Rezultatele cautarii
Vedeti tot
Socialpop Socialpop Socialpop
Home
Grupuri
Pagini
Marketplace
Arata mai mult
Grupuri Pagini Marketplace Events Blogs Funding Offers Jobs Courses Forums Movies
Conecteaza-te
Conecteaza-te Inscrie-te
Theme Switcher
Night Mode
Director
Utilizatori
Postari
Pagini
Grupuri
Events
  • Raymond Stephen @Proxy
    2024-06-13 04:20:56 ·
    Kama akikwambia umpe Sex ili ku-prove kwamba unampenda, asilimia kubwa mtu huyo anakutumia. Kama yupo kwako kwa ajili ya namna unavyompa Sex vizuri, basi aliye vizuri zaidi atamchukua pia. Ni kama vile mwanamke aliye na Mwanaume kwa ajili ya pesa zake.
    Kama akikwambia umpe Sex ili ku-prove kwamba unampenda, asilimia kubwa mtu huyo anakutumia. Kama yupo kwako kwa ajili ya namna unavyompa Sex vizuri, basi aliye vizuri zaidi atamchukua pia. Ni kama vile mwanamke aliye na Mwanaume kwa ajili ya pesa zake.
    Like
    Love
    4
    · 1 Commentarii ·0 Distribuiri ·100 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Raymond Stephen @Proxy
    2024-06-13 04:21:21 ·
    Huku tunaona anapostiwa Halafu Caption wanaandika tu, SINZA
    Huku tunaona anapostiwa Halafu Caption wanaandika tu, SINZA
    Like
    Love
    4
    · 2 Commentarii ·0 Distribuiri ·44 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Raymond Stephen @Proxy
    2024-06-13 04:21:54 ·
    Usiombe U-date na na mama ntilie halafu akuache, Yaani kila ukipigwa na njaa Unamkumbuka.
    Usiombe U-date na na mama ntilie halafu akuache, Yaani kila ukipigwa na njaa Unamkumbuka.
    Like
    Love
    4
    · 1 Commentarii ·0 Distribuiri ·77 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Raymond Stephen @Proxy
    2024-06-13 04:22:23 ·
    Watakuja kwako kukuaminisha wanakupenda kwa dhati, Ila nikukumbushe kitu sisimizi huwa anaondoka pindi tu sukari ikiisha
    Watakuja kwako kukuaminisha wanakupenda kwa dhati, Ila nikukumbushe kitu sisimizi huwa anaondoka pindi tu sukari ikiisha
    Like
    Love
    4
    · 1 Commentarii ·0 Distribuiri ·45 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Raymond Stephen @Proxy
    2024-06-13 04:22:48 ·
    Ikitokea mmeachana na mtu kwenye mahusiano zaidi ya mara mbili na mkarudiana tena. Hilo husiano haliwezi kufa.
    Ikitokea mmeachana na mtu kwenye mahusiano zaidi ya mara mbili na mkarudiana tena. Hilo husiano haliwezi kufa.
    Like
    Love
    4
    · 1 Commentarii ·0 Distribuiri ·51 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Raymond Stephen @Proxy
    2024-06-13 04:23:33 ·
    Kama utafunga nae Ndoa kwa misingi ya good sex, hii ni hatari kwa ndoa yako kwa sababu itafika kipindi hutaweza kumridhisha kama awali.

    Funga nae ndoa kwa sababu amekupenda, amekuheshimu, anahisia na wewe, bond yenu ni kali na anataka ku-spend the REST OF HIS LIFE WITH YOU.
    Kama utafunga nae Ndoa kwa misingi ya good sex, hii ni hatari kwa ndoa yako kwa sababu itafika kipindi hutaweza kumridhisha kama awali. Funga nae ndoa kwa sababu amekupenda, amekuheshimu, anahisia na wewe, bond yenu ni kali na anataka ku-spend the REST OF HIS LIFE WITH YOU.
    Love
    Like
    5
    · 1 Commentarii ·0 Distribuiri ·156 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Raymond Stephen @Proxy
    2024-06-13 04:24:03 ·
    Sex sio Mapenzi. Na mapenzi sio Sex. Unaweza ukawa unafanya nae Sex lakini akawa hana mapenzi na wewe. Mtu anaweza akakuchukia na asikupende lakini akafanya sex na wewe.
    Sex sio Mapenzi. Na mapenzi sio Sex. Unaweza ukawa unafanya nae Sex lakini akawa hana mapenzi na wewe. Mtu anaweza akakuchukia na asikupende lakini akafanya sex na wewe.
    Love
    Like
    6
    · 2 Commentarii ·0 Distribuiri ·126 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Raymond Stephen @Proxy
    2024-06-13 04:24:38 ·
    Akili ni kama malighafi, inanguvu kuliko fedha, kwa sababu, akili ni chanzo cha fedha, panapo akili fedha hufuata hata kama kwa kuchelewa
    Akili ni kama malighafi, inanguvu kuliko fedha, kwa sababu, akili ni chanzo cha fedha, panapo akili fedha hufuata hata kama kwa kuchelewa
    Love
    Like
    6
    · 1 Commentarii ·0 Distribuiri ·77 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Raymond Stephen @Proxy
    2024-06-13 04:25:20 ·
    Mwanaume anaweza kukupa hela zake, Na bado akawa Hakupendi.
    Mwanaume anaweza kukupa hela zake, Na bado akawa Hakupendi.
    Love
    Like
    Haha
    6
    · 2 Commentarii ·0 Distribuiri ·100 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Raymond Stephen @Proxy
    2024-06-13 04:26:29 ·
    Familia yako ndio team yako hata siku ukishuka daraja itashuka na wewe, Ipende sana familia yako.
    Familia yako ndio team yako hata siku ukishuka daraja itashuka na wewe, Ipende sana familia yako.
    Love
    Like
    6
    · 1 Commentarii ·0 Distribuiri ·126 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Afiseaza (5361-5370 de 29239)
  • «
  • Anterior
  • 535
  • 536
  • 537
  • 538
  • 539
  • Următor
  • »
Upgrade to Pro
Alege planul care ți se potrivește
Upgrade
© 2025 Socialpop
Romaian
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
About Termeni Confidențialitate Contacteaza-ne Director Developers