• Kumiliki na kutawala ni vitu viwili vinavyohitaji mafunzo ya kina ili mtawala ajijue yeye si mmiliki na mmiliki ajue yeye sio mtawala.
    Kumiliki na kutawala ni vitu viwili vinavyohitaji mafunzo ya kina ili mtawala ajijue yeye si mmiliki na mmiliki ajue yeye sio mtawala.
    0 Comments ·0 Shares ·70 Views
  • Kwa mara ya kwanza nimeshuhudia Timu
    iliyoshinda na Timu iliyofungwa zote
    zikiondoka Uwanjani bila furaha...Tena
    aliyefungwa akiwa na tabasamu kwa mbaaaali!
    Hii inaitwa bora tukose wote
    Kwa mara ya kwanza nimeshuhudia Timu iliyoshinda na Timu iliyofungwa zote zikiondoka Uwanjani bila furaha...Tena aliyefungwa akiwa na tabasamu kwa mbaaaali! Hii inaitwa bora tukose wote
    0 Comments ·0 Shares ·105 Views
  • Kwa mara ya kwanza nimeshuhudia Timu
    iliyoshinda na Timu iliyofungwa zote
    zikiondoka Uwanjani bila furaha...Tena
    aliyefungwa akiwa na tabasamu kwa mbaaaali!
    Hii inaitwa bora tukose wote
    Kwa mara ya kwanza nimeshuhudia Timu iliyoshinda na Timu iliyofungwa zote zikiondoka Uwanjani bila furaha...Tena aliyefungwa akiwa na tabasamu kwa mbaaaali! Hii inaitwa bora tukose wote
    0 Comments ·0 Shares ·106 Views
  • Marapper wanapigania uking wakati game inachangamoto nyingi!!
    Wanakaza sana lakini kutoboa inakuwa tabu tunawekewa vigingi!!
    Na hip hop ndio msimamo we2 2namisingi ye2 2naamini kwa wingi!!
    Na game ye2 ni kama draft tutapenya vp mpaka kuingia kingi!!
    Ata tukionga mkwanja tutaambulia kufika stage kupafom ila atutopata vingi!!
    2kaze tu buti ata nyumba ujengwa ila inaanza navmsingi!!
    Weka imani na uwakika nafsi yako na uwezo wako auwezi kukupiga chini!!
    Kutoboa sio raisi kama maraya kuishusha bikini!!
    Aijalishi rapper mwenzangu unauwezo gani tajili au masikini!!
    Kaza 2 kamba iposiku utatoboa ata wakibana Kama bikra amini we fanya 2 rap tia ,pini!!
    Rapper kuwa makini na ukifanyacho usiwe kama maraya anaevaa kimini!!
    Marapper wanapigania uking wakati game inachangamoto nyingi!! Wanakaza sana lakini kutoboa inakuwa tabu tunawekewa vigingi!! Na hip hop ndio msimamo we2 2namisingi ye2 2naamini kwa wingi!! Na game ye2 ni kama draft tutapenya vp mpaka kuingia kingi!! Ata tukionga mkwanja tutaambulia kufika stage kupafom ila atutopata vingi!! 2kaze tu buti ata nyumba ujengwa ila inaanza navmsingi!! Weka imani na uwakika nafsi yako na uwezo wako auwezi kukupiga chini!! Kutoboa sio raisi kama maraya kuishusha bikini!! Aijalishi rapper mwenzangu unauwezo gani tajili au masikini!! Kaza 2 kamba iposiku utatoboa ata wakibana Kama bikra amini we fanya 2 rap tia ,pini!! Rapper kuwa makini na ukifanyacho usiwe kama maraya anaevaa kimini!!
    0 Comments ·0 Shares ·171 Views
  • Sali sana naunachofanya kifanyike!!
    Najamii ikikuandama mwanangu usifadhaike!!
    Ukikuwa olewa ndoheshima kwa mtoto wa kike!!
    Ukikosea ukasemwa siounaonewa ubadilike!!
    Ukikua ukapata mpenzi asieleweka my daughter please break up!!
    Jali utu namuda utakao upoteza!!
    Pia kumbuka utu unathamani zaidi ya fedha!!
    Ukiweka pesa mbele nyuma kifo!!
    Usije kaa ukilega ukiamini kwamba Baba yako nipo!!!
    No huwezi jua lini Mola atanichukua!!
    So wimbo hu ndio mzazi wako pindi utakapo kua!!
    Ukitoka kwenye udogo kwenda ukubwa!!
    Inabidi usisahau Mama ako akukutoa kabla ya muda!!
    Hivyo ukipata ujauzito usijekuutoa!!
    Ila shika hili andiko pata ukiwa ndani ya ndoa!!
    Naukitaka sanaa basi fanya inayolipa!!
    Ila usijekwenda bongo movie utatumika!!
    Sali sana naunachofanya kifanyike!! Najamii ikikuandama mwanangu usifadhaike!! Ukikuwa olewa ndoheshima kwa mtoto wa kike!! Ukikosea ukasemwa siounaonewa ubadilike!! Ukikua ukapata mpenzi asieleweka my daughter please break up!! Jali utu namuda utakao upoteza!! Pia kumbuka utu unathamani zaidi ya fedha!! Ukiweka pesa mbele nyuma kifo!! Usije kaa ukilega ukiamini kwamba Baba yako nipo!!! No huwezi jua lini Mola atanichukua!! So wimbo hu ndio mzazi wako pindi utakapo kua!! Ukitoka kwenye udogo kwenda ukubwa!! Inabidi usisahau Mama ako akukutoa kabla ya muda!! Hivyo ukipata ujauzito usijekuutoa!! Ila shika hili andiko pata ukiwa ndani ya ndoa!! Naukitaka sanaa basi fanya inayolipa!! Ila usijekwenda bongo movie utatumika!!
    0 Comments ·0 Shares ·400 Views
  • Niko full sio dagaa!!
    Nakomaa kusaka chapaa!!
    Wengi wanashangaa!!
    Kwa jinsi navyochakaa!!
    Nakimbia kwa masaa!!
    Na sichoki kumuomba jah!!
    Hata mwanga ukizima taa!!
    Ananibless tu babaa!!
    Kwa nyingi salaa!!
    Sina stress haswa!!
    Nikiwa base na bar!!
    Niko full sio dagaa!! Nakomaa kusaka chapaa!! Wengi wanashangaa!! Kwa jinsi navyochakaa!! Nakimbia kwa masaa!! Na sichoki kumuomba jah!! Hata mwanga ukizima taa!! Ananibless tu babaa!! Kwa nyingi salaa!! Sina stress haswa!! Nikiwa base na bar!!
    0 Comments ·0 Shares ·93 Views
  • Tumekuzwa kwa mboko!!
    Hatuzijui nyoko nyoko!!
    Ukiyakanyaga chechemea!!
    Ukiona mabaya kemea!!
    Wana yanga kula tu miogo shida!!
    Tunasubil utipolo mida!!
    Tukisema kumanishanini!!
    Tunatisha simba kijamii!!
    Iga ufe!!
    Marufuk kubonyeza kitufe!!
    Usipange kuihua simba huna hela!!
    Kuja kichwa nyie yanga mvalishwe dela!!
    Tumekuzwa kwa mboko!! Hatuzijui nyoko nyoko!! Ukiyakanyaga chechemea!! Ukiona mabaya kemea!! Wana yanga kula tu miogo shida!! Tunasubil utipolo mida!! Tukisema kumanishanini!! Tunatisha simba kijamii!! Iga ufe!! Marufuk kubonyeza kitufe!! Usipange kuihua simba huna hela!! Kuja kichwa nyie yanga mvalishwe dela!!
    0 Comments ·0 Shares ·70 Views
  • Wanasema penye kosa, uwepo wa kosa sio kosa!!
    Ila kosa pia ni kosa pale pindi unapo kosa!!
    Ukiwa hauna kosa, utakuwa umekosa kukosa kosa ambalo kiukweli huwa sio kosa!!
    Kukosea kosa sio kosa ila kupatia kosa ilo ni kosa japo wengi wamekosa!!
    Kosa kukosa kupata kukosa ukiwa hauna kosa apo utakuwa umekosa kukosa kosa!!
    Kosa kukosea, mpotevu alie patikana uyo amekosa kupotea!!
    Alie kosa kupatia kosa hana kosa ila alie ogopa uyoh anakosa lakuongea!!
    Kukosea kosa, ambalo ni kosa, la kukosa kupatia kosa!!
    Wanasema penye kosa, uwepo wa kosa sio kosa!! Ila kosa pia ni kosa pale pindi unapo kosa!! Ukiwa hauna kosa, utakuwa umekosa kukosa kosa ambalo kiukweli huwa sio kosa!! Kukosea kosa sio kosa ila kupatia kosa ilo ni kosa japo wengi wamekosa!! Kosa kukosa kupata kukosa ukiwa hauna kosa apo utakuwa umekosa kukosa kosa!! Kosa kukosea, mpotevu alie patikana uyo amekosa kupotea!! Alie kosa kupatia kosa hana kosa ila alie ogopa uyoh anakosa lakuongea!! Kukosea kosa, ambalo ni kosa, la kukosa kupatia kosa!!
    0 Comments ·0 Shares ·57 Views
  • Simama kama Mimi nisie yumbishwa na masnich!!
    simama Kua makini maisha ayaendi bila ubishi!!
    simama na mungu wako usibishane na watumishi!!!
    Simama kama Mimi nisie yumbishwa na masnich!! simama Kua makini maisha ayaendi bila ubishi!! simama na mungu wako usibishane na watumishi!!!
    0 Comments ·0 Shares ·61 Views
  • Boss kaamua weka, nasi tutaweka!!
    Chuma,naweka chuma!!
    Weka bahasha, naweka bahasha!!
    Boss kaamua weka, nasi tutaweka!! Chuma,naweka chuma!! Weka bahasha, naweka bahasha!!
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·61 Views