
-
-
-
Ficha maumivu yako ili uzidi kuwapa tumaini wale wanao kutegemea.Ficha maumivu yako ili uzidi kuwapa tumaini wale wanao kutegemea.
-
Ushike hela, halafu zipotee ghafla na watu wako wapotee, ukizishika tena sidhani kama utakua mjinga tena
Yaani watasimuliana namna umekua na roho mbaya.Ushike hela, halafu zipotee ghafla na watu wako wapotee, ukizishika tena sidhani kama utakua mjinga tena 😄 Yaani watasimuliana namna umekua na roho mbaya. -
Katika kila group la whatsapp lazima kuna mtu tu atatokea anatuma vitu nje ya lengo la groupKatika kila group la whatsapp lazima kuna mtu tu atatokea anatuma vitu nje ya lengo la group
-
Jaman kwan wenzngu uki mfuata inbox mtu humu social pop page zenu zna funguka?Jaman kwan wenzngu uki mfuata inbox mtu humu social pop page zenu zna funguka?
-
-
-