa magolikipa Simba ameamua kuondoka Simba baada ya mkataba wake kuisha mwishoni mwa Msimu huu
KARIBU KWENYE GROUP LETU TUFURAHI
LINK haziruhusiwi
VIDEO,stika za ngono haziruhusiwi
Charting is free
Remove uhakika
Link hiyo :https://chat.whatsapp.com/JkzdxoPNkS2L0UPwAYZtrL