• Baba nioneshe Njia, Mama Niombee Kwa Mungu!!
    Ili Nisipoteze Nia, Kwa Hivi Vitu Vya Mzungu!!
    Dunia Tambara, Bovu!!
    Tunatoana Kafara, Nakuendekeza Maovu!!
    Hii Ni Vita Mgambo huna Cheo!!
    Risas zinazomiminika Huwez Ona Upeo!!
    Namilik silaha nch sita Naua mpk wakuu hua Sina Upendeleo!!!
    Baba nioneshe Njia, Mama Niombee Kwa Mungu!! Ili Nisipoteze Nia, Kwa Hivi Vitu Vya Mzungu!! Dunia Tambara, Bovu!! Tunatoana Kafara, Nakuendekeza Maovu!! Hii Ni Vita Mgambo huna Cheo!! Risas zinazomiminika Huwez Ona Upeo!! Namilik silaha nch sita Naua mpk wakuu hua Sina Upendeleo!!!
    0 Kommentare ·0 Anteile ·385 Ansichten
  • Uliekutana nae week 3 zilizopita anaweza kuwa bora zaidi ya uliekaa nae miaka mi 3
    Uliekutana nae week 3 zilizopita anaweza kuwa bora zaidi ya uliekaa nae miaka mi 3
    0 Kommentare ·0 Anteile ·67 Ansichten
  • Milegezo Mwake, Bata Wanawake!!
    Baa Wacha Wacheke, Home Njaa Iwateke!!
    to be continued..................................................✍︎
    Milegezo Mwake, Bata Wanawake!! Baa Wacha Wacheke, Home Njaa Iwateke!! to be continued..................................................✍︎
    0 Kommentare ·0 Anteile ·191 Ansichten
  • Usijalibu kuenda na wakati acha wakati uende wenyewe !!
    kujihisi una kismati ,,apo unajiroga wewe !!
    Umekologa ww ilo nzege ,,ulitaka amalize nani !!
    Acha uzembe ,,maisha hayanaga utani !!
    kukata tamaa ni dhambi zaidi ya Ku cheat !!
    Maana bila hatia ndoto zako una zilawiti !!
    Hold on my niggah
    If you point the enemy let finger in trigger!!
    jigger" pointless its to be hurt broken!!
    Less action than you spoken !!
    4--5 formation world rotation !!
    never run out of plans motivation!!
    Msisitizo kuto kukata tamaa !!
    We uza ata sisal ata Ku bless jaah !!
    nyota huwa inang'aa usiku ,,ata mchana IPO !!
    Jua ulizaliwa bila kitu ,,kupata sio simple !!
    Sio jiko sio mshiko trusted people!!
    Binadamu ni wamungu mmoja but we can't be egual !!
    And you better be humble like stranger in the jungle !!
    Toka kitambo unahisi umeumbiwa shida !!
    Kila mtu suffer tofauti ni muda !!
    Usijalibu kuenda na wakati acha wakati uende wenyewe !! kujihisi una kismati ,,apo unajiroga wewe !! Umekologa ww ilo nzege ,,ulitaka amalize nani !! Acha uzembe ,,maisha hayanaga utani !! kukata tamaa ni dhambi zaidi ya Ku cheat !! Maana bila hatia ndoto zako una zilawiti !! Hold on my niggah If you point the enemy let finger in trigger!! jigger" pointless its to be hurt broken!! Less action than you spoken !! 4--5 formation world rotation !! never run out of plans motivation!! Msisitizo kuto kukata tamaa !! We uza ata sisal ata Ku bless jaah !! nyota huwa inang'aa usiku ,,ata mchana IPO !! Jua ulizaliwa bila kitu ,,kupata sio simple !! Sio jiko sio mshiko trusted people!! Binadamu ni wamungu mmoja but we can't be egual !! And you better be humble like stranger in the jungle !! Toka kitambo unahisi umeumbiwa shida !! Kila mtu suffer tofauti ni muda !!
    0 Kommentare ·0 Anteile ·1KB Ansichten
  • Nataka kutofautisha kati ya rapa na mchanaji//

    kuna papa na mchungaji//

    na wauza papa bila mtaji//

    wasojua na wenye vipaji//

    vina vimejaa ka takataka kwa dampo//

    ruksa kushangaa kama nime selfi na rambo//

    oya usinipme kwa voko//

    furaha ya nafsi kama demu alopewa mtoko//
    Nataka kutofautisha kati ya rapa na mchanaji// kuna papa na mchungaji// na wauza papa bila mtaji// wasojua na wenye vipaji// vina vimejaa ka takataka kwa dampo// ruksa kushangaa kama nime selfi na rambo// oya usinipme kwa voko// furaha ya nafsi kama demu alopewa mtoko//
    0 Kommentare ·0 Anteile ·63 Ansichten
  • FM za DOM bado sio sitaki tu kusikiliza
    sitaki kabisa kujihusisha!!
    nina time za kutosha!!
    WHACK mc na wasonga kama ugali
    Wanaimba nyimbo za chekechea wasikike[watangazaji wa FM DOM]
    sifagili mtangazaji anayebana HIP HOP/
    usoni wa MBUZI
    REST IN PEACE KWA RADIO ZA KISORO ZOTE DOM ZINAZOBANIA OLD SCHOOL HIP HOP NAKUWATUKUZA MAWHACK WAO
    REST IN PEACE
    FM za DOM bado sio sitaki tu kusikiliza sitaki kabisa kujihusisha!! nina time za kutosha!! WHACK mc na wasonga kama ugali Wanaimba nyimbo za chekechea wasikike[watangazaji wa FM DOM] sifagili mtangazaji anayebana HIP HOP/ usoni wa MBUZI REST IN PEACE KWA RADIO ZA KISORO ZOTE DOM ZINAZOBANIA OLD SCHOOL HIP HOP NAKUWATUKUZA MAWHACK WAO REST IN PEACE
    0 Kommentare ·0 Anteile ·68 Ansichten
  • Tatizo la vijana sisi tunaamini kuna kazi ya kufanya siku mbili na kutajirika tunasahau #kidogo ndio hujaza akiba,
    Tatizo la vijana sisi tunaamini kuna kazi ya kufanya siku mbili na kutajirika tunasahau #kidogo ndio hujaza akiba,
    0 Kommentare ·0 Anteile ·69 Ansichten

  • kutokuajiriwa kulikuwa kipimo tosha cha elimu bora mliyoipata lkn kelele zenu zinatuonyesha jinsi mlivyojitahidi kujaza karatasi kwa maelezo yasiyojaa vitendo
    kutokuajiriwa kulikuwa kipimo tosha cha elimu bora mliyoipata lkn kelele zenu zinatuonyesha jinsi mlivyojitahidi kujaza karatasi kwa maelezo yasiyojaa vitendo
    0 Kommentare ·0 Anteile ·669 Ansichten
  • MUNGU ALIMTOA MWANAE WA PEKEE AOKOE ULIMWENGU NA BAADAE AKARUDI KWAKE...... (Huwa unashukuru)

    WEWE KUTOA GARI LAKO LA PEKEE LIPELEKE MSIBA/MGONJWA NA BAADAE URUDISHIWE.....
    ¶UNAWAZA MAFUTA.
    ¶UTAWAZA SHOKAPU.
    ¶UTAWAZA MEEEENGIIII MWISHONI UTASEMA nimelitoa juzi tu service na nimegharamia kweli....

    #dear ukifa ulazwe hapo hapo unapolaza gari.

    #wachache_tanzania_watu.

    j. Pili ijayo usiitii ya kanisa.
    MUNGU ALIMTOA MWANAE WA PEKEE AOKOE ULIMWENGU NA BAADAE AKARUDI KWAKE...... (Huwa unashukuru) WEWE KUTOA GARI LAKO LA PEKEE LIPELEKE MSIBA/MGONJWA NA BAADAE URUDISHIWE..... ¶UNAWAZA MAFUTA. ¶UTAWAZA SHOKAPU. ¶UTAWAZA MEEEENGIIII MWISHONI UTASEMA nimelitoa juzi tu service na nimegharamia kweli.... #dear ukifa ulazwe hapo hapo unapolaza gari. #wachache_tanzania_watu. 🔕j. Pili ijayo usiitii 🔕 ya kanisa.
    0 Kommentare ·0 Anteile ·189 Ansichten
  • Mungu kwanza Moyo unafuata.......dunda kwa miguu miaka yako uone kazi ya moyo ilivyo ngumu achilia mbali kuvumilia maumivu ya waja na mapenzi ya ex's mbwa wale sijui wanaanzaje kuingia kwenye maisha yetu
    Mungu kwanza Moyo unafuata.......dunda kwa miguu miaka yako uone kazi ya moyo ilivyo ngumu achilia mbali kuvumilia maumivu ya waja na mapenzi ya ex's mbwa wale sijui wanaanzaje kuingia kwenye maisha yetu
    0 Kommentare ·0 Anteile ·163 Ansichten