• Alikuwa Mpole Mwelevu Msikivu Tena Mcha Mungu\
    Alikuja Geuka Gobole Baada Ya Kuzin Na Mke Wa Mtu\
    Kitaa Alisifika Kwa Sifa Nyingi Job Aliwajibika\
    Mwana Hakujua Kuiba Chamtu Aliheshimu Kama Anavoeshimika\\
    Nahuu Ni Mzunguko Wa Maisha Uliojaa Vituko\
    Mwana Akaanza Badilika Wake Za Watu Kuwashika\
    Hakuogopa Kuathirika Kila Binti Alimuwajibisha\
    Ndugu Akaanza Wadharau Baada Ya Pesa Kupanda Dau\
    Machzi Akatusahau Akatutusi Kwa Nahau\
    Yah Inashangaza Na Inachekesha Pia\
    Umasikini Umewasha Mwanga Anajuta Na Kushndwa Kulia\
    Mwili Unazidi Dhoofika Baba Na Mama Wanalia\
    Msamaha Hauwezi Saidia Mola Tu Ndo Ataingilia\
    Badilika Kama Waivo Chenji Ish Kwa Heshma Uaminifu Ukweli Na Upendo
    Alikuwa Mpole Mwelevu Msikivu Tena Mcha Mungu\ Alikuja Geuka Gobole Baada Ya Kuzin Na Mke Wa Mtu\ Kitaa Alisifika Kwa Sifa Nyingi Job Aliwajibika\ Mwana Hakujua Kuiba Chamtu Aliheshimu Kama Anavoeshimika\\ Nahuu Ni Mzunguko Wa Maisha Uliojaa Vituko\ Mwana Akaanza Badilika Wake Za Watu Kuwashika\ Hakuogopa Kuathirika Kila Binti Alimuwajibisha\ Ndugu Akaanza Wadharau Baada Ya Pesa Kupanda Dau\ Machzi Akatusahau Akatutusi Kwa Nahau\ Yah Inashangaza Na Inachekesha Pia\ Umasikini Umewasha Mwanga Anajuta Na Kushndwa Kulia\ Mwili Unazidi Dhoofika Baba Na Mama Wanalia\ Msamaha Hauwezi Saidia Mola Tu Ndo Ataingilia\ Badilika Kama Waivo Chenji Ish Kwa Heshma Uaminifu Ukweli Na Upendo
    Like
    1
    · 1 Commentarii ·0 Distribuiri ·471 Views
  • Many features lounched, make Update of the App On playstore linkhttps://play.google.com/store/apps/details?id=com.mr.chatplace
    Many features lounched, make Update of the App On playstore link👉📎https://play.google.com/store/apps/details?id=com.mr.chatplace
    Like
    Love
    Haha
    Wow
    Angry
    37
    · 284 Commentarii ·1 Distribuiri ·1K Views
  • Umeelewa Nini kwenye circuit hii?
    Share mawazo na wenzako. Together we can
    Umeelewa Nini kwenye circuit hii? Share mawazo na wenzako. Together we can 💪
    Like
    1
    · 1 Commentarii ·0 Distribuiri ·210 Views
  • AKILI TUU

    PESA ZIPO
    AKILI TUU PESA ZIPO 🤔🤔😅😅
    Like
    2
    · 1 Commentarii ·0 Distribuiri ·81 Views
  • BAADA YA TALAKA, MKE AKAMTUMIA UJUMBE ALIYEKUWA MUME WAKE:

    MKE:
    ... nasikitika kukuambia kuwa huyu binti uliyemtunza kwa miaka 20 sio binti yako
    ... Ni mtoto wa Rafiki yako Mkubwa Alhaji.
    ...Baada ya kuachana, Alhaji ameamua kumpeleka mtoto Marekani ili akaanze maisha Mapya.
    ... Tafadhali kuwa jasiri kwa taarifa hii, jipe ​​moyo na uanze Maisha Mapya.
    ... Maisha mema. Byeeeeeeee

    MUME:
    ... Utukufu kwa Mungu juu na Amani duniani kwa watu wenye mapenzi mema
    ... Asante Mungu, kwa kujibu maombi yangu.
    ... Walahu hofu yangu imekwisha na niko huru sasa.
    ... Miaka hii yote nilijua kuwa nilikuwa nikifanya MAPENZI na binti yangu wa damu.
    ... Tafadhali muhimize mpenzi wangu huyo asiogope chochote kumbe hakukuwa na uharamu wowote.
    ... Pia msisitize asitoe hiyo mimba na kama anaweza basi mwambie arudi tuanze maisha mapya ili kijacho wetu apate malezi bora.

    ... Asante, asante Mungu.

    Kati ya MKE na MUME, ni nani alizimia hapa
    💔BAADA YA TALAKA, MKE AKAMTUMIA UJUMBE ALIYEKUWA MUME WAKE:💔 MKE: ... nasikitika kukuambia kuwa huyu binti uliyemtunza kwa miaka 20 sio binti yako ... Ni mtoto wa Rafiki yako Mkubwa Alhaji. ...Baada ya kuachana, Alhaji ameamua kumpeleka mtoto Marekani ili akaanze maisha Mapya. ... Tafadhali kuwa jasiri kwa taarifa hii, jipe ​​moyo na uanze Maisha Mapya. ... Maisha mema. Byeeeeeeee MUME: ... Utukufu kwa Mungu juu na Amani duniani kwa watu wenye mapenzi mema🙏 ... Asante Mungu, kwa kujibu maombi yangu. ... Walahu hofu yangu imekwisha na niko huru sasa. ... Miaka hii yote nilijua kuwa nilikuwa nikifanya MAPENZI na binti yangu wa damu. ... Tafadhali muhimize mpenzi wangu huyo asiogope chochote kumbe hakukuwa na uharamu wowote. ... Pia msisitize asitoe hiyo mimba na kama anaweza basi mwambie arudi tuanze maisha mapya ili kijacho wetu apate malezi bora. ... Asante, asante Mungu. ✍️Kati ya MKE na MUME, ni nani alizimia hapa🤣🤣🤣🤣🤣
    Like
    2
    · 1 Commentarii ·0 Distribuiri ·370 Views
  • Hivi unakumbuka wapi tulipoanZIA,,ilikuwa shule nilipokufata ulinikaZIA..::

    Kwa dharau ulinifyonza ukapuuZIA,,nyodo nyingi kalio ukantingiSHIA..::

    Ilinichoma nami kina nilizama meLI,,sikuwaza kufeli kusema kwaheLI..::

    Mkubwa hachoki nikajifariji nikiamiNI,,kwenye ukame ntakuwa maji utanithamiNI..::

    Ikabidi nijitose mchizi kwako bila iRiZI,,mwisho ulisogea penzI ukaliweka waZI..::

    Ndoto zako ulisema kuwa nami MAISHANI,,ukiwa nami kalibu unaipata AMANI..::

    Nilijituma kweli kama roboti upate utakacho,,nikasimama kama ngongoti uende utakapo..::

    Mwenzangu ukuzingatia yote nayokupatia,,mapenzi kamba ukanikatia doa ukaniachia..::

    nashukuru kwa yote uliyonifanyia,,ipo siku mungu atanilipia..::
    Hivi unakumbuka wapi tulipoanZIA,,ilikuwa shule nilipokufata ulinikaZIA..:: Kwa dharau ulinifyonza ukapuuZIA,,nyodo nyingi kalio ukantingiSHIA..:: Ilinichoma nami kina nilizama meLI,,sikuwaza kufeli kusema kwaheLI..:: Mkubwa hachoki nikajifariji nikiamiNI,,kwenye ukame ntakuwa maji utanithamiNI..:: Ikabidi nijitose mchizi kwako bila iRiZI,,mwisho ulisogea penzI ukaliweka waZI..:: Ndoto zako ulisema kuwa nami MAISHANI,,ukiwa nami kalibu unaipata AMANI..:: Nilijituma kweli kama roboti upate utakacho,,nikasimama kama ngongoti uende utakapo..:: Mwenzangu ukuzingatia yote nayokupatia,,mapenzi kamba ukanikatia doa ukaniachia..:: nashukuru kwa yote uliyonifanyia,,ipo siku mungu atanilipia..::
    Like
    1
    · 1 Commentarii ·0 Distribuiri ·208 Views
  • Mwana FA ft Allikiba - Kiboko yao #Socialpop
    Mwana FA ft Allikiba - Kiboko yao #Socialpop
    Like
    Love
    19
    · 7 Commentarii ·5 Distribuiri ·2K Views ·117
  • Hbr za humu wakulungwa
    Hbr za humu wakulungwa
    Like
    Love
    4
    · 2 Commentarii ·0 Distribuiri ·651 Views
  • Kula maasai flavour
    Kula maasai flavour
    Like
    Love
    4
    · 3 Commentarii ·0 Distribuiri ·652 Views ·6
  • Kenya nchi yang ya pili, mbinguni mtapaskia tu kwetu sisi watz
    Kenya nchi yang ya pili, mbinguni mtapaskia tu kwetu sisi watz 😄😄😄
    Like
    4
    · 4 Commentarii ·0 Distribuiri ·706 Views