• Waziri wa Mambo ya Ndani, Eng. Hamad Masauni amesema kuanzia July, 2023 hadi April, 2024 jumla ya vitambulisho 7,698,819 vimezalishwa na hivyo kufanya jumla ya vitambulisho vilivyozalishwa kufikia 20,578,325 sawa na asilimia 99 ya idadi ya Namba za Utambulisho 20,701,956 zilizozalishwa ambapo ametoa rai kwa Wananchi wote ambao bado hawajachukua vitambulisho vyao vya Taifa kufika katika ofisi za Serikali za Mitaa walipojiandikisha kwa ajili ya kuvichukua.

    Akiwasilisha Bungeni Jijini Dodoma Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Fedha kwa Mwaka 2024/2025, Masauni amesema “Katika mwaka 2024/25 Shilingi bilioni 2.9 zimetengwa kwa ajili ya kusajili na kutambua Watu 2,389,290 wenye umri wa kuanzia miaka 18 na kuendelea, lengo la Serikali ni kuhakikisha kuwa kila Mwananchi mwenye namba ya Utambulisho Tanzania Bara na Zanzibar anapata Kitambulisho cha Taifa”

    “Hadi Aprili, 2024 NIDA imeunganisha Taasisi 21 katika mfumo wa usajili na utambuzi, hivyo kufanya jumla ya taasisi zilizounganishwa kufikia 107, katika mwaka wa fedha 2024/25 jumla ya Taasisi 35 za umma na binafsi zinatarajiwa kuunganishwa katika mfumo huo ili kuwezesha ushirikishanaji wa taarifa na hivyo kuchochea shughuli za kiuchumi na kijamii, naomba nitumie fursa hii kuwahamasisha watoa huduma kujiunga na Mfumo wa NIDA ili kuwezesha upatikanaji wa taarifa sahihi za Wateja”
    #MillardAyoUPDATES
    Waziri wa Mambo ya Ndani, Eng. Hamad Masauni amesema kuanzia July, 2023 hadi April, 2024 jumla ya vitambulisho 7,698,819 vimezalishwa na hivyo kufanya jumla ya vitambulisho vilivyozalishwa kufikia 20,578,325 sawa na asilimia 99 ya idadi ya Namba za Utambulisho 20,701,956 zilizozalishwa ambapo ametoa rai kwa Wananchi wote ambao bado hawajachukua vitambulisho vyao vya Taifa kufika katika ofisi za Serikali za Mitaa walipojiandikisha kwa ajili ya kuvichukua. Akiwasilisha Bungeni Jijini Dodoma Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Fedha kwa Mwaka 2024/2025, Masauni amesema “Katika mwaka 2024/25 Shilingi bilioni 2.9 zimetengwa kwa ajili ya kusajili na kutambua Watu 2,389,290 wenye umri wa kuanzia miaka 18 na kuendelea, lengo la Serikali ni kuhakikisha kuwa kila Mwananchi mwenye namba ya Utambulisho Tanzania Bara na Zanzibar anapata Kitambulisho cha Taifa” “Hadi Aprili, 2024 NIDA imeunganisha Taasisi 21 katika mfumo wa usajili na utambuzi, hivyo kufanya jumla ya taasisi zilizounganishwa kufikia 107, katika mwaka wa fedha 2024/25 jumla ya Taasisi 35 za umma na binafsi zinatarajiwa kuunganishwa katika mfumo huo ili kuwezesha ushirikishanaji wa taarifa na hivyo kuchochea shughuli za kiuchumi na kijamii, naomba nitumie fursa hii kuwahamasisha watoa huduma kujiunga na Mfumo wa NIDA ili kuwezesha upatikanaji wa taarifa sahihi za Wateja” #MillardAyoUPDATES
    Like
    Love
    12
    · 4 Comments ·0 Shares ·778 Views
  • LIFE DRIVEN PURPOSE

    Tsh10000
    What on Earth am here for
    What on Earth am here for
    In stock ·New
    MZUMBE
    Like
    Love
    5
    · 0 Comments ·0 Shares ·833 Views
  • This is a international online bank do you know?
    This is a international online bank do you know?
    Like
    Love
    5
    · 3 Comments ·0 Shares ·100 Views
  • 0 Comments ·0 Shares ·237 Views
  • Like
    2
    · 0 Comments ·0 Shares ·270 Views
  • Like
    2
    · 1 Comments ·0 Shares ·271 Views
  • https://www.binance.com/en/activity/referral-entry/CPA/together-v3?ref=CPA_00EXTXWTMC

    Join Binance today
    https://www.binance.com/en/activity/referral-entry/CPA/together-v3?ref=CPA_00EXTXWTMC Join Binance today
    Crypto Exchange Referral Program | Binance Official
    www.binance.com
    Want to earn more Bitcoin? Join Binance using my referral link and you could get up to 0.018 BTC for free!
    Love
    Like
    4
    · 4 Comments ·0 Shares ·272 Views
  • Love
    Like
    3
    · 2 Comments ·0 Shares ·235 Views
  • Like
    2
    · 0 Comments ·0 Shares ·268 Views
  • Like
    2
    · 0 Comments ·0 Shares ·262 Views