• Boss kaamua weka, nasi tutaweka!!
    Chuma,naweka chuma!!
    Weka bahasha, naweka bahasha!!
    Boss kaamua weka, nasi tutaweka!! Chuma,naweka chuma!! Weka bahasha, naweka bahasha!!
    Like
    1
    · 1 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·58 Views
  • pesa rafiki wa kweli huamin muulize shidaa!!
    nmeona mengi kiukwel ka maandiko kweny ibada!!
    La mwana baba ntasali hakuna anaezpnda shidaa!!
    na ucponikubaliii I hate snitch niga!!
    maza fantaaaaaaaaaaaaaaaaa!!
    asbh njema!!
    pesa rafiki wa kweli huamin muulize shidaa!! nmeona mengi kiukwel ka maandiko kweny ibada!! La mwana baba ntasali hakuna anaezpnda shidaa!! na ucponikubaliii I hate snitch niga!! maza fantaaaaaaaaaaaaaaaaa!! asbh njema!!
    Like
    1
    · 1 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·533 Views
  • Naona mapicha na kauli zisizo nyepesi!!
    Tupo wengi Wengine ni wafuasi!!
    Bado sijakata lingi Tamaa sikati na bado sijawa pimbi!!
    Ukijishusha sivimbi Kamali ni hapa hapa zichange simbi!!
    Naona mapicha na kauli zisizo nyepesi!! Tupo wengi Wengine ni wafuasi!! Bado sijakata lingi Tamaa sikati na bado sijawa pimbi!! Ukijishusha sivimbi Kamali ni hapa hapa zichange simbi!!
    Like
    1
    · 1 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·65 Views
  • Huwa nacheza na akili.. Kama mchezo wa kubeti..
    Kwenye dundo nanesa hivi.. Kama mlevi wa kuberi..
    Nipe kipaza.. Unae taka midondoko..
    Ili, niwape somo vilaza.. Wanao taka miondoko..
    Nipe dili.. Ukitaka kuni wish..
    Usiwe muuza siri.. Kama unataka kuni snich..
    Hiphop chakula ya mtaa.. Namie ndo mpishi..
    Fundi najenga nyumba kishujaa.. Nanyie ndo msingi..
    Vitendo dhidi ya maneno.. Nawatongoza mpaka mabubu..
    Mc nasambaza mapendo.. Masnich wana tubu..
    Huwa nacheza na akili.. Kama mchezo wa kubeti.. Kwenye dundo nanesa hivi.. Kama mlevi wa kuberi.. Nipe kipaza.. Unae taka midondoko.. Ili, niwape somo vilaza.. Wanao taka miondoko.. Nipe dili.. Ukitaka kuni wish.. Usiwe muuza siri.. Kama unataka kuni snich.. Hiphop chakula ya mtaa.. Namie ndo mpishi.. Fundi najenga nyumba kishujaa.. Nanyie ndo msingi.. Vitendo dhidi ya maneno.. Nawatongoza mpaka mabubu.. Mc nasambaza mapendo.. Masnich wana tubu..
    Like
    1
    · 1 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·1K Views
  • Huwa nacheza na akili.. Kama mchezo wa kubeti..
    Kwenye dundo nanesa hivi.. Kama mlevi wa kuberi..
    Nipe kipaza.. Unae taka midondoko..
    Ili, niwape somo vilaza.. Wanao taka miondoko..
    Nipe dili.. Ukitaka kuni wish..
    Usiwe muuza siri.. Kama unataka kuni snich..
    Hiphop chakula ya mtaa.. Namie ndo mpishi..
    Fundi najenga nyumba kishujaa.. Nanyie ndo msingi..
    Vitendo dhidi ya maneno.. Nawatongoza mpaka mabubu..
    Mc nasambaza mapendo.. Masnich wana tubu..
    Huwa nacheza na akili.. Kama mchezo wa kubeti.. Kwenye dundo nanesa hivi.. Kama mlevi wa kuberi.. Nipe kipaza.. Unae taka midondoko.. Ili, niwape somo vilaza.. Wanao taka miondoko.. Nipe dili.. Ukitaka kuni wish.. Usiwe muuza siri.. Kama unataka kuni snich.. Hiphop chakula ya mtaa.. Namie ndo mpishi.. Fundi najenga nyumba kishujaa.. Nanyie ndo msingi.. Vitendo dhidi ya maneno.. Nawatongoza mpaka mabubu.. Mc nasambaza mapendo.. Masnich wana tubu..
    Like
    1
    · 1 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·1K Views
  • @
    👍✨ @
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·41 Views
  • 😋🥲
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·40 Views
  • 😲😘😲
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·41 Views
  • 😋
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·42 Views
  • 😗💭
    0 Yorumlar ·0 hisse senetleri ·44 Views